IGWEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!
Nakubali im guilty as charged pia kwenye hii shutuma!!!!!!! Ila nimekuwa najiuliza ni Zambi au sio zambi? Ni sahihi au sio sahihi?
Kuna hii tabia ya mdada au mmama...
Msaaada haraka nipo kwenye basi Nikitoka Dom mjini kwenda Kondoa nmekaa na mtoto wa kirangi hapa na nimemwelewa sasa jinsi ya kumuanza tatizo
Msaaaaaada plzzzzzz
Ni ujana tu jamani. Ninao wachumba 3.
1. Anafanya kazi bank. Si mrembo sana ila ni wife material. Ana muda mfupi kaanza kazi. Tatizo ni kuwa anaondoka asubuhi sana, na kurudi usiku. Wakati...
Believe me;
Ninafanya kazi shirika fulani la kimataifa. Dada mmoja mzuri na kafungashia,nilimchukulia kama dada yangu. Alinisaidia kupika na tulishauriana vzr maisha kama ndg. Siku moja aliacha...
Madereva wa bodaboda wafanya ngono na wanafunzi, walimu na wake za watu,kunaukwali wowote?
=========
Madereva wa bodaboda licha ya biashara ya kusafirisha abiria, wamezua tabia nyingine ya...
Mimi ni kijana nina umri wa miaka 23 lakini nimekuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanawake walionizidi umri na umbo,nawapenda wanawake wanene wenye makalio makubwa,naombeni ushauri wenu nifanyaje...
Wadau,kijana Mwenzenu Nna Wvu Wa Ajab Mpk Nahisi Hatari, Kwani Sa Hv Cm Ya Mchumba Wangu Nmedaivert,so Akizima Cm Tu,cm Zoooote Kwangu,cpend Hii Hali Nlokuwa Nayo Kwan Nahc Ntakuja Kufa Na...
Annually you will shake hands with 23 women who have recently masturbated and failed to wash their hands.
Annually you will shake hands with 16 men who have recently masturbated and failed to...
-
1. Kuning'iniza cd kwenye back mirror ya gari
2. Kuweka dish la takriban robo eka kwenye garden mbele ya nyumba
3. Kuweka vitambaa kwenye kochi/sofa/juu ya kabati/redio/TV sebuleni
4...
Kwa kawaida katika maisha ya kila siku ya binadamu, hakuna aliyekamilika kwa kila kitu. Kila mtu ana kasoro na mapungufu yake. Kutokana na kuufahamu ukweli huo, ni jambo muhimu kwetu kutambua...
Kwa ufupi
Akitoa maelezo yake jijini Dar es Salaam hivi karibuni, Rehema anasema kutokana na kazi hiyo alikuwa akilazimika kufanya ngono zembe ili kujiongezea kipato. Hata hivyo, anashukuru...
::
MMU members nimepata taarifa kuwa mwenzetu Munkari anaumwa.
Kwa mujibu wake mwenyewe anaendelea na dozi ya homa ya Malaria nyumbani.
Tumuombee katika dua na sala zetu.
Asanteni na tuzidi...
Catholic bishop in charge of cleaning up Vatican finances 'got stuck in a lift with a rent boy and lived with his gay lover in Uruguay'
Battista Ricca was appointed Institute for Religious Works...
hivi karibuni kumetokea matukio ya wanaume kutoka sehemu mbalimbali kubaka kuku.mbuzi na bata.
mfano nigeria na ata tanzania kuna vijana wameshikwa kwa kosa la kubaka mbuzi na bata.
na jana tu...
Habari wana jamii forum!
Naombeni msaada wenu jamani,mim nimeolewa mwez wa pili mwaka huu na tulipanga baada ya kuoana tu tupate mtoto,tatzo linakuja yan mpaka sasa cjashika mimba na my...
Kumekuwa na maelezo kutoka kwa wanywaji wa pombe kwamba, unapokwenda kunywa baa, huwa unatengeneza pia mipango ya fedha, katika kile kinachoitwa ‘misheni.' Kuna ambao wamekuwa wakiamini...
Uoga wako ndo umasikini wako -ROSE MHANDO
walioshindwa wana maneno mengi sana, usiwasikilize.
nasikiliza nyimbo hii ya Rose muhando, nmeipenda
nami naongezea mistari yangu hapa chini
uoga wako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.