Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habari wana MMU, jina gani zuri la kumsave mpenzi au mume wako kwenye simu?.
1 Reactions
10 Replies
9K Views
Heshima wana JF; Hil jambo la kulipa fadhila kwa kuingia katika mahusiano na mhisan au kuamua kuoa/kuolewa mhisan japo humpend lakin kisa alikusaidia jambo fulan maishan. Kuna dada mmoja...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana jf,kwa uchunguzi mdogo nliyofanya kwa zaidi ya vijana 100 imenithbitishia kua vijana wanakaa muda mrefu bila kuangalia sehemu zao nyeti. Asilimia kubwa ya uchunguzi wangu umeonesha kua...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Nimepokea sms hii kutoka kwa Tutor Hi! Mama mzazi anaumwa sana, anapumulia kwenye mashine ya oksijen, nikumbuke kwenye sala Mungu amponye mama yangu mzazi. Niko safarini kuelekea Bukoba...
4 Reactions
61 Replies
6K Views
Wimbo huu wa Rose Mhando umenifariji sana wakati wote nikiwa njiani kuelekea nyumbani kumuona mama yangu mzazi. Kama nawe unayo albam hiyo tafadhali usikilize kwa makini na wakati ukiusikiliza...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Suti ya haruc nyeupe inaweza kuvaliwa na shati la rangi gani na tai ya rangi gani wapendwa nishaurini
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Dalili za ushoga ni nyingi mno km 1. Kutia kalikiti kichwani 2. Kujichubua 3. Kutinda nyusi/kujiangalia sana kwenye kioo 4. Kutoboa pua/sikio 5. Kupaka lip shine 6. Kuvaa nguo za kuacha mattako...
4 Reactions
155 Replies
32K Views
Tunaelewa kwamba mke ametoka katika ubavu wa mume. Hakutoka katika nyayo ili adharauliwe na kukandamizwa wala hakutoka katika kichwa ili mwanamume ajisifu kuwa yeye ana akili sana; bali ametoka...
9 Reactions
43 Replies
4K Views
Jamani ni miaka mitatu sasa tangu niwe na mahusiano na Huyu bwana wa kichaga yani hajawahi kunisaidia hata siku moja kifedha,nikimuomba msaada huwa anapindisha,lakini Mimi huwa namsaidia akipata...
7 Reactions
78 Replies
6K Views
Nakubali katika mapenz kuna kudanganyana ... lakini sasa uongo mwingine una tishia aman ya penz... mfano mpenz wako ana penda sana kudanganya mahali alipo na kitu anacho fanya... sasa dawa yake ni...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hello jf...naomba kwa anayejua majina ya artists wa hizi nyimbo mbili anitajie(romantic oldies) 1. IT MUST HAVE BEEN LOVED 2. WHERE DO BROKEN HEART GOES. Thx in advance....
0 Reactions
7 Replies
842 Views
Habari zenu wana MMU..ni matumaini yangu mu wazima wa afya njema mimi sijambo kabisa sifa zimuendee alie juu. Jamani leo naomba nitoe dukuduku langu moyoni kwa wanawake wenzangu,sisi wadada (sio...
3 Reactions
32 Replies
3K Views
Jamani samahan kwa wahaya kama nitawakosea...ila napenda kuuliza hivi ni kweli wanawake wa kihaya wana maji mengi na wanapenda sana kutomb*na..kwa sababu nyege ziko karibu.?
0 Reactions
32 Replies
9K Views
Close your eyes, make a wish And blow out the candlelight For tonight is just your night We're gonna celebrate, all thru the night Pour the wine, light the fire Hubby your wish is my command...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Rafiki yangu kanieleza kuwa huwa anafanya mapenzi na mke wake kwa simu au skype mpaka wanamaliza. Naomba msaada inakuaje?
0 Reactions
48 Replies
6K Views
Hello jf...naomba anayejua majina ya artists wa hizi nyimbo mbili anitajie majina yao respectively 1. IT MUST HAVE BEEN LOVED 2.WHERE DO BROKEN HEART GOES. Thx in advance.....
0 Reactions
0 Replies
647 Views
kuna tabia ya vijana tukianza mahusiano mtu unajiachiiiia kwa mwenzako hadi basi wengine wanatambulishana kwa ukoo mzima ndani na nje ya nchi,wengine wanashare a/c na pwd benk,wanapeana mamilioni...
28 Reactions
175 Replies
12K Views
Eti, kiuno kina umuhimu gani ktk kunogesha mapenzi? Je, kati ya mwanaume na mwanamke ni yupi huboresha na kuongeza raha ya mapenzi anapokitumia kiuno chake? Nifahamisheni hapo! Sent from my...
0 Reactions
65 Replies
6K Views
Wakuu niliwah kutupia uzi hapa ukisema nimeota nipo na mama mmoja jiran yangu,sasa nimeamua kwenda kumueleza mwenyewe yule mama ili aamue either kunipa ghorofa nikwee au kunitosa na nishampa...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu. naombeni uzoefu wenu katika jambo hili maana inanitokea kila mara ninapomaliza kufanya tendo la ndoa siku mbili au tatu kuendelea viungo havifai! Misuli ya tumbo balaa, mikono...
0 Reactions
54 Replies
14K Views
Back
Top Bottom