Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habari zenu wana jukwaa, nimeona nitoe angalizo kwa kauli za kijinga zinazolazimisha baadhi ya watu kuziishi, mfano 'hainaga ushemeji-tunakulaga', 'ukimwi ni Kama malaria tu','pesa ndo Kila...
2 Reactions
6 Replies
383 Views
Yaani sielewi Yani, hivi mnawezaje kuvumilia vishawishi vya nnje?? Yani nipo na mwanamke hapa nmelala nae lakini akili akili ipo Kwa kidada kimoja kizur cheupe chenye makalio mazuri nachokionaga...
18 Reactions
96 Replies
3K Views
Hii kauli ya "Ndoa ni Mwili mmoja" Kuna la kujifunza Kupitia hii mifano. Hawa Ni waimbaji wa nyimbo za Injiri na walisema hayo Maneno. Ikumbukwe wazi kua ndoa Nyingi za kikristo zinashida...
4 Reactions
29 Replies
1K Views
Narudia yena Kusema Wanawake ni Kama Uyoga leo ni mboga Kesho ni sumu 🥹🥲😰 Ndugu zangu mimi nalala Ila kuweni makini na mapenzi.
10 Reactions
38 Replies
977 Views
Dah masuala ya udomo zege bwana hatari yaani mpaka nimeamua kupitia wanawake madanga au bei poa. Kwa kweli hata sina muda wa kubembeleza wanawake wanaoringa wao waringe tu ila sina time na wao...
3 Reactions
17 Replies
769 Views
Wakuu nakiri kabisa from heart ya kwamba hii ndoa yangu nilikurupuka sana yapata takribani mienzi minne ya ndoa yangu sina hisia ya mapenzi na nahisi kujuta sana kwenye maisha yangu na sina furaha...
69 Reactions
256 Replies
13K Views
Ibaki hivyo, wala sijakosea. Ipi ni maana sahihi ya nguvu za kiume? Nguvu za kiume ni uwezo wa kiumbe hai kulifurahia na kulistahimili tendo la ndoa kwa muda mrefu zaidi. Hivyo hakuna kitu...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Hii tukio nimelikumbuka baada ya kutumiwa picha yangu ya zamani na mmoja wa watu tuliokuwa tukiishi mtaa mmoja. Nakumbuka nikiwa kidato cha tatu; asubuhi moja ya Februari 14, majira ya saa nne...
13 Reactions
26 Replies
3K Views
Unakutana na jamaa analalamika yule demu nampa kila anachokitaka lakini kila nikimuomba ulumbuzi ananipiga kiswahili ... Mahusiano ya hivi nimeyaona mengi sana.. Wengine walienda karibia miaka 2...
0 Reactions
5 Replies
333 Views
Isa wikendi, yeesi iliiiiziiii. Hii saikolojia iliyothibitishwa. Kitu chochote ukishakijua sana huendelei kukidadisi, unakuwa unajua ukianza hivi kitatokea hivi ama vile. Hata kwa wapenzi ni...
4 Reactions
25 Replies
1K Views
Katika hili pambano mimi binafsi kusema ule ukweli nikiangalia ukanda wa maziwa makuu hapa Afrika Mashariki, kwa ujumla inapokuja swala la shepu hasa mpindo mzuri wa makalio ama Matrakoo...
4 Reactions
37 Replies
2K Views
AFTER SEX WHAT NEXT. It's possible for any man to ask for sex in a relationship, but is left for you as a lady to know that sex, can't keep him..(Sex isn't enough) There's a two major factors...
45 Reactions
178 Replies
7K Views
Siku moja niko zangu nimetulia tu hata sijui siku inaendaje,basi wakati nachezea simu mara paap nikapata wazo la kutongoza customer care 😂 Chap tu nikapiga 100 kila nikisikia sauti ya kiume...
28 Reactions
59 Replies
6K Views
Yaani kajitambulisha week mbili ago. Wakwe zake watarajiwa wanamsumbua kuwa atamwoa mtoto wao lini? Hazipiti siku mbili wanampigia au kumtumia msg kuwa asimsahau mwenzie pale kwao. Mashemeji zake...
12 Reactions
37 Replies
3K Views
Jinsi maisha haya inaonesha idadi ya wakataa ndoa inazidi kuwa kubwa yani siku hizi ndoa zimekuwa kama uchaguzi NEC tanzania. jamaa kavisha pete kumbe pembeni kuna jamaa alishapitia kitambo
1 Reactions
35 Replies
1K Views
Mapenzi hayana mjanja,unaweza kuwa mjanja na ukanasa kwenye penzi kwa mtu mlugaluga hadi watu wakakushangaa, au ukanaza na kuzama kwa mtu malaya. Sasa hii imenitokea mimi.kuna mrembo nimemzimia...
3 Reactions
39 Replies
7K Views
Hiki ndo kizazi bora na ambacho kipo logically . Ndo waasisi Wa kataa ndoa crew Wanazaa kwa mpango Wapo logically Wapo na mental well being. Be blessed , Golden generation.
15 Reactions
96 Replies
3K Views
Katika hali ilozoeleka kusia kutoka kwa mabinti ama madada zetu pale tunapowachumbia ni ile wao wanaposisitiza kushiriki tendo la ndoa pale tu ndoa itakapokuwa imefungwa. Ndoa haijafungwa no sex...
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Back
Top Bottom