Je mlikuwa mnayajua haya…?
1-Kwa kawaida mwanaume huweza kufurahia tendo la ndoa bila hata kumpenda mwanamke, lakini kwa mwanamke, hiyo ni tofauti, kwani hawezi kufurahia tendo la ndoa...
Leo asubuhi nikiwa stand ya mabasi Buzuruga Mwanza nakata tiketi ya dogo; mdada mmoja wakati anapanda kwenye kagari kake akadondosha simu; mimi nikamuita ili nimweleze kilichotokea, akanisonya...
===
===
"Hii Sio Mchina, Mwanamke Mwenye Mahispsi Makubwa Kuliko Wote Duniani"
Kama umesikia wanaume wanaweza kuvunja shingo wakigeuka kumuangalia mwanamke akipita, basi huyu mwanamke...
Kwa sisi wanaume kuna umri flani ukifika kitendo cha kuwa na msichana zaidi ya mmoja ni ushamba, nimewataja masela coz kumiliki madem wengi ni kama katabia miongozi mwetu.
Umri huu ukifika...
wana jf.kuna hali naiona kwa dada/wake zetu nashidwa kuelewa.Nguo nyingi wanazova sasa zinaonyesha mistari ya chupi.najiuliza ni naumbile? nguo za sasa zinashidwa kusitiri? au ni makusudi?
Baada ya mwaka mmoja wa ndoa, Merian asema anajuta kwa nini alikubali kuolewa. Merian na Joseph (haya siyo majina yao halisi) ni mtu na mumewe.
Nikiwa katika Mkoa wao kikazi, niliamua...
Nifanye nini kuwaepuka watu wanao niomba omba hela. Naombeni ushauri wenu pls coz its getting in to worse, hazipiti siku mbili bila kupokea ujumbe mfupi wa maneno kutoka...
Nimeziona wanauza maeneo fulani hiv ya Morogoro, ni kati ya Morogoro na Mikumi. Hapo mahali ni mashuhuri kwa kuchimba dawa ikiwa unasafiri kwa mabasi kwenda nyanda za juu kusini kutoka Dar ama...
Niliwahi kukutana na mkaka ambaye alikataliwa kabla hajazaliwa na hadi Leo ana zaidi ya miaka 30 na bado anaumia kwa mwanaume Yoyote kumwita Mwanangu..
Jamani 2namsaidiaje huyu? Hadi baba yake...
When the womans face is revealed to the camera, however, we see that she is beautiful by human standards, but, to our surprise, when the camera turns to reveal the faces of doctors and nurses, we...
Wadau habari za mapumziko ya wkend....
huwa kuna kitu najiuliza sipati majibu,huwa napata majibu mepesi tuuu ambayo huwa nayasahau kwasababu ya wepesi wake....
Hivi Kwanini mwanaume anapokutana na...
Salamu kwenu MMU,
Ni binti mtanzania, ninavuta sigara tangia nilipomaliza tu high school hadi leo nimemaliza chuo nimeajiriwa mahali. Kazi yangu inaniweka busy sana kiasi napatikana mjini kwa...
Habari wana jamvi, poleni na majukum ya mwisho wa wiki,
mimi ni baba wa familia ya watoto wawili, ni hivi majuzi tu nilidondosha uzi hapa jamvini kwa kutaka ushauri wenu
nashukuru kwa walionipa...
leo asubuhi nimeona ushuhuda mmoja toka emmanuel tv
huyu mama yupo 48 kwa sasa
alipatwa na tatizo la kukojoa kitandani since yupo miaka 10. kaishi na hilo tatizo kwa mateso mengi
sasa akaolewa...
Ni jambo la kawaida kwa marafiki walioshibana kutambulishana wapenzi wao. Mara kadhaa, rafiki yako au ndugu yako anaweza kukutambulisha kwa mtu wake na baadaye kukuliza, unaonaje.. unadhani...
Nimekuwa nikifuatilia habari na mengi yahusuyo jamiiforums, kiukweli, nkaipenda na nkaomba kuwa mwanachama.. Kwa Hilo nashukuru na ntafurahi kupata new friends. .
Hawa vijana wanakulana uroda tu au kuna kuoana kweli?
Pole kwa jamaa zangu wenye wake na wachumba chuoni; haimaanishi wote ni wachakachuaji lakini asilimia kubwa mnaibiwa!
Huwa zinaanza maisha vizuri sana. Hasa wakati mtoto wa kwanza anapozaliwa wakati huo baba na mama wanapendana sana na huyo first born huwa analelewa kama princess/prince. First born huwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.