Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Hemu sikilizahuu wimbo ameimba Saada Nassor taarab unaitwa (Nidhibiti) Niiinyweshe huba mpenzi Ninyweshe niiburudiIIke , Niiirovye yako mapenzi nirove niii rowanike. Uniiiiienzi , UNIENZIII...
2 Reactions
14 Replies
7K Views
  • Closed
Mambo vipi wanajamvi wenzangu, hope mnaendelea vizuri kabisa pia kwa wale wakazi wenzangu wa jiji la DSM nafahamu kwamba tupo katika maandalizi ya kumpokea rais wa dunia Barack Obama na ujio wake...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Habari zenu wana MMU. Nimekua najiuliza mara nyingii hivi jukumu la kulea watoto ni la nani kwenye ndoa. Maana nimeona mara nyingi hap MMU wanaume wanatoa visingizio vya kutoka nje ya ndoa eti...
1 Reactions
35 Replies
5K Views
Kama hujui, wanaume ni wambea zaidi ya wanawake, tofauti ni kwamba wao hawasutani hadharani! Katika jamii yoyote mtu mwenye tabia ya umbea huchukiwa, hutengwa na hata wakati mwingine hupigwa...
1 Reactions
17 Replies
6K Views
  • Closed
Samahanini najua wengine nitawakwaza ila nisamehe km itakuumiza Mi nawahesabu wanawake 99% akili zao ni finyu ndio wakawa wanaume wanawatumia na kuwachezea kisha kuwatosa kwa ufinyu wa akili zao...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ama kweli wadada wengine wazuri lkn tbia zao mbaya leo nimeenda kwa rafiki yangu kumsalimia anumwa nimemkuta demu wake amekaa pemben akiangalia move za x uku jamaa akilalamika anaitaji chakula...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Napenda kuwa na marafiki wenye upeo na makamanda, tubadilishane fikra kwa ukombozi wa pili wa TANZANIA. SMS 0789803484
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa upande wangu kwa jinsi ninavyo fahamu, kusikia na kuona kabisa. Inaonekana dhairi shari kabisa baada ya kubwagana mwanamke anaingia haraka sana katika kuanza mahusiano mapya na mtu mwingine...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! X aliajiriwa kama sales man wa kampuni kubwaa tu nchini humu na ALIKOMBA WHOOPING 200M Miaka hiyo kabla ya 2005. Who...
3 Reactions
28 Replies
3K Views
Heshima kwenu wakuu JF Jamani takakujua tu hivi ni mitandao ipi ya kijamii hapa Africa ambayo:- 1. Inawatumiaji wengi 2. Kuna uhuru wa kutoa mawazo 3. Haibagui kundi fulani Ninataka kujua tu ili...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Ni nadra kwa watu kujitangaza kuhusu uwezo wao katika uhusiano, lakini hili ni tatizo Matatizo ya kufanya mapenzi au kujamiiana kwa wanawake yanatambulika kama tatizo linalojirudia kwa muda...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hivi kati ya mwanaume na mwanamke nani hujisikia vibaya pindi wakutanapo kwa mawasiliano mazuri then wanafika stage ya kufanya mapenzi mara moja na baada ya hapo kila mtu anaendelea na mambo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
:: Nilimpenda kwa dhati Alipojua akanidharau Nikavumilia kwa haki Lakini haikuw jibuu Nikamwacha kwa utii Nikakimbia maumivu Macho yanacheka, Moyo unalia. :: Ilikuwa wiki iliyopita, Ktk...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Jamani nisaidie huyu binti nimetokea kumpenda sana mara nyingi nimekuwa nikimwona akiuza duka la dada yake ila nilikuwa nashindwa namna ya kumwelezea hisia zangu,jana katika pitapita zangu...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari naomba ushauri, mimi ni mtoto wa peke wa kike nikiwa na mdogo wangu wa kiume .hatuna wazazi mama alifariki mwaka mmoja uliopita .Tamko likatoka nyumba ipangishwe ili tupate hela ya ada...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kuna vitu unaweza kuwa huvijui na siku ukija kujua utashangaaaa sana ' Kuna dada mmoja ni shemeji wa rafiki yangu anafanya biashara ya kujiuza,kinachonishangaza sio kujiuza kwa huyo binti bali...
2 Reactions
138 Replies
8K Views
Habari wapendwa wa Jf, Leo ni siku kubwa kwangu… Siku yangu ya kuzaliwa Kwa misingi ya siku niliyoingia hapa duniani ni tarehe kama ya leo June 23 miaka mingi iliyopita. Naomba nitumie...
51 Reactions
159 Replies
17K Views
  • Closed
Tafiti zaonesha mwanamke mnene na mwenye shape ni kivutio kikubwa, kama una sifa kama hiyo ni pm, umbile na shape yako ni dhahabu kwangu. Karibu tumake deal.
0 Reactions
25 Replies
5K Views
tuna tabia chafu,midomo michafu,mawazo machafu kama huamini tembelea mablog yetu ya wadada wa mjini...sinta au uturn au blog yoyote uone tunavomwaga macomments ya kimatusi.hivi tutaleaje watoto...
4 Reactions
76 Replies
7K Views
Habari zenu wana wa MMU "Ndoa inakaribia kunishinda kwani sioni maana ya kuowa nikiowa nijistiri kwa kila kitu ila wapi naona ndoa imeanza kulegalega na usaliti unaingia ndani" Tatizo ni mke...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Back
Top Bottom