Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Nisiwachoshe. Moja kwa moja kwenye mada Mpenz wako msichana anakuambia sipo sawa wiki hii na siwez kukuambia kwa nini. Nipe week moja niwaze nambo yangu. WanaJf ni wazo gani la kwanza litakujia...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Wana JF habari za majukumu ya kila siku. Mme anasafiri mara kwa mara bila taarifa, wakati mwingine akisijikia anakupa taarifa wakati kaishafika safari yake. Mke akitaka kusafiri anampa taarifa...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Kwanini watanzania wengi hatupendani kwenye haya makampuni ya kigeni???? Most of them ni ma snitch to the bosses kumalizana sisi kwa sisi!!!!! tazama malipo ni madogo compared to them with...
2 Reactions
25 Replies
3K Views
Kujaribu KUMUELEWA Mwanamke ni sawa na kuanza uchunguzi wa kisayansi kwanini hata Bata akila Mawe anaharisha.Hutapata jibu mpaka unakufa
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Kuna dada mmoja mitaa ya kijitonyama kwakweli anatisha sana kwa tabia yake ya kupenda totoz. (wanawake wenzake) mara nyingi utamuona kaongozana na dada huyu, kesho utamuona yupo na dada huyu, na...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Siku hizi kuna migogoro mingi sana ktk ndoa kwa sababu wanawake wengi hawatimizi majukumu yao ktk ndoa.Wengine wanakuwa na malengo ya kuolewa tu na wanasahau kwamba baada ya kuolewa ndoa inahitaji...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
wana jf habari mimi kijana mwenye 27 miaka,na umri wangu unakimbia. Wadau nipo chumba kimoja nalala chini na godoro langu sabab maisha bdo hayajakaa poa. Lakini nina mrembo wangu ametoka...
1 Reactions
91 Replies
6K Views
wanawake wenzangu mlio kwenye ndoa salaam! Kwanza napenda kuwapa hongera, maana ni stage nzuri na ya muhimu kwenye maisha. Najua kuna changamoto nyingi kwenye ndoa, ila haziwezi kubadilisha ukweli...
1 Reactions
29 Replies
4K Views
huwa nashangaa sana! Kulalamika january hadi december, jumatatu hadi jumapili, tarehe 1 hadi 30 kuwa hawana hela Kazi anafanya miradi midogo midogo ya kumpa pesa za kusongeshea gurudumu la maisha...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
The distance between insanity and genius is measured only by success. ― Bruce Feirstein “Everyone is born a genius, but the process of living de-geniuses them.” ― Richard...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Mie Karucee bwana nimeona haka ka bra kapya nikavae kazini. Si unajua tena kipya? Ee bwana nakomaje? Nisiiname nyonyo inachomoka chup chup. Nimejitahidi kubadili style ya kuinama imeshinikana...
6 Reactions
42 Replies
3K Views
1) Tangia abanduliwe ubavuni mwangu Haachi usumbufu wake kwangu, arghh! Kisa ni kiu yake apendayo niitulize vilivyo! Lolote nilifanyalo haridhiki hadi hilo nimfanzie! Kiu ya...
33 Reactions
63 Replies
9K Views
Mpenzi wangu ambaye niliweka matumaini ya yeye kuwa mke wangu kanibwaga. Nipo kwenye wakati mgumu sana, usiku wa jana kanichana live bila chenga. Sikulala jana, chakula akipandi, dunia...
5 Reactions
187 Replies
12K Views
Napenda nijuzwe hivi ladies maisha ni ndoa tu?????????????????? Umezaliwa kuolewa?????????????? Ladies hamna goals za kufikia ila ni ndoa tu??????????????? Hivi mnajua kuwa watu wana-manipulate...
1 Reactions
120 Replies
6K Views
Habari za asubuhi/mchana/jioni wana jamvi.Ninaamini mpaka unapata fursa kupitia uzi basi u mzima. Nisikuchoshe na story nyingi kama waomba kura.Kilichonileta hapoa leo ni tabia ya ajabu iliyoanza...
2 Reactions
45 Replies
11K Views
Ukiwa na girlfriend mara akupe hiki mara kile, mwisho..... oooh.......bby una mpango gani na mimi? Ukimuuliza upi utasikia UNATAKA UNICHEZEE TU KISHA UNIACHE? Atalalamika hapoooo atajifuta...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Dah..
4 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari wana jf, hivi karibuni nimejiunga na kwaya, kuna kaka mmoja nimetokea kumpenda lakini nashindwa nianzie wapi kumwambia yaliyo ndani ya moyo wangu. Hebu nipeni ujuzi wana jf, mwanamke...
4 Reactions
95 Replies
9K Views
Nilikuwa nimjipumzisha zangu kitandani natafuta usingizi gafla ikaingia message inasema goodnight...nami nikajibu gnait too. nikaendeleza kwa kujibu vipi paper mmemaliza jibu likawa kwishne...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Back
Top Bottom