Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Girlfriend wangu kanipigia sim! Na kunimbia anaomba ruhusa ya kuvaa suruali. Kilichonishtua ni kwamba sijawah kumuambia vaa hiki au usivae kile. Sasa inakuaje aniambie kitu kama hicho? Au...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
nilipoingia 4m 5 nimesoma shule ya girls only...nilimpenda rafiki yangu mmoja sanaaaa kuliko wote...nilimpa zawadi nyingi hata wakati wa likizo nilikuwa namtembelea kwao..nilimpenda sana...kila...
0 Reactions
139 Replies
13K Views
Seriously wanawake ni viumbe dhaifu sana (according to Vitabu Vitakatifu eg Quran etc). Kama heading inavyojieleza yenyewe.. Imani yangu kwa hawa viumbe imepungua kwa kiasi kikubwa sana.. Sina...
1 Reactions
24 Replies
2K Views
99% people get scared when a text reads "can i ask you a question?" source: 99% people get scared when a text reads "can i ask you a question?" | Information Facts
6 Reactions
22 Replies
2K Views
Jamani Huyu kaka ni hero he rescued Amanda berry in Cleveland Ohio .yaani ni anachekesha .Kwani ingekuwa wewe ungeshtuka
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Ni wakati mgumu sana,lakini ni lazima tukubaliane na matokeo tu ' Mwana JF mwenzetu tena mkongwe kokudo amefiwa na mwanae wa kiume jana na mazishi yanatarajiwa kufanyika kijijini kwao kokudo...
13 Reactions
96 Replies
5K Views
Mke akiwa safarini kwao aliandika ujumbe redioni, 'NAMRUSHA ROHO FULANI(JINA KA MUME WAKE). UJUMBE ASITEME BIGIJII KWA KARANGA ZA KUONJESHWA'. Baada ya mume kuusikia majibizano yalianza kwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hii dunia ni gari yaweza ikapinduka. Usione ufahari kulala ukiamka. Elewa maisha safari haitaacha mashaka. Wako wapi matajiri walio wakisifika. Nyumba zao makaburi wala hawakuridhika. Ni nyumba...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kabla Ya Kusex Wapenz Hushirikiana Kuvuana Nguo Taratiiiiiibu Tena Kimahaba Lakini Wakimaliza Kila Mtu Anavaa Kimpango Wake, We Unafikiri Ni Kwa Nini??
0 Reactions
0 Replies
871 Views
Shukrani zetu za dhati kwa swali lako kuhusu mwanamme kupewa cheo zaidi kuliko mwanamke. - Hakika hili ni suala ambalo linaonekana hivyo na watu hasa kwa ajili ya kasumba ambazo zinatiwa na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Baada ya kusoma tusabahiane kama hili linatokea na huku kwetu....Siyo mzima Ki UK hivyo sitegemei kuhitajika kubadilisha iwe Lugha yetu adhimu ya KISWAHILI...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Haijalishi kuwa ni mgeni au mwenyeji juu ya kujenga uhusiano na mtu lakini moyo ukishaegemea upande fulani basi mtu huwa kama asiye na masikio wala macho. Utajikuta unapenda kile ambacho mwenzako...
1 Reactions
44 Replies
9K Views
Habari zenu wakuu! Mwenzenu nina mpenzi ambae tunapendana sana ila kuna jambo moja ambalo silielewi kwa huyu my swt love, tunapokutana huwa anatabia ya kupekua cm yangu sana na wakati mwingine...
0 Reactions
47 Replies
3K Views
If you are reading this article, it means that on some level, you are thinking about venturing back out into the world of dating after a loss, a divorce or a break up. Whether you realize it or...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
:confused3::confused3::confused3::confused3::confused3: Nilitumia zaidi ya asilimia 90 ya mshahara wangu kumsomesha......nilikuwa na salun ya kiume na kike vyote vikafilisika kwa ajili ya...
0 Reactions
37 Replies
3K Views
Nilimtokea mdada mmoja mrembo hivi anauza duka la dawa, tulidumu kama miezi mitatu hivi bila kufanya mapenzi tukawa tunachati kwa simu naenda ofisini kwake mara mojamoja, tatizo lake la kwanza...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Nahitaji ushauri wenu wanabodi. Kila ninapopata mwanamke mwenye makalio makubwa nashindwa kabisa kupiga mashine. Imenitokea zaidi ya mara tano. Lakini nikimpata mwanamke aliyepigwa pasi naweza...
2 Reactions
58 Replies
4K Views
ameolewa ana miaka 11 ndani ya ndoa na ana watoto wawili,wa kike na kiume..Akiwa na miaka mitatu ndani ya ndoa aligundua kua mumewe hajatulia,alikua ana mahusiano nje na wanawake wenye uwezo tu,na...
2 Reactions
60 Replies
5K Views
When a woman is attracted to a man, she speaks in a higher pitch than normal Ya kweli hayo??
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom