Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Kuna mwamba hapa amekamatwa, ni mchawi Anasema kuwa yeye hutumia mguu WA kiume kuendeshea ndege yake ya usiku ya ungo kwenda kuwanga Dah ila wanaume jamaan poleni Sana Mnalia Lia hamna nguvu za...
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Huyu dada nafahamiana nae kwa mda wa mwaka na miezi kadhaa hivi. Tulikutana katika mishe mishe za maisha tukajenga urafiki wa kawaida. Binafsi nafurahia sana urafiki wetu, ni dada flan ivi ana...
6 Reactions
41 Replies
2K Views
HAKIMI APATA CHOMBO MPYA Staa wa Morocco na klabu ya PSG anayesifika kwa kuwanyoosha wanawake matapeli ametajwa kupata mchumba mpya ambaye pia ni mchezaji wa timu ya wanawake wa klabu ya PSG...
12 Reactions
12 Replies
1K Views
Probability ya mwanaume kumcheat mkewe( kuwa na mchepuko) Ni almost 80% Au niseme zaidi ya asilimia 80 ya wanaume wote Duniani Ni wanacheat kwa wapenzi/ wake zao. Ila ukimuona mwanaume ambaye...
4 Reactions
32 Replies
2K Views
Ndugu zangu haijalishi wanawake watakuja kutukana hapa na baadhi ya wanaume wapumbavu watakuja kutema mapovu hapa kutetea ujinga wa hizi sampuli ila ukweli ni kwamba wanawake hawana haki ya...
4 Reactions
51 Replies
2K Views
Hivi unamkumbuka vizuri yule ex wako uliyempenda sana nayeye akajifanya anakupenda mpaka akawa anakwambia bila wewe yeye hawezi kuishi huku analia? Ulijifunza nini baada yakuachana naye halafu...
2 Reactions
10 Replies
595 Views
Habarini ndugu zangu, Siku nyingi Sana sijaanzisha Uzi humu...nimekuja Leo kwenye jukwaa pendwa la mapenzi Nina swali ambali nimeuliza Artificial intelligence wengi na pia marafiki zangu wengi wa...
1 Reactions
4 Replies
940 Views
Ewe mwanamke sikia hii, siri za mmeo ziweke kibindoni, kwamba ni malaya sana, unamfumania siku zote, kwamba kitandani ni dhaifu, kwamba ni muongo, kwamba huwa anajinyea hovyo, kwamba hana kazi ya...
2 Reactions
16 Replies
653 Views
point yangu sio kutegemea uje kutunzwa na watoto, ni kwamba ukizeeka muda mwingi watoto wako watakuwa karibu na mama yao kuanzia kumjulia hali, kumsaidia, kumpa faraja na hata kwenye simu unakuta...
10 Reactions
18 Replies
2K Views
Ikatokea umemfumania mkeo, usimuabishe mkeo. Nyamaza, acha huyo mgoni wako aondoke, kaa kitako na mkeo muongee na myamalize nyie wawili na usimtangaze popote.
6 Reactions
72 Replies
3K Views
Wakuu, hii imekaaje? Ni kwanini wanafunzi wa sekondari hasa kuanzia kidato cha nne, tano na sita wasifundishwe kuwa na mahusiano salama huko mashuleni? Kuna rafiki yangu na ndugu yangu wa...
7 Reactions
89 Replies
17K Views
Habari Kuna jambo limenitatiza sana, nina mke naishi nae ana mtoto mdogo ananyonyesha. Ameweka kitanzi kama njia za uzazi. Nilisafiri mkoani tukawa tunachart akaniambia nikifanya mapenzi na wewe...
26 Reactions
287 Replies
12K Views
Tuna miaka 8 tunaishi pamoja tuna mtoto mmoja wakike. Hatujafunga ndoa kutokana na changamoto za kiuchumi na kutokubaliana Kwa ndugu wa pande zote mbili kiumeni na kikeni hataivyo mpango tulionao...
27 Reactions
282 Replies
19K Views
ELEWA VIPINDI NA HALI YA MIHEMUKO KATIKA NGAZI ZA MAHUSIANO Na Comrade Ally Maftah KING OF ALL SOCIAL MEDIA JITU LA MIRABA Katika kahusiano kuna mihemko inatofautian kati ya jinsia na nyakati za...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Nataka nidownload nizijaze kwenye flash niwe nazigonga asubuhi na jioni wakati nafanya home workout. Msaada tafadhali waungwana!
10 Reactions
72 Replies
2K Views
Habari zenu members, Leo nimetumia muda mrefu saana kuongea na kucheka na mke wangu(huaga nafanyaga hivo siku moja moja) maana huyu mwanamke hana utofauti na wanawake wengine kwahiyo naishi nae...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Salam za wakati huu jamvini, naimani hamjambo na wazima wa afya kabisa na mnaendelea kulijenga taifa la mpate japo kitu kiende kinywani. Bila kupoteza muda na kuifupisha makala hii, naweza kusema...
23 Reactions
153 Replies
6K Views
Habari Wadau, Hii mila ya wanaume kuwatongoza wamawake imepitwa na wakati. Yaani unakuta dada anakufuata bra bra kibao, mara simu yangu inasumbua narekebishie, mara nimekufananisha mara hivi...
7 Reactions
27 Replies
2K Views
(Salamu nitazitoa baada ya kumrudisha mke wangu) Kwa machungu makubwa sana naandika uzi huu. Kwa kuwa naongea leo kwakuwa nahisi maneno ni bora kuliko kukaa kimya. Nilikupenda sana wewe ila mke...
30 Reactions
142 Replies
7K Views
Mi zangu ni hizi 1. Latifa-Mb Dog 2. Nilikutenda visivyo-K Bazil 3. Vaileth-Matonya 4. Niamini-Prof J ft HBC 5. Wamadaha-Jebi 6. Upepo-Recho 7. Forever-Ruby 8. Mapenzi yanarun...
5 Reactions
155 Replies
179K Views
Back
Top Bottom