Ndugu wana JF habr za jioni natumai mko poa na kwa wale ambao mungu hajawajalia afya basi ni kwa utukufu wake.
Kama mada inavyoonekana hapo juu suala la ahadi znazotekelezeka n chachu kubwa...
Mke wa Frankhuwa anajivunia mume wake kuwa ni mtulivu. Hashindi Bar na si msaliti wandoa. Akitoka kazini huenda kucheza basketball na hurudi nyakati za dinner.
Siku moja mkeweakamuhurumia...
::
Binadamu tumeumbiwa kutafuta furaha katika maisha.
Tutajaribu hili na lile ilimradi tu tupate furaha.Je ni rahisi furaha kuipata?
::
Washairi huitukuza,Waandishi huielezea,Wanafalsafa...
»If you have
Food in your in your house,
Clothes on your body
A roof over your head and A place 2 sleep youare richer than 75% of the entire world.
If you have money in your wallet
A little...
Jamani wenye uzoefu nisaidieni nifanyeje hapa?
Miaka miwili iliyopita nilipata rafiki ambaye tulikuwa wapenzi baada ya muda. Naweza kusema ni mzuri sana sijapata kuona, na kitandani anajua...
my 8 years spouse recently told me nichague mawili after never ending conflicts between us, tuachane au niendeleee kuishi naye lakini nikijua hanipendi...siyo kirahisi kama ambavyo unasoma hapa...
Siku za nyuma wanawake kwa ujumla walikuwa wakivaa nguo zinazoficha kila sehemu za miili yao zikiwepo sehemu zilizokuwa zinawapa tabu wanaume kila wanapoziona kwa bahati mbaya au vyovyote. Nguo...
Nauliza mujuao, Mulio na nyingi fani
Watu na elimu zao, Magwiji na Magogeni
Nimekwama hadi leo, Mebaki mushkelini
Unaopenda ni moyo, Au akili kichwani?
Wengi niwasikiao...
NDUGU zangu, mapenzi yapo lakini pia kuachana kwa wapenzi si jambo la ajabu. Leo hii na muda huu unaosoma makala haya, wapo ambao ndiyo kwanza wanaanzisha uhusiano lakini pia wapo ambao...
Wapendwa habari za majukumu ya kulijenga taifa;
Nikiwa katika pitapita zangu miezi mitatu iliyopita; nikikutana na mwanadada mrembo; nikawa nimekaa naye meza moja. Katika kuongea ongea akanipa...
Majira ya saa 3 na nusu alifika bint mmoja katika kijiwe cha vijana (maskani) kwa lengo la kumfanyishia kijana mtanashati 1 anaekaa katika maskani hio.
"Haiwezekani anitelekeze na mimba nimelea...
Habari zenu wanazuoni, mwenzenu yamenikuta. Story inaenda hivi;
Mwaka jana nilikua na mahusiano ya kimapenzi na mdada mmoja hivi anasoma chuo flani Dar es Salaam, mahusiano yetu yalikua long...
::
Hiyo ni kauli ya rafiki yetu ambae ameoa hivi karibuni.
Hakuniambia mimi tu bali wengi ambao tupo nje ya taasisi hii tukufu ya ndoa.Ni kama ametutenga Mi kabla ya kulaumu nilitaka wa Jf...
Nimegundua kwa ushahidi ulio wazi kabisa asilimia 90 ya mabinti chini ya miaka 23 wanapendelea wapenzi ambao ni waume za watu nimejaribu kujiuliza nikwanini nimekosa jibu la moja kwa moja nikaona...
Hi! jf, nina mchumba wangu ambae ni mchaga natarajia akimaliza degree yake mwezi wa saba ili mwishoni mwa mwaka huu tuoane, bt hataki twende nkamtambulishe kwe2 ila anataka kwao first, hilo ndo...
Nilikuwa na mchumba ambae tulipendana.pindi nimechaguliwa chuoni 2012 akadai kuwa ange nisubiria lakini nilipo rudi rikizo nilikuta wametoa mahari sabab et kashawishiwa na dada ake ,na hivi sasa...
Akina dada na kina mama, mloolewa ama kutoolewa naamini na kutumaini kuwa ukisoma hii thread inaweza kukusaidia (si lazima) wewe kuweza muelewa Mama mkwe wako vizuri.
Naomba basi tukumbuke na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.