Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
hapa duniani. sababu ni hizo chini kama zitakuwa zipo zilizo saulika ongezea kwa mchango wako. dhana zima ya MMU ni kuakikisha kila mwana MMU anafaidika kwa kujifunza, kujikosoa na kujisahihisha...
4 Reactions
24 Replies
3K Views
Jamani tangu mwanzo nilivyoijua jf nilisema hapa ndipo marafiki zangu wa ukweli mpo naombeni ushauri wenu kwa hili tena msiogope kunikosoa penye makosa. Haya sasa mada ndio hii: Hapa napoishi...
1 Reactions
32 Replies
3K Views
Unaiona sura hiyo hapo juu? Hiyo ni sura ya mwanamke ambaye anacheka. Lakini hata kama angekuwa hacheki, bila shaka ungeweza kuibaini sura yake kama unavyoibaini hivi sasa. Mwanamke mwenye sura...
14 Reactions
91 Replies
11K Views
Hii ni aibu ya mwaka dada zangu hii tabia ya kutovaa chupi ni mbaya sana.. Leo kuna dada kavaa suruali yake ya kitambaa kaingia ofisini ..ofisi yetu ni ya kizamani viti vingi na mabechi ni ya mbao...
1 Reactions
69 Replies
15K Views
unapokea simu saasaba za usiku halafu mtu anakuuliza UMELALA? Ukimjibu kuwa upo unasimamia vibarua shambani utakuwa umekosea? nawasilisha
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Heshima kwenu wana JF: Nimekuwa nikijiuliza sijui ni wapi tunakoelekea, sijui ni mwisho wa dunia!? au ndio maendeleo!? Yaani sielewi kabisa, Sijui ni malezi baadhi ya watu!? Nimeonelea neweze...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
''mafanikio ya mwanaume mwanamke yumo na mafanikio ya mwanamke ni yakwake mwenyewe' najua wajua nami najuze
0 Reactions
1 Replies
1K Views
likuwa 2012 katika facebook nilikutana na kaka mmoja aliyecomment kwa picha yangu moja alicomment ( ur so cute) nikajibu asante simjui hanijui......siku zikaenda akarequeast friend request...
8 Reactions
229 Replies
20K Views
Vifo vipo katika series wameanza bongo movie wakaja wasanii wa muzik wa kizazi kipya nahisi ikifikia tasnia ya VITOMBI nitakukosa jembe langu!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
helo kumbe yule muke mwenzangu angekuwa mboss mkubwa tu TPA mume alivomuoa. Akamuachisha kazi. Wanaume kwa nini mnawaachisha wake zenu kazi? Na wewe mudada kwa nini mume akuachishe kazi...
1 Reactions
58 Replies
5K Views
I salute all MMU member, Hope mko sawa na kusaka shekeli ilhali mkijiandaa kumpokea baba mtarajiwa wa kitinda mimba wangu. Ni hivi nimekuwa nikipata shida sana hasa ninapokuwa namsimamia mtoto...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Mathis Family, Coy Left The 6-year-old, who was born a boy and still has all male genitals, chose to live as a girl. Coy Mathis, identifies herself as a girl and dresses as a girl. The school...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Kuna aina nyingi za limbwata, kuna kaligoligo, shuntama (Maana kwa kiswahili inama) ya Kanda ya Ziwa ambayo akipewa mume, kila atakachoambiwa na mke atafanya. Lakini kuna limbwata ya kisaikolojia...
1 Reactions
24 Replies
13K Views
Wee uliye tuuuuuuuuuuu ucheka una mbavuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!!! Leo nakuja hapa kuleta fback ya ule mzozo wetu na shostito mama ya kichanga mama yenye kubamba na LE BOSS. Siku zote...
3 Reactions
26 Replies
4K Views
Habari wana JF,baadhi yenu mkiona miaka inakatika hamna hata ndoa jichunguze tu kwa hili dogo Mna miezi miwili unaulizia Ndoa wakati mamako alivumilia miaka 8 huku anavaa Vitenge,we unauliza ndoa...
1 Reactions
15 Replies
7K Views
Ukiachana na mpenzi wako halafu ukakutana na haya yafuatayo ujue bado unampenda na itakutesa sana hadi uje kumsahau... #. Mara tu baada ya jamaa/dem wako kukwambia "its over, pls tusisumbuane...
1 Reactions
41 Replies
52K Views
In one of his greatest album, Grown up and Sexy*, Baby face sang about loneliness. From the first line to the last, he misses his ex and as most of people in such circumstances he hopes he is...
7 Reactions
18 Replies
3K Views
Kuna mdau aliwauliza wanaume kwa nini mpaka leo hawajaoa? Nami naja kuwauliza wadada na wanawake, kwa umri huo uliokuwa nao kwa nini mpaka leo hii bado hujaolewa? Mie Madame B sijaolewa...
4 Reactions
116 Replies
9K Views
Nimetokea kufuatilia (accidentally) kipindi cha Mama Terry kwenye TV yao (TBC1) na kukutana na vitu ambavyo vimeniacha hoi... 1. Eti kuna rushwa ya ngono kwenye ndoa...mzee ananyimwa unyumba hadi...
15 Reactions
242 Replies
13K Views
WAKATI akili yangu ikianza kupata ufahamu, nilikuwa natatizika na kuwaza kitu gani hasa katika mapenzi kinaweza kumfanya mtu atulie ndani ya penzi lake. Niliamini kuwa na fedha ndiyo dawa ya mtu...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Back
Top Bottom