Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Jamani wanandugu, kitu hiki kimekuwa kikinipa shida sana mimi, unakuta mtu ndugu yake au rafiki yake labda amemaliza la saba au form 4 ya 'Mulugo', katika kutaka kumsaidia anamtafutia kazi hii, je...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kuna kilio katika Jamii nzima juu ya mromoko wa maadili tunaoushuhudia ambao kwa kiwango kikubwa umebebwa na vijana. Kitu cha msingi kujiuliza ni Je? wakati kijana huyu anaharibika namna hii...
9 Reactions
30 Replies
3K Views
Ndoa naiona chungu na sijui la kufanya. Mke wangu ananichukulia kama mtoto, aninaamrisha, ananitumikisha na pia huwa ananipiga. Nimejaribu kupambana naye lakini nimejikuta nikiambulia maumivu na...
0 Reactions
98 Replies
9K Views
Tumezaliwa watoto wanne katika familia, mabinti wawil na wavulana wawili. Wasichana tulitangulia, mimi ni mtoto wa kwanza. Mdogo wetu wa mwisho yupo chuoni, tofauti yake na anemfuatia ni miaka...
3 Reactions
96 Replies
7K Views
Salaam wana JF najitokeza hapa kutafuta mwanamke awe MNENE, MKRISTO anayeishi kati ya DAR, MOSHI au ARUSHA mwenye umri kuanzia miaka 36,angalau awe na DIPLOMA kwa sasa mi naishi Dar japo...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Nimelipenda sana Shairi hili, nimeona ni vyema niwashirikishe na Nyie pia. karibuni To our dear child: On the day when you see us old, weak and weary, Have patience and try to understand us...
5 Reactions
30 Replies
3K Views
Naombeni mnipokeee asanteni
0 Reactions
15 Replies
1K Views
^^ Ndg wana Jf nimewasikia wanaume wengi walio katika ndoa,wakiwashauri wanaume wenzao wanaotarajia kuingia ktk ndoa kuwa unaporudi nyumbani usiku hata kuanzia saa 2 na kuendelea ....ukikaribia...
0 Reactions
75 Replies
5K Views
Salaam wana MMU!...... Nadhani mshawahi kusikia kwenye media zetu kwamba...... 1-AJIUA KWA KUNYWA SUMU KISA WIVU WA MAPENZI 2-AMWUA MKEWE KISA WIVU WA MAPENZI 3-AITEKETEZA FAMILIA KWA MOTO KISA...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wana jf!jamani mwenzenu naombeni ushuri.jamani kama mnakumbuka nilishawai kuja humu kuomba ushauri kuhusu matatizo ya mpenzi wangu ambaye kwa sasa ni X toka mwezi watatu mwaka...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nionavyo mimi ukiwa na fedha basi unaweza ukampata mwanamke yoyote hata kama utakuwa na sura mbaya.Hii hupelekea wanaume wengi kufanya kazi kwa bidii.Pia ukiwa na hela mwanamke anakuwa na...
0 Reactions
41 Replies
3K Views
A. Hapana B. Ndio C. Haita tokea D. Nina Aibu Baada ya kuchagua jibu, tiririka kidogo
0 Reactions
57 Replies
13K Views
Inashangaza sana kwa jamii yetu,unakuta watu mmeoana lakini matatizo hayaishi na ni wazi mmezhindwana lakini kwa unafiki na kuogopa macho ya watu wa pembeni watu wanabanana wanalazimisha kuishi...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Hii ilitakiwa iwe jukwaa la Gadgets lakini humu kuna wahanga sana itawasaidia. Kwa wale mliochoka kudanganywa na wake/waume, wapenzi wenu: mara oh nipo ofisini, sijui nina safari ya kikazi...
2 Reactions
25 Replies
3K Views
Habari waungwana... Jamani mapenzi ni sumu katili sana inauwa ipendavyo kwa haraka au taratibu. Hakuna maisha yanayokamilika kwa mtu hadi awe na upendo na upendo ule wa zamani hakuna kila...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tatizo la nguvu za kiume limeendelea kushika kasi kwa wanaume na kusababisha matizo katika familia nyingi na hata amahusiano mengi kuvunjika ama vinginevyo.,Katika miaka ya hivi karibuni...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
naombeni kuuliza unameza vingapi kwa siku nimepewa hosptal sijaandikiwa kipimo
0 Reactions
24 Replies
22K Views
Step No1. Tafuta hela ,2. Pata hela ,3. Tumia hela 4. Pata mwanamke. SIMPLE N CLEAR Hakuna haja ya kutafuta nywele sijui kucha za mwanamke uende kwa matapeli (waganga), sijui nakuota just follow...
5 Reactions
57 Replies
18K Views
  • Closed
Nimekuwa nikijiuliza sana maswali mengi kichwani kuhusu Viongozi wetu hawa Halima Mdee na Esther Bulaya. Hawa ni Wabunge ambao wapo pamoja sana. Walipokwenda JKT walikuwa pamoja, Dodoma wanakaa...
1 Reactions
32 Replies
13K Views
if you were to attend your ex's funeral and given an oppoturnity to give a speech..... What would be your last words to him/her??
0 Reactions
2 Replies
785 Views
Back
Top Bottom