Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Leo nimekutana na jirani yangu wa zamani na tulikuwa marafiki pia yeye na mume wake! Baada ya kujuliana hali alinijulisha kuwa waliachana na mume wake miezi 9 iliyopita! Inasikitisha ...ila...
0 Reactions
37 Replies
6K Views
Kwa nini wanaume wana chuchu?? Viungo vyote tulivyo navyo vina kazi maalum, lakini sijajua kwa nini men wawe na chuchu, nini kazi yake??
3 Reactions
127 Replies
11K Views
Ichunge Misingi 6 ya Mafanikio: (1) Usimchukie Yoyote Hata Kama Atakukosea Vipi. (2) Ishi Maisha ya kawaida Hata Kama Upo Juu (3) Tarajia ushindi Hata Kama Mapito ni magumu (4) Toa maamuzi...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
HASARA ZA KUJICHUA KWA MWANAUME: 1. Kupungua kwa hamu ya kufanya mapenzi. Athari kubwa ya kupig puri ni kuwa hupunuza kwa kiasi kikubwa hisia za mapenzi za mwanaume na kumfanya awe mtumwa sawa na...
2 Reactions
2 Replies
9K Views
Wana jf habari. Mwenzenu nimepata kazi kwenye kampuni fulani mkoani tena kwa kuunganishiwa na mtu maana nilisota nyumbani muda mrefu sana ila hatimae nimepa. Nilipopata nikawaambia wazazi...
0 Reactions
92 Replies
7K Views
Ni kitu gan mpenzi wako hana lakini unataman sana kama angekuwa nacho?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
i dont know how to explain it but all in all tokea niyajue mahusiano mie na wanaume za watu tu na kiukweli wananipenda sana na napendana nao sana na huwa tunadumu sana ila nkidate bachelor hata...
0 Reactions
173 Replies
13K Views
Tofauti na mazoeas na mtazamo wa wengi kwamba mwanamke ndiye anayeumia zaidi akikosa mtoto, wataalamu wamegundua kuwa anayeumia zaidi kwa kukosa mtoto ni mwanaume. Utafiti huo umeonesha kuwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Do you have a mother in law ?say something about her
0 Reactions
17 Replies
1K Views
nimezoeana sana na demu wa rafiki yangu na mpaka leo ni marafiki wakubwa yeye na bwana wake,kuzoeana huko ilifika hatua bila mimi yule binti hafanyi kitu,akitaka kutoka lazima aniite,akitaka...
0 Reactions
76 Replies
6K Views
Wana jamii mwenzetu niko so so lonely,any ideas how to get out of this situation. This is a serious matter so utani na kejeli naomba ziwe pembeni
1 Reactions
40 Replies
3K Views
Ni jambo lililo la ajabu kwangu kuliona na ninaendelea kujifunza. Nimekwisha simuliwa na mabinti kadhaa namna walivyochukiwa na kuachwa na wapenzi wao ambao waliwapatia ujauzito kisha kwasababu...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
hi jf! hope ur fine; kuna bro wngu amepata mschana ambae amewashinda wazazi wake, club analala pombe ndo usiseme mtaa mzima anafahamika bt bro 2memshauri achanenae lakini amegoma coz eti du ana...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimejaribu kuomba ushauri kwenye mablog, forum na mitandao mingine nimekutana na mambo haya:- A-hupewi ushauri B-watakuzodoa na kukucheka C- ama utapewa ushauri usiofaa Lakini hapa jamvini ni...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Nataka kuanzisha hii biashara TZ sijui ntafanikiwa.
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Dunian lazma tusaidiane lakin mpenz wako wa zaman my be mliachana ktambo akaja kwako kuhtaj msaada nawe ndo 2 unaweza kumsaidia baada ya kumsaidia ikawa ndo tena chanzo cha kuanza tena mawacliano...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Hope everybody is fine. Hebu tushauriane hapa (mwanamke mwenzetu ameomba ushauri); mwanaume ni mlevi. anaondoka asubuhi hadi usiku mwingi yeye yuko bar tu analewa mwanzo mwisho. Kama siku za...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Tafiti mbali mbali zimebainisha kuwa watu walioko katika ndoa huwa wanaishi maisha marefu, wanakuwa na afya njema, wanakuwa na kipato kikubwa, wanatajirika mapema, wanakuwa na maisha yenye furaha...
0 Reactions
31 Replies
6K Views
Nina mpenzi wangu yuko chuo kikuu,na tupo kwenye uhusiano mwaka wa nne na sasa tupo kwenye hatua za mwisho kutambulishana kwa wazazi,ukweli tumekubaliana kuoana pindi amalizapo chuo,lakini miezi...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Jamani ndugu zangu naombeni maujanja ni mbinu zipi ambazo mimi mtu wa kawaida kipesa naweza kuzitumia kupata mtoto mkali.sababu kuna rafiki yangu yeye kiukweli kipesa yupo kawaida lakini watoto...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom