Yamemkuta best yangu ameolewa hajui kupika.ilikuwa kama ka mchezo fulani ivi kila mume akirudi kazini anakuta chakula mezani bila kujua kinatoka wapi,mana hajawahi kumkuta mkewe akipika.
kumbe...
"Nilikuwa na Mpenzi, tukabahatika kupata mtoto wa kiume,anakaribia umri wa miaka mitatu mwezi ujao, Kwa muda mrefu nimekuwa nikimwomba mzazi mwenzangu anipe mtoto akakae na wazazi wangu na...
Hehehe nimeitoa huko kwenye blog ya wake za wazungu......lakini kweli huku kwetu uswazi kweli ni kawaida kuwa na mume with 10+ age gap. Wengi wao wanakuwa machumaji.....
Salam wataalamu wote wa Kike na Kiume na wale wasioleweka,
Jaman inasikitisha, mtu unaenda kumsalimu wandani wako.. saa tatu ya usiku anagonga jirani , jamani naomba kiberiti, baada ya saa 1...
Wanasema yalianza na adamu na hawa au eva ina maana hata wao waliumizana,na walikua wawili au yaliletwa tujaze dunia na siyo kuyafurahia me sielewi maana imekua fujo uongo na kumizana au wenzangu...
Wanajf habari zenu!! Brothers wangu watatu wana watoto wasiopishana sana kiumri,yaani kama miaka 5,miaka 4 na mwingine miaka 3. Hawa watoto wote wananyonya vidole. Mwanzoni mwa huu mwezi wameletwa...
Mambo vipi WADAU,poleni kwa uchovu wa wkend,
Nimeona niwatumie hiyo PDF File ya kitabu,Unakaribishwa na maoni yako na uzoefu wako pia.....
Nimekuwa nikiona mada mbalimbali zinazohusu sehemu...
Nimefahamiana na dada mmoja,
Kila siku akawa ananitumia ujumbe mfupi kwenye simu yangu, i miss u, nikadhani kawaida. Baadaye akanitafuta facebook, Jambo moja alilogundua bila hata kuniuliza, nina...
Naombeni msaada jana nilikua na demu tunataka kufanya tendo la ndoa lakini mara ya sita sasa kila nikiwa na mwanamke uume hausimami sawasawa na tangia ni zakiwe sijawahi kufanya tendo la ndoa...
Unapo wauliza swali kati ya mwanamke na mwanaume ni nani anayeweza kumridhisha vizuri mwanamke kimapenzi.( Sexual Satisfaction ). Hoja yao ya msingi huwa ni " MIMI NI MWANAMKE...
Habari wana jf, huwa najiuliza hvi kwanini jamii imejenga tabia yakutumia sehemu ya viungo vya wanawake kutukana??? Utasikia k..m ya mamako hvi wanaume hawana sehemu za siri why nazo zisitumiwe...
Tafadhali sana naombeni msaada wenu wa jinsi gani au nifanyeje
namtafuta dada yangu anaitwa
Ghati Josephati Magoiga,sijawahi onana nae
tuliambiwa na baba kuwa tuna
dada yetu anaishi Nchini...
Katika hali ya kushangaza hapa mwanza ktk eneo la nyakato ktk Bar ya S&D jana kulifanyika sherehe kubwa ambayo iliambatana na uchinjaji wa ng'ombe wawili na vinywaji mbalimbali ikiwemo kreti 50 za...
1. "You're very smart."
Women want to be appreciated for their intelligence. By acknowledging her intelligence, you're communicating that you recognize her brains and not just her figure.
2. "You...
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Lamgambo likilia ujue kuna jambo! Mjini Chuo Kikuuu!!!!!!!!!!!! Zubaa Uzikwe Hai!
Hayo yote yamemkuta shosti wetu mmoja mpaka kujiona nuksi na kushinda...
Jamani ninarafiki yangu ambaye kiumri mm na yeye hatulingan, yeye kaoa mm bado sijaoa na tunasoma wote chuo kimoja, niliwah mtambulisha hapo nyuma kwa mchumba wangu ambaye natarjia kuwa mam wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.