Habari wadau mm ni kijana wa kitanzania kwa sasa naona umri wangu wa kuoa umefika. Katika harakati za kumpata mwenza nimefanikiwa kumpata msichana lakini huyu dada anatatizo moja amekeketwa...
Na Dustan Shekidele, Morogoro
WANANDOA Charles Kanyema (29) na Bi. Onoratha Pascal (28) hivi karubuni waliwashangaza wakazi wa Manispaa ya Morogoro baada ya kwenda kufunga ndoa wakiwa wamepanda...
Hi!
Swali hili ni kwa wanandoa ambao walikuwa na mahusiano mbalimbali kabla ya ndoa tena wengine wanafikia kujisifu eti mimi nilioshiriki nao najaza bajaj, tax,Hiace, coaster au basi.Je baada ya...
KWA WASICHANA MKICHUKIA SAWA TU:Mgongo" Umechanjwa chanjwa Kama
Mganga Wa Kienyeji Bado Unavaa Kinguo kinaacha mgongo wazi,Mguu" Umekomaa Kigimbi hicho Kama mcheza mpira wa miguu, "Eti nawe kimini...
Nimatumain yangu wote mko wazima ! kiukweli leo nimekuja nikiwa na nia ya kusaidiwa ushauri na mawazo ya kunijenga kwa wale wenye lugha za kejeri nitaomba leo mtulie tu. kiufupi mm ni hajuza wa...
Wana jf wenzagu hebu nipeni ushauri on wat 2do? Kuna kabnt kananixumbua kinomanoma! Kapo dsm, 4the moment mm nipo dom, bt i will be there soon. Kanajua kama nakalove bt hakataki hata kutoa chance...
++
Tunajua kuwa Moja kujumlisha Moja jawabu ni mbili..Ndivyo tulivyofundishwa na kweli jibu liko hivyo.
1+1=2
++
Lakini linapokuja ktk Mahusiano ya mapenzi na ndoa Baadhi ya maelekezo ya...
Nimeuliza hili swali kwa sababu kwenye jamii yetu baadhi ya kina dada ambao hawajaolewa hadi umri fulani wanakuwa 'desparate' na kupelekea kuchukua maamuzi yanayoshangaza au hata kuwaumiza...
Kuna msichana mmoja aliona maisha kuwa magumu sana, kila alichokuwa akikifanya alikuwa akikiona kushindikana jambo ambalo likaomfanya kukata tamaa. Kila alipokuwa akilitatua tatizo hili, kuna...
WAENDA KUFUNGA NDOA KWA BODABODA, WARUDI KWA MIGUU
by GLOBAL
WANANDOA Charles Kanyema (29) na Bi. Onoratha Pascal (28) hivi karubuni waliwashangaza wakazi wa Manispaa ya Morogoro baada ya...
(**nikikaa nikifikiria swala la kuolewa huwa nakosa raha..nawaza kuwaacha wazazi wangu...mimi ni mtoto wa mwisho..na nyumbani tumebaki mimi., baba na mama...wengine woote washaoa na kuolewa.nawaza...
Nipo hapa pande za kurasini. Katika kupita pita nikasikia makelele makubwa sana. Wadada wenye age kati ya 28 mpaka 35 hivi wakiwa wanapigana mbele ya kadamnasi.
Sasa kilicho nishangaza mpaka...
Mambo mengi yanayohusu mwanamke yameandikwa na wanaume.Jambo hili limesababisha kuwepo na taarifa nyingi za kutia mashaka kuhusu mwanamke.Dr Marie Robinson ni mwanamke aliyeolewa.Katika utafiti...
^^
Kuna wanaume ambao wanakabiliwa na tatizo la kutoa mbegu haraka sana.Husisimuliwa upesi sana wamtazamapo mwanamke akiwa amevua kila kitu,,ile shamrashamra,kusisimuana kunakofanywa na mwanaume...
I salute all MMU, samahani kwa utakayekwazika kwa uzi huu ila.......... niko nyoronyoro.....
Mmmh!! Sijui ndo uteja, ila hapa nimekamatika, week end hii nilikuwa night shift full...
Haya maneno na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.