Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Aslm alykum wana jf nimejitokeza ktk jamvi kutafuta mwenza wa kike anaeishi zanzibar mm naishi huku kwa sasa ndo nikasisitiza anaeishi zanzibar zaidi ni zaid ni PM
0 Reactions
8 Replies
2K Views
MANSA MUSA ndiye tajir mkubwa kuwah kutokea dunian,akifuatiwa na JOHN Rockerfeller,BILL GATE ni wa saiv japo hana utajir sawa na nliowataja hapo juu..ALIKO DANGOTE(mnijeria) ndye tajir mkubwa...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Wana mmu mambo vipi?kesho najisikia kugawa vocha za jero jero kwa dada zangu humu ndani wanaotaka wanipm by the way si lazima only to those who need it
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Ni jana tu hiki kituko kimetokea Nakiita kituko kwa kuwa hakijaleta maana kwangu Hapa sitajadili u-hovyo wa wivu wenyewe kwa kuwa ni mada ngumu kueleweka kwa wengi Dada huyu ambae ndo kamuonea...
1 Reactions
37 Replies
3K Views
Mke wangu nimemfumania mara 2 na marafiki zangu, nilipomuuliza akaanza kunitukana na kunieleza kwamba nimelala na mama yake mzazi wakati simjui hata kwa sura kwani wakati tunaoana mwaka 2009 mama...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
If you are given $200,000 to walk naked for 2hours in town. What will be your response??? a). Yes b). No c). Never d). IF the money is increased e). Others - Specify ‪‬
0 Reactions
17 Replies
2K Views
"BIG RESULTS NOW" LETS REASON CORRECTLY katika mahusiano wapenzi hupendana sana. Kila mmoja anaheshimu hisia za mwenzake. CHA AJABU HUTOKEA MMOJA KATI YAO anaamua kumuacha mwenzi wake tena...
2 Reactions
40 Replies
3K Views
muda kama saa 3.00 nait bek 3 nyumba ya jiran kaniletea elf 80 majalala mim kanambia atanipoza 20 nimuifadhie iwe cr ye2,je kwanin anipoze,nawaza nimpge changa naic kaiba.
0 Reactions
2 Replies
747 Views
Katika mapenzi inapotokea mwenza mmoja kakosea ANAAMUA KWA MAKUSUDI KUJIVUA MAKOSA YAKE NA KUYAITA NI YA SHETANI.why????? Jamani shetani ni mkosefu na mbaya lakini anasingiziwa mengi zaidi hata...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Wadada wa humu ni Wagumu sana kuwanasa, Na jibu lao kubwa ni "Nimeokoka" Kwa nini mko hivi jamani? Nini sababu? -mmetendwa sana -hamtaki kuwasiliti wapenzi/waume zenu -mmesoma sana -mmeokoka...
10 Reactions
109 Replies
8K Views
Juzi (Jumatano) nikiwa ofisini asubuhi alikuja rafiki yangu akataka nimuazime gari ana safari ya Bagamoyo angeirudisha jioni yake kabla sijatoka ofisi. Nikaona poa tu kwani ni best yangu na...
5 Reactions
206 Replies
14K Views
MAMA PRINCESS Disclaimer: Majina na mahali palipotajwa humu ndani havina uhusiano na watu ama mahali pa kweli. Ni vya kutunga… 17th May 2013, 17:40..nikitoka ofisini Rafiki yangu Cedrick...
16 Reactions
96 Replies
7K Views
Mtafiti wa Kijapani aliyefanya utafiti wake kuhusiana na maradhi ya moyo na kiharusi cha ubongo, Dk. Izumi Toyoda, amesema kwamba, katika utafiti wake alioufanya kwa watu 42, alibaini kwamba, wale...
15 Reactions
49 Replies
6K Views
jamani wanajamvi naomba kuuliza tafsiri hasa ya neno kileleni ni ipi?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mzozo wa wapenzi wawili usiku, umesababisha mmoja wa kike kupiga mayowe ya kumuita mwenzake mwizi, akavamiwa na watu waliompiga na kumchoma moto hadi kufa. Kisa hicho kimetokea mkazi wa Magazini...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Wana jamii mimi mdada mwenye umri wa 27 na mume wangu mzee nampenda sana lakini yeye hanipendi kila siku ananigeuza punching bag la kufanyia mazoezi na tuna watoto wa 4 nafikiria kumtoroka sema...
0 Reactions
53 Replies
12K Views
Wadau,naomba msaada katika hili, Hivi ni kwa nini unapomgegeda mke wa mtu wengi wao hupenda kuzitoa pete zao za ndoa wakati kwa mimi huwa napenda wasiwewanazitoa coz huniongezea mshawasha na...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Wana JF naombeni msada wenu nifanye nini, Mchumba wangu niliyempenda sana, ghafla kakata mawasiliano na mimi nikimpigia simu hapokei sms hajibu na hakuna chochote kibaya nilichomfanyia, kibaya...
4 Reactions
91 Replies
12K Views
Wana JF leo nakuja mbele yenu naomben ushauri wenu kuna siri nimekaa nayo mda mrefu sana moyon sasa nahisi nashndwa kuvumilia nimeamua kuitoa. Nina rafiki yangu wa kiume ambaye tulitokea...
2 Reactions
97 Replies
6K Views
Mwanamke mmoja Taofikat Bello mwenye umri wa miak 33, amevunja ndoa yake na mumewe iliyodumu kwa miaka mitatu aitwae Jimoh kupitia mahakama moja ya mjini Ilorini nchini Nigeria. Mwanamke huyo...
10 Reactions
22 Replies
3K Views
Back
Top Bottom