Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Dating vs Married When you are dating..... Farting is never an issue When you are married ....You make sure there's nothing flammable near your husband at all times When you are dating..... He...
0 Reactions
2 Replies
829 Views
Nilipangiwa kuwa ni zamu yangu mwisho wa wiki hii, kwa bahati mwenye mali kaweka vikwazo,nimeambukia maneno haya My temperature is rising………but we can’t, I know .....not this week ,I love him as...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Kwa MUME:utaijua tabia halisi ya mkeo kama huna pesa(yaani umefulia) kwa MKE:utaijua tabia halisi ya mumeo kama amepata pesa(yaani amezinyaka fwezaah)
0 Reactions
5 Replies
1K Views
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Hizi mambo za watu kuleta ulamujer de mivida kwenye ofisi za watu, wanafaidi mda mfupi ila baadae wanaishi kwa tabu sanaaa. Mambo ya...
14 Reactions
91 Replies
10K Views
Eti nina mchummba wangu, ila wazazi wangu wanasema hawamtaki kabisa, mchumba wangu anasema niwasikilize wazazi kwani ananipenda sana kulikonikubali kuishi naye ili hali wazazi wangu...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Kelly Brook has stepped out looking rather down in the dumps - and we're not surprised if the reports that Danny Cipriani has called her BORING in bed are anything to go by. Kelly Brook stepped...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
WE PLAY TO GIRLS' FEELINGS LIKE A TENIS BALL.Wavulana wengi tunawachezea wasichana. Unamfata mdada mrembo tena mzuri sana,ana tabia nzuri and determined to life wakati huo huo UNAE MREMBO...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Newlywed bride, 27, found hanged in Gambia after rowing with her African husband, 29, who discovered he was infertile due to his 'unhealthy lifestyle' Simone Jabakhanji, 27, moved to Gambia in...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa wale ambao ni wapenzi wa filamu za Magharibi, bila shaka jina Morris Chestnut si geni katika fikra zenu... Mwenye picha hiyo hapo juuu haswa ndiye kijana Morris na mmoja kati ya wasanii wenye...
3 Reactions
43 Replies
4K Views
Watafiti ambao wamekuwa wakifuatilia tofauti ya mazungumzo kati ya wanawake na wanaume, wamebaini kwamba, wanawake wenye umri mkubwa walio vyuoni wameripotiwa kupenda kuzungumzia mapenzi na...
10 Reactions
85 Replies
13K Views
Kuna shosti yangu wakaribu kakumbwa na jambo apa....miaka kama mitano iliyopita alikua na mpenzi ila kwa sababu kadha wa kadha wakatengena baada ya muda akapata mpenzi mwingine na kama ilivyokua...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Jamani nimeshikwa na mshangao.com sijiu kama ni kawaida lakini mimi inanishangaza Mwanaume kupigwa na mkewe yani kupigwa haswaaa! Hapa job kwetu kuna mtumishi mwenzetu anapigwa na mkewe yani...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Hellow wana jf jamani mwenzenu na mchumba wangu bt anapenda pexa vibaya mno, hadi smtym namuogopa jaman! Hv ni kweli mapenz bila pexa ni kaz bure?
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kuna wanawake wawili wamenipa nguvu ya kuuliza hivyo.. 1. Nilikua nae kwa mda mrefu tukiwa tunafanya bila kondom ila siku moja alinishangaza baada ya kunambia tukapime ukimwi, tukaenda na wote...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
unamuona msichana mzuri sana tena mrembo haswaaa. Unaamua kumueleza yako ya moyoni tena ukajipiga kitanzi kuwa UPO TAYARI KUMUOA MOJA KWA MOJA.akakubali, kabla hujamuoa uka-do nae. Lakini...
0 Reactions
65 Replies
5K Views
Niliisikia siku moja kwenye radio kwamba, kwa wale wapenzi ambao mazingira yanawaruhusu kushinda bila ya nguo ndani ya nyumba, ni jambo zuri linaloweza kuchangia kuboresha mahusiano, hivyo basi...
3 Reactions
101 Replies
13K Views
wadau hop mko poa, naomba nielimishwe jamani kama kuna maisha ya aina hii au ni kiini macho ndo naona.kuna jamaa yangu ambaye ni swahiba wangu tangu kitambo sana ameoa na ana watoto...
3 Reactions
134 Replies
11K Views
Habari zenu wana MMU, Nimekuja tena mara hii nahitaji kujifunza kuogelea au swimming, naomba kwa anaejua mahali naweza kujifunza kuogelea au nani ni mwalimu wa kunifundisha swimming hadi nikajua...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
What's..............................up! Kuna wale wanaume wanaojifanya hawa-mind saaaana wanawake. Hata mtaani huwezi kuwakuta na ma-girl friend ovyo ovyo. Wengine wamejipachika ulokole. Wanaume...
1 Reactions
47 Replies
5K Views
Natumai mu bukheri wa afya hapo mulipo, nyumba ninayoishi tuko wapangaji watatu, upande wa mbele kuna wadada wawili wamepanga wanashare kulipa kodi, mmojawapo amechumbiwa na tayari harusi ni...
0 Reactions
31 Replies
2K Views
Back
Top Bottom