Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
0 Reactions
8 Replies
1K Views
kila ukisikiliza nyimbo wanaimba mapenzi,kesi nyingi mtaani mapenzi,ukikuta mtu analia kisa mapenzi,je haya mapenzi ni nn?
0 Reactions
8 Replies
8K Views
AINATISA ZA WANAWAKE WABAYA1. Mwanamke ambae hajui watoto wakewanamaendeleo gani anajua kuwazaaa tuu. Eg wachafuhawashughulikiwi, hajui wanamaendeleo gani 2. Mwanamke anaetolewa...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Utafiti unaonyesha vijana wanaojihusisha na vitendo hivyo wanatolewa vijijini Dar es Salaam.Asilimia 65 ya vijana kata za Buguruni na Vingunguti wapo hatarini kupatamaambukizi ya virusi vya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau, Mwenzenu nina mchumba, na tunatarajia kufunga ndoa mwezi ujao..Tar 24 hivi! Mchumba angu kakataa kufanyiwa send off na ndugu zake kwa kuwaambia hizo ni gharama zisizo na msingi na kuwataka...
0 Reactions
34 Replies
5K Views
Hi ni history ya kweli ya maisha yangu naomba mnishauri wadau. Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 29 ni mkristu na ni mzaliwa wa morogoro mwenye asili ya mkoa wa kilimanjaro.Wakati wa utoto...
3 Reactions
59 Replies
17K Views
Unakumbuka nini wakati na Siku ya harusi yako? Jamaa yangu yeye aliwekwa lupango kwa miezi sita Siku ya harusi yake tena baada ya kutoka ukumbini saa sita usiku
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari zenu wana MMU hii ni mara yangu ya kwanza kuweka post japokuwa nilikuwa mpitiaji mzuri wa mada mbalimbali ktk majukwaa karibu yote ya apa jf kuna tatizo linalonisumbua, muda si mrefu...
0 Reactions
33 Replies
2K Views
KARIBUNI sana rafiki yangu katika uwanja wetu ambao kwa namna moja ama nyingine umebadilisha maisha ya wengi. Inawezekana hata wewe umepata kitu fulani kupitia hapa, maana kila kukicha nimekuwa...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Kuna dada nilimkopesha elfu 30,alisema atanilipa,lakini kwa kadiri nilivyozidi kumdai akasingizia namtongoza na nikome kumpigia simu,Je how can I get my money,sikuwa na sina mpango wa kumtongoza.
0 Reactions
52 Replies
4K Views
Jamani hii story nimeikuta mahali, nikaona si vibaya ku-share na Bandugu bangu ba JF, ili at least wekend hii tuwasaidie my wife wetu huko home. My Wife DOES NOT WORK !!! Conversation between a...
15 Reactions
46 Replies
4K Views
Habar wa JF! bila shaka mu wazima!! Ndug zangu kwa mda mrefu nimekuwa nikifatilia mada mbali mbali za mahusiano toka kwa wanachama wengine, kilichonofanya niandike hii post ni kwamba nina mpnz...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Wana JF naomba mnisaidie mawazo na maamuzi. Mimi nina msichana ambae ni mpenzi wangu tuna miaka saba kwenye mahusiano na mikwaluzano ipo ya hapa na pale ila tunaimaliza.Sasa kuna kipindi...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Kama ulikuwa na uhusiano na mwanamke kwa lengo la kuzaa naye watoto,lkn Mwaka unakatika huoni hata dalili ya ujauzito na umegundua kuwa alitoa ujauzito wa mwanaume mwingine kabla hujaanza naye...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mi ni mwanaume lakini nishindwa kuelewa kabisa sie tuna problem gani. Sijui laana!!! Iko hivi. Hapa mtaani kuna mshikaji amezaa na mke wa jirani yake.(Soma post "nina wasiwasi jamaa ataua mtu")...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
'I come to Germany for prostitutes - it's like Aldi'“I've been to brothels in all of Germany's big cities. It's definitely addictive,” the 39-year-old Floridian said. Over the past 11 years, he...
0 Reactions
0 Replies
682 Views
SWAUM MAQBUL TO ALL JF MUSLIM MEMBERS,,.....LOVE U ALL:A S 2152::fish2::fish2::humble:
3 Reactions
11 Replies
946 Views
awe wa kike asizidi miaka 22 pia awe over eighteen, kwani naamini kwaku share naye mawazo nita jua nimwanamke wa ainagani anaweza kunifaa kuishi naye.:A S kiss:
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Refer: https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/484815-sina-hamu-na-mwanamke-tena-hata-akiwa-mzuri-kiasi-gani-6.html Usiku wa kuamkia leo hatimaye nimebaki single, ila maumivu makali...
0 Reactions
41 Replies
3K Views
Wasalaam, Naona hali ya mapenzi si sawa kabisa, kuna maumivu makubwa makubwa sana kuliko inavyoripotiwa humu jf! kwa kifupi hali ni mbaya sana, hk ndicho unachowezasema kwa kifupi kuhusiana na...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Back
Top Bottom