Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Wanawake wengi utakuta husema kuwa wanataka kuwa na mwanaume mzuri lakini endapo atatokea huyo mwanaume mzuri wanakimbia katika muelekeo mbadala. Kwahiyo kuna nini kimejificha hapa katika akili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana MMU na jf kwa ujumla. Leo nimetokea kufikiria hivi kwa mfano wanaume kwa namna tulivoumbwa na hali ya ubabe na nguvu,ingekuwa sisi ndo tunabeba ujauzito,mambo yangekuwaje,wangapi...
5 Reactions
40 Replies
4K Views
gari ninunue mie mafuta niweke mie misele upige wewe majanga oooh majangaa chumba nitafute mie kodi nilipe mwenyewe kulala unilaze wewe majangaaa ooh majangaaa shambani tuingie wote kulima...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
HESHIMA KWENU WAJUMBE. Baada ya kuwa na wakati mgumu ndani ya ndoa yangu hata na hatima iliyokuwa haijulikani juu ya Mustakabari wa maisha na maendeleo yangu kiujumla sasa imerekebishwa na...
5 Reactions
26 Replies
3K Views
Jamani mm nitakuwa nina tatizo kwani nikisikia harusu yake basi mimi nawehuka.. Juzi juzi nlienda beach nikaokota moja nyeusi fasta nkaitia kwenye mfuko wa suruali... nkawa nainusa mdogo mdogo...
4 Reactions
44 Replies
5K Views
Hiliswali limekuwa likisumbua sana kichwa changu,please tusaidiane kwa ushauri juu ya hilo, Sent from my BlackBerry 9780{katefar}
0 Reactions
137 Replies
16K Views
Nina miaka 36,nimemwoa binti wa miaka 21 form six fresh from school,huyu dada kumbe kipindi anasoma alikuwa akichoma sindano za majira tangu nimwoe miaka miwili hatujapata mtoto juzi tumeenda...
1 Reactions
129 Replies
13K Views
Nina mchumba wangu (wakike) ni mwanafunzi wa chuo kikuu kimojawapo hapa nchini.Siku moja nilipata ujumbe kwenye simu yangu kutoka kwenye namba ngeni ukisomeka hivi ("Hapa huna mchumba jamaa wana...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Heshima kwenu brother and sisters Demu amegoma kutoa papuchi, jamaa ameamua kuvunja uchumba.. Kisa anadai mdada hakuwa Bikra na ameshakuwa na relationship zaidi ya 5 zinazojulikana na zote...
1 Reactions
62 Replies
6K Views
Jaman wadau hii imekaaje..unaboyfriend/ girlfriend ambaye we unaona mnapendana sana na kuna strong bond..kumbe anademu/bwana nje na anapewa zawadi yy km yy..lakini sijui ni dharau au ni upendo ile...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
DONDOO MUHIMU Utafiti ulihusisha watu 108, kati yao 27 walikuwa wanaume na 81 wanawake.Ulifanyika kwa kukusanya maoni katika mtandao, midahalo na kujaza madodoso.Walioshiriki walikuwa naumri...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
naomba nipewe ushauri wa busara.mke wangu ni fundi nguo(cherehani) anatoka asubuhi na kurudi jioni,sasa kila nikimuomba unyumba hudai amechoka,na ni ukweli hua amechoka na hiyo kazi yake...
1 Reactions
34 Replies
4K Views
Habari za wakati huu wana MMU, ni wiki ya pili sasa toka mama yangu mzazi aje kunitembelea.Nimefurahi na kiasi flani nyumba imechangamka.ishu iliyonisukuma kuandika uzi huu usiku huu ni kuwa mama...
0 Reactions
90 Replies
6K Views
Salama wana MMU. Kitu mahusiano,mapenzi au urafiki (MMU) wa karibu kama watu wanavyopenda ifahamike pale kinapokolea kati ya watu wawili hasa nazungumzia jinsia mbili tofauti yaani -me na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Men!!!Men!!!Men-- !!! So complicated, So confusing, So hard to please. If u try 2 pls them, u re cheap. If u make love (sex) to them, u're a Love Peddler. If u don't, u re playing hard to get. If...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Habari za mida hii ndugu jamaa na marafiki wa jamii forum: Naomba ushauri wenu wa kufanya baada ya kuguswa na haya yaliyonikumba, Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 27 nilitokea kupendana...
1 Reactions
137 Replies
9K Views
Nimeamua kuleta mada hii kutokana na ‘upepo' wa kisiasa/kitaifa unaolikumba taifa letu. Mie naona kila kitu vululuvululu. Hivi ‘wanamme' wetu wameenda wapi? Wako wapi wale wanamme...
3 Reactions
46 Replies
3K Views
Naombeni ushauri kama ni sahihi Nilikuwa na rafiki wangu wa kiume ambaye tuliachana zaidi ya mwaka mmoja uliopita. sasa wakati tukiwa kwenye mahusiano yeye alikuwa chuo anasoma ila alikuwa...
1 Reactions
55 Replies
3K Views
Inashangaza, inasikitisha tamaa mbele, hupenda shortcut ya maisha anataka uwe na gari,nyumba,pesa nyingi wao ndo wanaona hayo maisha ukizingatia kwao hivyo vitu vimekosekana pamoja na kwamba naye...
3 Reactions
85 Replies
6K Views
I have decided to stick with love. Hate is too great a burden to bear. Martin Luther King, Jr. Read more at Love Quotes - BrainyQuote
0 Reactions
0 Replies
612 Views
Back
Top Bottom