Hiii jf am I just join jf I used to read ur posts n comments o really liked it wallah. ..yeah am sara from oman am 22yrs 10 yrs back I used to live in znz I really liked ur programme n today I...
Maisha yangu yote kwa kaumri changu miaka 25 nimetembea na wanawake 15. Wadada wawili kati ya hao tuliweka ahadi za kuona lakini chenga chenga zikatokea mwishoni .
Sasa nimeamua kutulia na...
Nina mpenzi wangu tuliyetoka naye mbali na tunapendana sana,toka kidato cha pili hadi sasa niko kidato cha sita;japo yeye hakufanikiwa kufaulu kuendelea na A'level.Je,huu uchumba ni sahihi? Na...
Habari!
Nimekuwa najiuliza kwa nini vijana wengi sana wa kiume sasa hivi wanajikita kutafuta wapenzi/wachumba mitandaoni?
Je hakuna wanawake huku mtaani tunakoishi? Tunaogopa kuwatongoza...
Nilimpenda sana ila umaskini uliokithiri unaniaribia roho ya kuendelea kumpenda nifanyaje siku na umri unazidi kuenda sioni nafuu yoyote.Hadi uzuri na weupe wangu umeanza kuFADE...
INAUMA kusalitiwa, inavunja moyo kuwa
mwenzi mwenye hulka za ubinafsi.
Unajitahidi kuwa mwaminifu lakini yeye
anakwenda kugawa penzi pembeni.
Wengine wanaita nje cup. Unajihimu
kushirikiana...
Mwanaume kuwa na hela ni sawa na Mwanamke kuwa mzuri,hela kwa Mwanaume ni dalili wewe ni Fighter,ni hard-worker,ni Success Chaser,ni Paper finder..hizi ndo aina za watu Wanawake wanataka...Sio...
Usicheki na video hizi video
http://www.youtube.com/watch?v=J-seD81a3kA
shule hizo kwa wanawake na wanaume kazi kwenu
http:
//www.youtube.com/watch?v=vMkHKZHcTh0
Kumekuwa na matatizo makubwa sana ya mizozo ndani ya ndoa,kudharauliana,kujibishana,kutukanana na hata kukashifiana,hili jambo mnapoanza urafiki mpaka kufika mnaoana huwezi kulikuta au inaweza...
Napenda kuwashukuru nyote
mtakao nipa majibu haya coz
jambo hili linanichanganya sana.
Nampenzi wangu ambaye natarajia kama mungu akinipa uhai
awe mke wangu, but kwa hili linanipa shaka sana...
Wana jf naomba msaada nimeota nasex na mama mmoja jirani yetu tunaishi mtaa mmoja lakini hana mume ila anaemchukua ni mwalimu wangu(Alinifundisha miaka 15) lakini yeye mwalimu wangu ana mke ambae...
habari za sahizi wakuu humu ndani.kitmbo sana nimekuwa mvivu wa kupost kimtindo nisiwachoshe cse siwalipi:smile-big:just jokes,hili lina wahusu mama,dada,wadogo,shemeji,wakee na girl lover...
Nimekuwa nikiwatafuta members wa JF walioko jijini Mwanza bila mafanikio, hivi kweli mpo au? Nijuze wapi mwakutana w/end hii? Japo kesho nina kikao cha harusi pande za Nyegezi lakini...
Wana JF natumai miwazima
Nimepata rafiki ktk huu mtandao ni wa kiume kama mm tunawasiliana sn kwa simu nampigia ila yy huishia kutuma sms tuu sio mbaya kwangu kwani anadai hali yake ni ngumu...
Kwanin unakuta m2 hanapesa wala sio handsome boy, lakin anapendwa sana na watoto wa kike hata bila kuwatongoza na akitongoza hakataliwi??, au sometime huwa ni bahat 2??.
Wakuu heshima kwenu, leo mchana mda wa lunch time, nlikuwa na mazungumzo na moja kati ya rafiki zangu wa karibu, anajambo ambalo alidhamiria kuliweka moyoni lakini kakosa uvumilivu kaona bora...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.