Habari zenu wana jf, nimefurahi kupata sehemu ambayo naweza kusema imenisaidia kujua mawazo ya watu na jinsi gani tunaweza kusaidiana katika masuala mazima tunayokabiliana nayo katika maisha yetu...
Umekwenda Ofisini kwa watu kuwarekebishia Sinki lao ambalo wanalalamika kuwa limeziba. Basi ile unaingia kwa Ofisi unakuta Sekretari ni Mchuda mmoja msupuu kinoma, basi unajiapiza ni lazima utupe...
1. COROLLA. ~ prostitute type.These help in time of needs, more like a taxi.
2. BMW.~ Expensive but not wife material. Usually called " wallet virus"
3. NISSAN. ~ Driving school. Every Mike
and...
Kitu ambacho nimekifahamu kuhusu mwanamke ambaye are inlove
Moja, awaamini kabisa rumors kwamba wapenzi wao wana cheat, japokuwa ni kweli
Mbili, wapo tayari kufanya kilakitu kwa nguvu zote zote...
Ndg wana jf, nilipost thread yang yakuhitaji mke wa kuishi naye kuwa anayeona yeye ni wife material kabisa ani PM lkn kwa bahati nzur baada ya kumaliza tu UE tu nipata safari ya kwenda Russia...
zifuatazo ni njia ambazo unamuacha mwanamume kwa njia rahisi bila kupigana na wala matatizo kama vile kumwambia kuwa hujui mapenzi na husisimui kabisa na huna mvuto kabisa kwangu halafu...
Voda mmekua matapeli, haiwezekani leo naweka vocha dheni inaingia na kutowema ghafla hapo hapo naambiwa salio langi halitoshi, kama ndio tunaanza kulipa code kwa staili hiyo mtujize wateja wenu
Nina mpenz wangu(msichana) ambae tupo ktk uhusiano kwa mwaka mmoja sasa, lakin tatizo la huyo mpenzi wangu ni UONGO, mara ya kwanza alinidanganya wako mapacha, nikakubali ila nilipobaini hawako...
Ewe ua langu la waridi lenye fumbo,ewe dada uliye ngao yangu na kitulizo changu. Funua macho yako uisome nakala hii fupi ya mapenzi, nakuwaza kila siku mchana na usiku.
Usingizi sipati kwa ajili...
Mwanamuziki na mshiriki wa Big Brother Africa mwaka 2012 hayati Goldie Harvey mzaliwa wa Nigeria enzi za uhai wake
Goldie alifariki ghafla hapo mnamo February 14, 2013 muda mfupi baada ya kurejea...
Ndugu zangu naomba niwasalimu na niwaulize.
Mimi nilimpenda mdada baada ya kuwa na ndoa na nikazaa nae. Mke wangu ambae tulikuwa na watoto 2 akakasirika sana,akaokoka.
Jambo la ajabu anaona wale...
Toka nianze harakati zangu za kujitafutia hela huyu mama nilikua nampa heshima sana hapa mtaani kwetu lakini tangu mumewe ameondoka kwenda kijijini kwao nimetokea kuzoeana sana na huyu mama.
Kuna...
1. Unakwenda dukani kwa mangi kukopa (kuongezea deni) ukijua kabisa mangi anakudai na atakusimanga simanga, wengine wanataa kununua kondom, mwingine kaiba mayai 2 kwa jirani anakuja kuuza unakuta...
Wadau ebu tusaidiane hapa! unaondoka nyumbani unamuaga mkeo vyema
unaenda kibaruani na unamuambia kuwa hali ya kutafuta huko si nzuri na
yeye hakupi ushirikiano wowote iwe kukutia moyo na hata...
Kwa ufupi...
Kutoa ahadi ni rahisi lakini kutimiza
ahadi ndio tatizo! Nice, binti mrembo
mtoto kigogo wa benki kuu tawi la
Mwanza, anampa ahadi mpenziwe
Robert ya kuwa atampenda milele...
Wakuu poleni na kazi na saumu kwa mliofunga!
Napenda washirikisha jambo au mambo ambayo naamini wengi wetu tunayaona au tumeyapitia. Katika kusoma kwangu toka primary hadi chuo na taaluma...
Habari,
Kuna haka ka tabia kamekua sasa, mkaka unampa mimba mdada/mchumba then ndo utangaze ndoa, je kuna mapenzi ya kweli hapo?
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Wadau nashuhudia tukio la kusisimua mda huu, jamaa kashikwa na mke wa mtu hapa Kitivo Lushoto, adhabu aliyopewa ni kuogeshwa maji ya pilipili, duuh hii ni noma eti.
Njemba inalia kama katoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.