Niliyempenda sina mvuto Nayetena.
I just feel like walking away .
But im afraid of hurting her.
We've been together in so many things.
On ma mid 20's I'm certain there's one right for...
Kabla hujaingia ndani ya ndoa kwa wanaume kitu ambacho huvutia ni uzuri wa kimuonekano i.e physical appearence na kwa wanawake ni jinsi gani mwanaume anavyojali na usmart wa akili pamoja na...
Kupenda si kazi bali kumpata anayekupenda ndio issue! Hapa juzi kati nimepata zali la kimahusiano na mtoto wa kifilipino tulikuwa tunawasiliana tu vizuri mpaka tukapanga mipango mathubuti ya hapo...
"Habari zenu wana MMU"
Siku nyingi jamani... Hoping tu wazima wa afya na that the Holidays where Great!
Kawaida a couple hua watamaniana pendana na hatimae kujikuta ni wapenzi katika urafiki...
Naamini yaliokukuta yanaiendelea kukuta atuitaji kuamini na wenzetu wanaooaana leo nao tuwaombee mabaya;;kama mtumishi wa Mungu nawatakia wote wanaoenda kuoana siku ya leo ni furaha yangu kuona...
kuna dada mmoja tulipotezana kwa muda mrefu, so tukakutana hivi karibuni tukakumbatiana ( bear hug) cha ajabu baada hug akaniambia ASANTE huku akiniangalia machoni, sijawahi kuambiwa asante katika...
Siamini macho yangu, kama kwel heshima, utu, aman na upendo kama vinaweza kuwa kutu tena isiyoweza futika moyoni mwangu. Rafiki yangu kala mzigo kwa demu wangu ambae ni shemeji yake na yeye akiwa...
Ndugu zanguni wote sisemi unaeoa ama kuolewa leo maana is too late nasema kuna watu wanapenda ndoa just wanatakiwa kuoa ama kuolewa na wapo wanaooana sababu zao binafsi ikiwemo mchumba maishayake...
Yaani kuna demu mmoja kiikweli nilikuwa nampenda sana tena sana na yeye alijua kuwa nampenda ila mwanzo wamwaka huu baada ya kumtambulisha kwa baadhi ya nduugu zangu na kupita kama wiki mbili...
habarini wana jamvini, ni ivi una kua ktk relation na mwanaume na ktk kipindi chote cha relation mnakuwa ni watu wa kugombana saana , una amua kuachana naye na ktk kipindi icho cha kuwa mbali ana...
Kwanza ahsanteni sana wale wote mliochukua fulsa ya kunishauri vyema nini nifanye tupo pamoja,kweli ss binadamu tuna mapungufu ila si sawa kumjibu mtu kwa kejeri,dharau,kashfa ama masimango ikiwa...
JAMAA AFUNGISHWA NDOA YA WAKE WATATU
Anikulapo Kuti akiwa na wake zake watatu wakati wa ndoa yao.
FELA Anikulapo Kuti, raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ametoa mpya kwa...
A group of professional people posed this question to a group of 4 to 8 year-old, What does love mean?
The answers they got were broader and deeper than anyone could have imagined. See what...
Tulishi kwa amani upendo furaha baada tu ya kumaliza mktaba wangu na kampuni ya GGM mkoani Geita mke wangu alibadilika sana akawa na mazoea na rafiki yangu sikujali sana maana ilikuwa kawaida sk...
jamani kama Wiki mbili zimepita niliwashirikisha kua mchumba nilie mtambulisha aliumwa ghafla, sasa nimegundua tatizo japo hakua mwazi Sana anasema tatizo kipindi yuko A level alia kugombana na...
:whoo:Hili kweli ni jiji nililokuwa nasimuliwa wakati nikiwa naishi jiji la joto siku zote......
Yapata miezi mitatu sasa nikiwa hili jiji ambalo msimu wa baridi umeingia....nimekutana na mengi...
Jamani mwenzenu hapa napokaa nina kama abt a year sasa...life yangu nikitoka job ni mimi na my family au mitoko tu ya nje..neighbour ni habari mzuri baasi....sasa kuna dada anafanya kampuni...
::
Mapenzi ya siku hizi
Yana kila utelezi
Huniacha domo wazi
Nikitokwa na chozi
Najiuliza tangu juzi
Miaka 30 bila mpenzi
Vip,ntashinda huzuni?
::
Nipatapo mchumba
Akili yangu huyumba...
Ukitaka uchukue au ujaribu, kama hutaki acha, huu ni ushauri wa Mwendawazimu...
Ukiachwa au ukisalitiwa na mpenzi unayempenda unasikia kama maumivu fulani chini ya kifua kwa ndani (depression)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.