Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Madereva wa bodaboda licha ya biashara ya kusafirisha abiria, wamezua tabia nyingine ya kufanya ngono na wateja wao wa kike, hasa wanafunzi na wake za watu. Imebainika kuwa baadhi ya madereva...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Wana jf ni kweli mabiti wa Tanga kwa mapenzi ni hatar? maana nilikuwa namtongoza bint mmoja wa Tanga akaniambia nafahamu una mchumba ila me nikikupa utamuacha mchumbaako,kwa kifup niliingia nae...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wana Jf habari zenu wote na wanaofunga mwezi mtukufu poleni na swaumu! Ila mwisho wa siku tukaribishane on IDD bhana. Wakuu juu ya uzi huu...
0 Reactions
1 Replies
746 Views
Poleni na kazi za siku nzima wana JF, leo naomba nizungumzie familia bora. Kwanza lazima iwe na utii na nidhamu kati ya wanandoa, hii itasadia kueshimiana na kujishusha miongoni mwao ili kuondoa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kenya imependekeza sheria mpya ya ndoa. Ukishindwa kutimiza ahadi ya kumuoa mtu uliemuahidi unapelekwa mahakamani kushitakiwa na ndoa zaidi ya mke mmoja zitatambuliwa iwapo mume atathibitisha...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Jana ilikuwa siku ngumu kwangu,mpenzi wangu baada ya kuishi nae kwa muda wa miaka 3, Jana alinitamkia tuachane anadai mi niko busy sana kiasi sina muda na yeye ukweli tumefanya mambo mengi pamoja...
0 Reactions
5 Replies
805 Views
Hi! Leo nimependa kuuliza swali hili maana wachangiaji wengi linapokuja suala la bikira wengine wanaibuka na ule msemo wa sizitaki mbichi hizi. Wadau karibuni
1 Reactions
23 Replies
7K Views
Helow guys, its my first time in here, hpe wil get along wid u guys, bt my joinin un here its becauze naitaj ushaur wenu
0 Reactions
8 Replies
901 Views
Mm ni mwanaume miaka 30 nimeoa nna mtoto 1,bado nasoma masters chuo kimoja hapa Dodoma, mwaka huu mwez wa 4 nlikutana na msichana m1 nikiwa na rafiki yangu tukiwa kwenye gari rafiki yangu...
0 Reactions
70 Replies
5K Views
Hii kitu imenitokea ktk mitandao ya kijamii kama we ni mwanamke unatumiwa msg na mwanaume na kama ww ni male unatumiwa msg na fimale. Hii imenikuta Unakuta umetumiwa E-mail na f / M anakutaka...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Hii kitu imenitokea ktk mitandao ya kijamii kama we ni mwanamke unatumiwa msg na mwanaume na kama ww ni male unatumiwa msg na fimale. Hii imenikuta Unakuta umetumiwa E-mail na f / M anakutaka...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wana MMU nahitaji ushauri wenu na mawazo yenu. Mimi ni binti, kwa umri wangu huu wa Miaka 28 tayari nimeshakuwa na Mahusiano na wanaume 14 na pia nimeshatembea na wanaume karibia 25, wale wa...
3 Reactions
230 Replies
35K Views
Wadau hivi kuna professional marriage counselors au relationship counsellors bongo? Na je mwenye experience na hivi vitu anajua kuwa kama hawa counselors ni effective ku rekebisha mahusiano?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Rafiki wa kike wa dada yangu ananitaka eti niwe namgegeda. Kiumri ni mkubwa kanizidi miaka sita.. Mara nyingi alikuwa ananitoa out, na sikuhisi chochote coz nilimchukulia kama dada. Baada ya...
0 Reactions
26 Replies
8K Views
Juzi jamani nilimsindikiza wife kununua nguo town,in fact alihitaji mlizi fulaani hivi! Alinipeleleka duka la nguo za ndani ili achukue mzigo....cha ajabu nilishuhudia dada mmoja toka mkoa...
5 Reactions
50 Replies
10K Views
Nimekuwa katika harakati ya kutafuta mchumba ataenifaa, but chakushangaza demu unaanza tu kuchart nae au kumtembelea ktk kuanza hatua za mwanzo za urafiki na akihisi tu ushampenda... Utasikia tu...
0 Reactions
69 Replies
5K Views
Naombeni msaada nifanye nini ili niachane na PUNYETO.Nimeoa lakini sijisikii kufanya mapenzi na mke wangu zaid ya PUNYETO.
0 Reactions
5 Replies
923 Views
Ngoja niwaambie sisi wanaume tulivyo ili ikusaidie sana kwenye maisha ya mapenzi. Sisi wanaume wa kiafrica atupendi mwanamke atukubali haraka ina maana ukitongozwa na mtu ata kama...
4 Reactions
71 Replies
7K Views
Habar za mchana wakuu, ni wiki ya pili sasa mke akinilalamikia ati nina mfumo dume kisa nimekataa kumsaidia kazi za ndani ikwemo kufua na kupika naombeni member akiendelea kung'ang'ania nimpige...
0 Reactions
82 Replies
5K Views
Utakuta kuna demu mkali tu anakuvutia ukaamua kumfukuzia Ila siku akikuvulia mkagegedana, wazungu wakishatoka tu unaanza kujuta ni kwanini umefanya tendo lile Jamani huku si ni kutamani tu...
0 Reactions
37 Replies
2K Views
Back
Top Bottom