IGWEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!
Hivi unapokutana na mtu wa umri wetu, like from 23 (Out of social pressure it was supposed to be 21), anakwambia mimi sina mtu niko single! Like seriously? Ukimuuliza...
Habarini wanajumuiya wa MMU
Hivi hii dhana ya watu kukabana ndo kusema ni mapenzi ya dhati au ni insecurity au ndo mtu anahakikisha hupati mwanya wa kufanya yale maovu anayoyafanya at your back...
Akina dad zetu kiukweli ss wanaume ndio chanzo cha umalaya pindi tunapo zarau ndoa zetu
na kuanza kutoka nje.
Lakini pia nyie mna dhamana kubwa ya kusema hapana pindi unapo hisi mnadanganywa ili...
Mke mwema utulivu, hili halina Ubishi
Anakutoa machovu, ya kazini kama moshi
Hana chembe ya uvivu, kila kitu hash hashi
Mke mwema utulivu, ndio raha ya dunia.
Ni raha juu raha, nyumbani...
Mwanamke mwenye sifa hizi anatakiwa;
-umri miaka 25-29
-awe mkristo. Ctaki wale wa kusema atabadili dini.
-awe mrefu na awe na figa
-awe tayar kuni-pm picha yake harisi
-awe na shughuri ya...
Familia ya bw n bibi edwin .m wanafuraha kukutangazia harusi ya kijana wao G.e.m itakauyofungwa tar 12may kama una neno lolote tafadhali wakilisha kanisan na kama huna FUNGA MDOMO WAKO MPAKA YESU...
Swala na uaminifu ktk ndoa na mahusiano inaonekana kuwa tatizo au ni uhuru wa vyombo vya habari hivyo matukio yanaripotiwa kwa wingi tofauti na miaka ya zamani.
Nimebahatika kupita nchi zote hizi na kwa bahati nzr kuona na kua shahidi wa jambo hili ambalo kitaalamu hutwa ELUSIVE FEMALE EJACULATION .. Baadhi ya wanawake kutoa maji ktk uke wakati sex hasa...
Tabia za wanaume kuzaa na wake za wenzao (ama wake kuzaa na waume za wenzao) zimekithiri sana Tanzania. Jeuri hiyo hususan kwa vingunge inasababishwa na nini? Je ni muendeleo wa mabadiliko ya...
Hi wana mmu na jf kwa ujumla. Huu si uongo na wala si hadithi ni tukio la kweli lililonitokea mkoani katavi. Sina nia ya kumtisha wala kumchafua mtu.
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 30 na...
Jamani samahani sana kwa watakaokereka na mada hii lakini kwa kifupi ni kwamba tupo kwenye jukwaa hili kwa ajili ya kukumbushana na kusahihishana na hatimaye tulisongeshe gurudumu lamaisha katika...
Sijawahi ona watu wanafiki kimapenzi Kama Hawa duh .au nyie mnaonaje ?e.g Ted haggard (yaani bonge la homo na alitumia meth akiwa Mbele ya kanisa oh homosexual is a sin or Mpende mkeo he...
Habari zenu waungwana,natumaini kuwa wote mu wazima!
Hivi ni kweli kuwa haiwezekani kutulia na mwenza mmoja ktk maisha?
Kuchepuka ni tamaa tu za mwili,ambazo haziishi,ila mtu akijifunza kuwa na...
Wanaume hatimaye kutambua kwamba hawapo peke yao kitandani na kwamba kumridhisha mwanamke ni muhimu katika kudumisha uhusiano wa kimapenzi! Kuchukua hii kutoka kwangu nawaambieni, uhaya mambo...
Rafiki yangu ana mchumba wake ambaye ana asili ya kiarabu;ametangaza nia ya kumuoa LAKINI ANAKOSA SAPOTI ya ndugu na jamaa wengine....KWANI KUNA TATIZO lolote kwa mahusiano ya aina hii???
Najua hili swala sio la MMU ila huku ndio kwenye watu wengi, naombeni msaada, ni hivi wazazi wangu waliachana mwaka 2002 ambapo mama alikuwa uk, akaja kutuchukua mie na mdogo wangu wakati huo...
Kuna rafiki wakike nimekuwa naye kwa miezi mi 4 sasa ilasijawahi kuwa na mahusano naye ya kimapenzi na wala katika maongezi yetu hatujawahi kuulizana mambo ya mapenzi, ila ishara saa nyingine...
Habari zenu waungwana!
Hebu wenye ujuzi watupie maujanja hapa,ipi ni namna bora ya kulana denda,nini hasa cha kuzingatia wakati wa kudendeka ili kupata matokeo mazuri zaidi...je ni ulimi,au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.