Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
  • Poll Poll
Habari za Asubuhi wadau wa MMU! Kutokana na maendeleo ya teknolojia ya mawasiliano (teknohama) pamoja na utandawazi, inazidi kuwa rahisi sana kukutana na mtu wa aina yeyote yule unaemhitaji. Kwa...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Mara nyingi nimekuwa nikikutana na wanawake walio katika ndoa ambao hujuta sana na kusema kwamba wanajuta kuolewa na laiti wangejua kwamba maisha ya ndoa yako namna hiyo, katu wasingeolewa na...
6 Reactions
78 Replies
6K Views
helooo waungwana wapendwa wangu Natumaini hamjambo na mnaendelea vyema na shughuli, kazi, biashara, masomo na pia mambo mbalimbali ya maisha kiujumla na wengine sasa mnajiandaa kwa mitoko ya...
3 Reactions
53 Replies
3K Views
Watu hao juu mara nyingi wakiishi pamoja au hata mbali ni vigumu kuwakuta wanaelewana tatizo ni nini? na kipi kifanyike ili kuleta maelewano miongoni maana katika familia imekuwa to much.
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Haya mambo bwana nlikuwa naskiaga tu kwa watu sasa nayashuhudia live nacheka sana alafu namkumbuka Nicas Mtei mimi nashangaa mbona mama mzaa chema halalii mimi nauchapa nkisikia mume wangu kaja...
4 Reactions
115 Replies
8K Views
Wewe ni mwanaume; Ni mara yako ya kwanza kukutana na mwanadada; unaanza kujenga ukaribu naye na mda unavyoenda unaona anaelekea kuwa nawe kimaongezi na kimawazo zaidi. Siku zinapita, unamvutia...
0 Reactions
27 Replies
2K Views
NDOA inaweza kufananishwa na safari ndefu yenye matukio yasiyotazamiwa, mengine yenye kupendeza na mengine yenye kuumiza. Hali zisizotazamiwa zinaweza kutokeza vizuizi visivyotarajiwa, vingine...
3 Reactions
47 Replies
15K Views
hivi kuna mwanandoa ambaye hajawahi kucheat hata siku moja katika maisha yake yote ya ndoa? kama hayupo inasabaishwa na nini? naomba jibu
0 Reactions
0 Replies
903 Views
I have been the angry, unsatisfied and bitter wife for the last nine years. I'm married to a man who has absolutely no respect for the marriage institution. He has had more girlfriends than I have...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wanaume tafuteni hela kwa bidii sana,zile zama za kuuza sura na kulambalamba lips zimeisha.Maisha ni magumu hayana shortcut,wengi wetu mnapenda tu Bata wakati hamna hela wala vyanzo sustainable...
9 Reactions
47 Replies
4K Views
Nampenda ila nashindwa kumwambia!!!!_nisaidieni jamani
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Heshima kwenu wakuu,majuzi j5 kuna ndugu yangu wa jinsia ya -ke ana miaka 32,na watoto wa3 wa nje ya ndoa lakini eti amefanyiwa kitchen party. Swali:hv kuna haja ya m2 kama huyu kufanyiwa...
0 Reactions
69 Replies
6K Views
habari wapendwa!! napenda kutoa ushauri kwa wale wanaojua uhusiano wao unahemea gas alafu unaenda kufumani na ukiwa unajua fika uwezi kuishi bila ya huyo mwenzi wako!! hii imetokea...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Greetings to you all! Leo napenda niongelee suala linagusa sana jamii linalohusu Mfumo dume, hasa katika jamii yetu ya Afrika. Mfumo dume kama ulivyo ni mzuri! Inaposemwa mfumo dume, maana yake ni...
0 Reactions
0 Replies
778 Views
LAITI kama maumivu ya mapenzi yangekuwa yanaacha alama kabisa ..yaani kama umeumizwa linatokea NUNDU, ama JINO LINANG’OKA, au kama ni MCHUBUKO USONI, ama ukiyaendekeza sana YANAKUTEGUA MGUU...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Awe anajielewa, mrembo, umri co chini ya miaka 28 mwanamke awe serious. Tutafutane.
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Natafuta marafiki wanaoishi njombe jinsia zote.ni pm plz
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jana jumapili nimeamini mwanamke ni kiumbe hatari ktk karine ihi ya digital,nilitoka kucheki game ya asernal vs man u mida ya 8:00pm nikawa narejea home njia ya kuelekea home kuna msururu wa pub...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Mara ya mwisho kutongoza nilikuwa kidato cha pili miaka hiyooooooo baada ya hapo nilikuwa napendwa tu! kwa sasa nataka kutongoza mwenyewe.:twitch:
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Je umeshawahi kujiuliza maumivu ya kichwa yanayofahamika kama kipanda uso yanatokana na kitu gani? Kwa nini watu wanakuwa na kipanda uso? Kuna maelezo mengi sana kuhusu tatizo hili. Kwa sababu...
7 Reactions
69 Replies
15K Views
Back
Top Bottom