Habari marafiki ktk JF natokea tena ktkt ukrasa huu kuwauliza wana JF wote kuwa nikipi cha kuzingatia kabla ya kuoa au kuolewa. maana mi vitu hivi vina nichanganya. kuna watu wanasema tabia ndio...
SIMULIZI FUPI: NISAMEHE IDDI EL FITRI
MTUNZI: George Iron Mosenya
LABDA haitakuwa sahihi nikilalamika sana maana sina wa kumlaumu.
Haitakuwa na maana nikilia sana huenda chozi langu linazidi...
nimekutana nae fb sikujua kama ni kaka wa boyfie, kutokana na fake names hizi, basi tukachat chati wee mpaka kanizoea, kama wasemavyo wakikaa watu wawili peke yao shetani anakua wa tatu wao, basi...
Jamani watanzania wenzangu wanajamii forum...mapenzi yamekuwa janga la hatari sana siku hizi..ndoa nyingi huvunjika, wapenzi huachana olela...Vip mnaona vipi kama serikali ianzishe sheria ya ndoa...
Kuna watu wanasema wakurya ni watata sana, wanasema mkurya anaweza akamchinja mtu! ila huku kwetu tunakaa na wakurya na wanaonekana wapole sana sasa huo ukali wao unatoka wapi?au kuna wakurya...
Baada ya binadamu kupata huduma za msingi kama chakula,nguo na malazi ndipo wazo la mapenzi humjia waafrika wengi hawajajikwamua kupata huduma hizi ndio maana ni vigumu kupata true love mpaka sasa...
Wanajamvi hii kasheshe inanichanganya, mchumba wangu amejifungua mtoto wa kike, ana umri wa mwezi kwa sasa. Cha kushangaza ni kuwa tukiwa tumelala anagusg dushelele langu na nikikurupuka kumuuliza...
Wakuu naomba mnisaidie jambo moja inakuaje kila msichana nnaemtongoza ananiambia anae wake wakat wengne nna uhakika hawana pia naweza mpenda gal fulan lakin kila nikipanga kumwambia kuna hofu...
Hiyo uionayo ni sura ya mwanaume na ninaamini kwamba, ukiitazama sura hiyo katika mazingira yoyote unaweza kuitambua, bila shaka.
Hebu angalia sura hiyo vizuri, tazama pia masikio yake na...
Pamoja na kuwa inafahamika kwamba wanawake kila kukicha wanalilia haki sawa kwa wote. Nimefanya utafiti maovu wafanyao wanawake kwa wanaume ni too much.
Haya ni maovu 8 afanyayo mwanamke kwa...
Mbinu chache za kuwaweka
waume zenu kiganjani.
Mpe mumeo anachohitaji :
Wanawake wengi wanashindwa
kujua wao wanatofautiana na
wanaume kwa hisia na hata
mawazo ya mapenzi. Wanaume
wana...
Habari wana MMU.
Kwa kweli nimeamua mwenyewe kwa dhati kabisa naachana na mambo ya nyumba ndogo. Kwa zaidi ya miaka sita sasa sijawahi hata siku moja kuhisiwa na wife kwamba na-cheat ila nimeamua...
Asslam alykm vp hali zenu wana jf mm ni kijana mwenye into wa miaka 26 nimeamua kujitokeza kutafuta mwenza, awe muislamu miaka kuanzia 18 na kuendeles naomba jamani alie serious tu anae ishi...
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kwa mara nyingine tena nimejitoa mhanga kumfunga paka kengele!!!!!!!! Najua suala la hapa kuchimbika halikwepeki! Ila nimejiandaaa sijakurupuka! NI KAZI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.