Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Salam wana JF JF imekuwa mkombozi wa wengi kwa ushauri wenye hadhi ya nyota 5.Sina shaka hata kwa hili langu mtanivusha kwa mawazo yenu! Tangu nianze kuishi Dar yapata miaka 7 nimeishi katika...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
James (si jina lake halisi) ana mshangaa mke wake ambaye baada ya kuzaa mtoto ambaye sasa ana miaka miwili amekuwa akikwepa kuvua nguo na kubaki uchi wakiwa pamoja chumbani wakati haikuwa kawaida...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
kuna kabinti nimekafukuzia zaidi ya miaka 2, mpaka leo hajawahi kunipa jibu kama ananipenda ama hanipendi zaidi ya kuigiza tu tukiwa pamoja tunaongea. na kila nikijaribu kumchombeza kanakua kakali...
3 Reactions
85 Replies
6K Views
1.ndoa ingekuwa na maana gani? 2.binadamu tungeisha? (Extinct) 3.ubaguzi wa kijinsia ungekuwaje? 4.tungezaliana kwa kulazimishwa? 5.ukimwi ungekuwepo? 6.urembo/uzuri ungekuwa na maana gani...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari zenu wana JF. Yaani tulianza kama matani vile, yeye ali like comment yangu niliyo itupia hapa JF, ikabidi nimPM kumshukuru. Baada ya hapo tukaendeleza mazungumzo. Hatimaye akanieleza...
4 Reactions
89 Replies
7K Views
Hi all, Kama kichwa cha mada kinavyojieleza, nipo njia panda. Iko hivi, nina wachumba wawili. Mr. X na Mr. Y. Nilifahamiana na Mr. Y miaka mitatu iliyopita, hatukuwa marafiki ila tulikuwa ni...
0 Reactions
104 Replies
10K Views
Mwaka 2144 teknolojia itakuwa mbali sana kiasi kwamba mtu utaweza ku download DNA blue print ya mtu unayempenda kwenye dating site yoyote then unai print kwenye 3D Clone printer then unampata mtu...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari zanu wana JF, Naombeni ushauri wenu katika hili lililonikuta, ni story ndefu ila in short miaka ya nyuma kipindi tukiwa tunasoma, our mom alikuwa anaishi na kabinti fulani, by that time...
11 Reactions
129 Replies
11K Views
Jamani kabla hujafa hujaumbika,na usimkufuru Mungu kabla jua halija zama.Demu mmoja ajulikanae kwa jina Pendo nilimtongoza na nikamueleza nia yangu ya kumuoa akanikataa,then akapata sharobaro wa...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
MMU habari ya kazi kila mmoja wenu? Nimekuwa msomaji wa MMU bila kujisajili ila leo nimeona niwe member ili nipate ushauri kuhusu hili. Mwenzenu kwa sasa na kwa age yangu ningependa niwe na mume...
0 Reactions
93 Replies
6K Views
Tafiti nyingi duniani zimegundua kuwapo na msukumo na mhemko wa tamaa za ngono kwa wanaume. Majibu kadha wa kadha ya tafiti hizo yamekuwa yakitoa majibu sawa, ikiwemo suala la maumbile ya...
1 Reactions
38 Replies
7K Views
Talaka inapotolewa bila kujali kama kuna watoto ama La, Nani ni rahisi kupata Mwenza haraka between Man and Woman na kwanini?personally how many would love to date them and why?.
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Jamani mi nina problem. Yaani siku hizi kila anachofanya mke wangu lazima nipate kasoro. Ni limbwata inaisha? Mapenzi yanapungua? Au nina tatizo gani? Akipika lazima nitanung'unika kitu fulani...
0 Reactions
41 Replies
3K Views
nashukuru sana kwa michango yenu wadau, hii kitu ilitakiwa iende haraka na nimemfikishia maoni kama mlivyo suggest wanajamvi
2 Reactions
36 Replies
3K Views
Habari za wakati huu, Wapendwa kaka na dada zangu, ni mara ya kwanza ktk uwanja huu. wote salaamu! nina rafiki yangu ameolewa na wamebahatikkuwa na mtoto mmoja. mume wake ni dereva daladala...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
hivi hii tabia ya kusagana ni fasheni mpya imeingia mjini au kuna tatizo kubwa limejificha?mbona wengi wanashiriki?? je wote ni ma lesb kweli au ni vipi?
0 Reactions
45 Replies
14K Views
Naitwa Prisca mwenyeji wa mkoa wa Arusha, napenda nishuhudie kitu ambacho kimetokea maishani mwangu hadi kupelekea kuokoka. mwaka 2010, kwa sababu ya kutafuta maisha nilikwenda zanzibar...
15 Reactions
60 Replies
9K Views
Walinishambulia kama mbwa mwizi aisee.... Ilikuwa ni mwaka 1988 nikiwa nimekuja Dar kwa kaka yangu baada ya kumaliza kidato cha nne na kufeli vibaya huko kijijini. Tulikuwa tukiishi Mwananyamala...
24 Reactions
61 Replies
6K Views
Haya wana MMU naomba tushirikiane kwenye hii mistari ya Niki wa Pili, Mungu nijalie demu mpenda pesa ,kila siku nipigane kuwa bakhresa , Asinipende mimi apende verosa Wana wamegewa...
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Dear ladies, Firstly, if you are still struggling to find a husband at an old age because you are looking for a perfect man, Something is wrong with you, Sorry to say that but it's true...
5 Reactions
27 Replies
2K Views
Back
Top Bottom