Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Nihivi tokea nimeolewa sina hamu tena ya ligwaride imetokea automatic sio makusudi kabisa sijuhi nifanyeje maana imeshakua tatizo kwangu naumia tuuu sijokoi kabisaaa, makeke yote niliyokua nayo...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Niliachana nae kitambo kidogo ila sikuhizi simuelewi kwani akipiga simu au akituma sms naona mahaba mengi.Imedumu kwa wiki 3 sasa....nikiwa kazini anapga simu...usiku kabla ya kulala lazime...
3 Reactions
58 Replies
5K Views
Nakupenda nakupenda pia, i love you i love you too haya maneno yana maana sana kimapenzi au kwa wapenzi wawili, they do mean a lot to true lovers, zaman mtu ukimwambia nakupenda akakujibu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nilisoma naye chuo kimoja ( jina kapuni ), rafiki yangu alimpenda sana huyu msichana, but she was pretending to be in love with another man ( ambaye kwa mujibu wa taarifa za uhakika...
5 Reactions
47 Replies
6K Views
hi jf, mm nmepata mschana karibuni ni mwezi mmoja now 2mepanga kuoana akimaliza chuo mwakani bt cjawahi kudate nae hata cku moja, lakni anapenda xana kuniomba pesa na salio na hata ha2jazoeana...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Kiukweli it's fuuny kuwaona jinsi wanavyojipitisha na kupata taabu......dah.... Hapa ofisini kwetu yametokea mabadiliko ya 'top management',ambao walikua ni Managing Director na Chief Operations...
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Hello! Brothers and sisters, hope mnaendelea na wkend vizuri. Imekuwa mda sasa hatujawa pamoja, ila naamini hakuna kilichoharibika na wadau wa MMU mnaendelea na majukumu ya ujenzi wa jamii yetu...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
~Girl Friend Is A VIRUS~ She Will Enter In Your Life, Scan Your Pocket, Transfer Your Money, Edit Your Mind, Download Her Problems, Delete Your Smile, & Hang Your Life. . . . . So Avoid Your Girl...
6 Reactions
17 Replies
2K Views
Jamani kweli weekenddays tunavaa simple.. lkn singlands huku vikwapa vinatoa uvundo mmhh. ukigeuka huku kikwapa.. ukigeuka huku jamaa mdomo mhh... sasa wajameni tujitahidini kuwa na katabia ka usafi
0 Reactions
6 Replies
1K Views
...na hii hawahusu wafanya mzaha na matatizo ya wenzenu. Ni hivi; leo kwa mara ya kwanza nimeshawishika na nikakamatwa hasa kucheza mechi ya mchangani. Tatizo sikuwa na pesa ya kutosha -...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Hivi kwa nini wanawake wanachoma sindano za silicon ili kukuza makalio yao? Wengine wanatumia mpaka dawa za Kichina kuongeza saidi ya makali? Mpaka inafikia wakati wanawake wananunua nguo special...
1 Reactions
110 Replies
19K Views
Nilipata kusikia mazungumzo ya wanawake fulani,tena ni wasomi na wenye fedha zao,baadhi wakisema kua mwanaume bahili ni mzuri kua Mume kwa sababu hana tabia ya kuhonga honga wanawake/vimada na...
0 Reactions
9 Replies
8K Views
Wana Jf, Leo nataka tuongelee tendo la ndoa. Kwa kawaida tendo hili linafanywa kwa maandaliz mengi tukianzia na usafi wa miili. Ukurupukaji wa ku do ndo hufanya kuchukiana na kuoneana kinyaa...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Los Angeles (CNN) -- A southern California woman convicted of cutting off the penis of her then-husband and throwing it into a garbage disposal was given a life sentence Friday with the...
0 Reactions
0 Replies
564 Views
WApendwa nimewamiss sanaaaaaaaaaaaaaa,kilimo cha jembe la mkono kitaniua mwenzenu nimetimiza miaka kadhaa nazidi kuwa bibi jamani,namshukru Mungu kuniwezesha kuiona siku ya leo.Napokea zawadi...
5 Reactions
37 Replies
2K Views
waungwana, napenda kuuliza ni kwanini baadhi ya wanawake au wasichana wakimsalimia au kumpa mkono mwanaume uchuchumaa kidogo na kunyanyuka? kitendo hiki kina maanisha nini?
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari mi ni kijana mwenye mke na mtoto mmoja, nina mpz nje ya ndoa yangu ambaye anakaa kwao. nimekuwa na uhusiano nae kwa kipindi cha zaidi ya miaka miwili sasa; sijawahi kwenda nae kupima...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Alikuwa ni mke mtarajiwa wa one of my best friends...baada ya rafiki yangu kuhangaika sana kutafuta atakaemfaa ndo akaangukia kwa huyu dada. At first, the girl was good, too humble na kiukweli...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
"Mungu akulaani kwa kunipotezea muda wangu kiasi hiki halafu leo unaniacha". Nyambafu kabisa wewe binti, kwani mimi muda wangu ulikuwa haupotei au haukupotea? Ulaaniwe kabisa na wewe!
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Kuna demu mke wa rafiki yangu ameomba niongee na mume wake kwani hawana maelewano ndani ya nyumba. Kisa jamaa alisikia mke wake alikuwa anaandikiana sms za mapenzi na mtu mwingine na walishaenda...
1 Reactions
68 Replies
7K Views
Back
Top Bottom