Malezi bora na timamu, yanapaswa kuwashirikisha wazazi wote wawili, yaani baba na mama. Wazazi hawa wanaposhirikiana katika kuwapa watoto wao malezi yenye taratibu njema za kimaadili, ni dhahiri...
hata kama ni kupenda mwenzenu nimepitiliza, nampenda hajal hisia zangu nampigia cm hapokei wakat mwingine anajib im tired nataka kulala, nimeamua kukaa kimya labda atanitafuta kimya wiki sasa...
Nimetoka kuipitia bajeti ya serikali mwaka 2013/14 kwenye tovuti na magazeti mbalimbali, najaribu kuitazama katika jicho la kimahusiano naona kuna kizungumkuti kikubwa. Bajeti italeta ugumu sana...
Wapenzi wa jf mimi ni kijana wa 29yrs ni mhitimu wa chuo kikuu lakini kazi bado, natafuta mchumba wa kuoa namaanisha, awe mkristo, mcha Mungu, ajali familia yetu kama ilivyo yao, awe ametulia sio...
marry a lawyer.....its legal
marry a doctor....its healthy
marry a policeman.....i ts secure
marry an actor....its thrilling
marry an artist.....its creative
marry a businessman.... ..its...
Hi wana jf! Katika moja ya vitu ambavyo cjawahi kufikiri ni kuishi kweny jamii wa wanawake wengi kama Udsm halafu utoke bila kupata mke wa kuish nae sas yamenikuta mana ndo namaliza na npo kweny...
Wadau nakumbuka nikiwa kidato cha sita paper2 physics ilikuwa ngumu sana kuna jamaa yangu tulipotoka akanambia wakati anafanya mtihan invigilator aliposema 30 minutes to time jamaa alikuwa...
Nimenukuu kwenye kitabu, nafikiri ni maoni ya mwandishi,
Sura ya Sita Ndugu wa Karibu na wa mbali kwenye Ndoa Wakati mwingine mtu huweza kufikiri matatizo yanayohusiana na ndugu kwenye ndoa...
Habari wana JF???
Wengi wetu humu tuna watoto na si ajabu wengi ni young parents kama sie.
Hebu leo tuzungumzie mapenzi kwa watoto wetu, wengi tunawapenda watoto wetu sana na kila mmoja...
Heshima yenu wakuu.
Mimi ni mvulana ambae nimekuwa katika uhusiano wa kimapenz na mdada ambae hanikumbuki.
Wakat tukiwa secondar IV 2005 Huyu bint alikuwa form I shule hiyo hiyo.nilipo muona...
Leo nlikua nasikiliza radio fulani nikasikia wanasoma barua zilizoandikwa na watoto waliokimbiwa na baba zao. Hii ikanifanya nikumbuke maisha yangu ambayo me pia nimekumbwa na mkumbo huu wa...
Katika Jamii yetu vijana/mabinti wanapokuwa na mahusiano ya Kimapenzi na watu wanaowazidi umri kwa mbali sana inaonekana kama ni Jambo la ajabu, na ndio maana wale wanaoshiriki mahusiano yanamna...
Napenda kuwauliza ndugu zangu, kwa nini mnafanya mapenzi kabla ya ndoa? Why don't u wait until muoane?
Research zinaonyesha hii inasababisha mahusiano mengi yasidumu.
Ukimpenda Mwanaume mwenye PESA au HANDSAM ni sawa na kufungua account NMB hivyo suala la foleni ni la kawaida usichukie ukimkuta mwenzako.
Kwa hiyo ni bora mdeal na sisi manyandumbi na wasio na...
Mfanyakazi wa ndani aliyejiua kisa mapenzi aitwaye Devotha Sanga leo ameagwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam.
Marehemu Devotha alijinyonga Juni 4 mwaka huu akiwa...
Eti mimi nataka Mwanaume awe mtanashati,awe Na Kazi yake ya
Kueleweka, awe na Pesa,awe amesoma soma May Be Chuo hivi hapo Sawa Vingnevyo tupa Kulee, Wewe Mbona umeishia Darasa la saba? hata Chuo...
Popote alipo anitafute au kama kuna m2 anamfahamu bas ujumbe amfikishie nimempoteza rfk kipenz roho inaniuma xna
anafanya kaz NGO,mwembamba,mweupe na mrefu.
kama ukiupata ujumbe huu plz naomba...
Mie nakaa na mudada mumoja ananisadiaga shughuli zangu.Huyu mudada alikuja kama housegirl but nikamupeleka shule na kumuweka msafi mpaka sasa ninaishi nae.
Ni mudogo yangu kabisa.
wikiend...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.