Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Kuna mwanamke nilikuwa nampelekea Moto kitambo, ghafla akadai anaolewa, akaomba mchango, harusi kuubwa. Leo hii napata WhatsApp message kaachika, Jimbo lipo wazi Kwa mara ya Tatu, ndani ya miaka...
10 Reactions
47 Replies
3K Views
Wadau naomba ushauri wenu. Nina mpenzi. Anakaa kwingine anakofanyia kazi. Hivi juzi kati nilimpigia simu usiku kama saa 3 mpaka saa 7 hivi nikawa najibiwa SIMU INATUMIKA. Nikatuma na message...
21 Reactions
139 Replies
5K Views
Jamani wanawake wa saizi imekua pasua kichwa ! yaan suala la kufunga vilago ni dakika sifuri Uvumilivu -0 Utulivu-0 Tamaa -100% Nipeni mbinu madhubuti ya kudumu na mwanamke?
1 Reactions
16 Replies
610 Views
Mimi ni mwanamume, nina mke na watoto wawili, naipenda sana familia yangu. Mimi ni mfanyakazi na katika kazi ninayoifanya huwa natoka saa kumi na mbili jioni na hupendelea kurudi nyumbani mapema...
27 Reactions
209 Replies
11K Views
Mara nyingi kwenye suala la kuoa wanaume tunaangalia tabia na mtazamo wa mwanamke na sio muonekano. Asilimia kubwa ya wanawake wenye maumbo ya kuvutia huwa tunawatamani lakini hatuwawazii sana...
7 Reactions
23 Replies
2K Views
UNATESEKA KWA SABABU KUNA UKWELI HUTAKI KUUKUBALI. 1. Kakuacha ila hutaki kukubali kuachwa 2. Hawana muda na wewe ila unalazimisha wawe nao 3. Njia siyo yenyewe ila unalazimisha iwe yenyewe...
4 Reactions
3 Replies
667 Views
Mwanaume ameaminiwa na Mungu na kuwekwa kuwa kichwa cha familia. Kichwa ndio Injini ndio ubongo wa familia. Kwa mtazamo huu Rasilimali na vipato vyote vya familia vinapaswa kuwasilishwa kwa kichwa...
0 Reactions
3 Replies
440 Views
Ni yule #DeMostAdmired Wa Mercy. Nimependa pia nishee experience hii na ninyi ndugu zangu wa JF. Nahisi tutapata vitu flani flani. Nashea hii kujaribu kuwapa shuhuda juu ya nature ya jinsi gani...
12 Reactions
199 Replies
14K Views
Habarini wakuu! Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Nina changamoto hiyo; siwezi kamwe kurudia tendo nikiwa na mwanamke mmoja......yaani nakuwa mtu wa bao moja tu chali hata nifanye au anifanyie...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Niende kwenye mada wanyamwezi ni nyoko si mwanaume si mwanamke mapenzi yao wote ya kichawi, mvuto na wito wa kutumia dawq kumuita unaemtaka. Hivi mkoa wa tabora sikonge wanyamwezi huu upuuzi...
3 Reactions
28 Replies
3K Views
Ukiwa alosto huna mia ya kutu wanakukwepa. Kipindi kile cha kujitafuta ukiwapiga kirungu cha buku ya nauli au bundle ili uweze kufanya mawasiliano wanakupa majibu ya kilokole. Utasikia asiefanya...
48 Reactions
102 Replies
5K Views
Yani ana act as if amejaa kwako na waeza dhani kua ukimwambia tutoke out itakua rahisi, ila chaa jabu uki make move tu, anabadilika kama si yeye. Wadada muache kucheza na hisia za watu, mambo ya...
10 Reactions
23 Replies
1K Views
Kundi kubwa la wanaume ambao wanashindwa kufurahia tendo la ndoa kutokana na kuwa na uume mdogo kupita kawaida. Wanaume walio na tatizo hili wengi wao huwa hawana confidence ya...
6 Reactions
119 Replies
83K Views
Nimeondoka nyumbani kwangu huu ni mwezi wa pili! Mume wangu kuna hela alinipa kama milioni 2, kwaajili ya kumuwekea. Mume wangu alikua ni mfanyakazi wa kampuni moja binafsi, sasa katika kampuni...
35 Reactions
352 Replies
22K Views
Mwanamke kuzaa akiwa na umri wa miaka 30 ni sahihi au sio sahihi amechelewa?
2 Reactions
19 Replies
957 Views
1. Mwanamke hakikisha tunda safii na limelimwa majani sio msitu mnene, huo ni uchafu pia. 2. Piga mswaki kabla ya tendo ili kuondoa harufu mbaya, mdomo utakuwa fresh. 3. Vaa nguo zako za mitego...
4 Reactions
62 Replies
3K Views
Angalau leo hii jumapili nimeweza kubaki nyumbani alone baada ya wote kuhudhuria ibada. Nimelala sana kupunguza uchovu wa week nzima. Suala zima lilianza January ya mwaka huu baada ya kuondokewa...
35 Reactions
181 Replies
9K Views
Unatongoza binti mbichi kabisa wa 2000 mkifika kwa mkapa akivua jezi unakuta chale mgongoni,kwenye matiti au sehemu yeyote mwilini,ukimuuliza anakwambia nikiwa mdogo niliumwa sana ndio nikaoakwa...
7 Reactions
88 Replies
3K Views
Habari zenu, Nina rafiki ambaye siyo wa karibu sana alikuwa kwenye mahusiano na mtarajiwa wangu sasa baada ya kuachana kwao nilifanikiwa kumshawishi tukaingia katika mahusiano kwa siri kubwa sana...
5 Reactions
38 Replies
2K Views
Juzi mama wa mwanangu alikuwa anaenda dukani, mtoto nayeye akataka kwenda mama yake akamzuia dogo akawa mbishi. Ikabidi wakubaliane kwamba hakuna kubwebwa, mtoto akakubali safari ikaanza, kama...
12 Reactions
25 Replies
718 Views
Back
Top Bottom