Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
una bf wako anachumba chake na wewe unachumba chako na mnapendana sana akitaka dudu anakuja kulala kwako ikitokea kodi imeisha na umebanana hakuchangiii hata 10 unabangaiza unalipa anakuja kutaka...
1 Reactions
91 Replies
16K Views
:: Nimekaribia kufikia hitimisho hilo baada ya kuchunguza watu wengi wanaingia katika ndoa ilihali kile kinachoaminwa kuwa "hekalu takatifu" lilishafunguliwa na hazina zake kuibiwa. ...
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Jamani naomba maoni yenu, nina mpnz wangu hatuna mda mrefu toka tumekuwa wapenzi, nimegundua yeye ni younger than 1 for two years, mm ni mshichana, tunapendana but binafsi nilikuwa nawish mwanaume...
1 Reactions
49 Replies
3K Views
kuna watu wanataka kutuharibia jf yetu hapa. ooh wadada wa huku wapo hivi mara vile.love connect itakuwepo sanaa na ndoa zitaendelea kufungwa kama kawa. tuyaache hayo sijui @Lara kipindi...
3 Reactions
167 Replies
10K Views
Pengine wengi wameathrika kwenye ndoa zao bila kujua sababi lakini leo napenda kukwambia ndugu yangu zile zawadi zingine ulizokuwa ukinuniua kwa mchumba wako ukamwacha sasa anazinenea ;na zawadi...
8 Reactions
48 Replies
5K Views
Eti ni kwa sababu kikao cha ukoo kilichokaa juzi kimeamua nimrithi mke wa marehemu kaka yangu aliyefariki mwezi uliopita kwa ajali ya gari. Kwa mila na desturi zetu inaruhusu mdogo mtu au kaka...
3 Reactions
205 Replies
15K Views
Anajulikana kwa jina kama patrick lasway almaarufu kama bepari(20) toka j.k.t-ruvu,alitoka tangu jumamosi alipoomba ruhusa ya kwenda nje ya kambi hakurudi mpaka leo mwili wake ulipopatikana jirani...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Hivi inawezekanaje mka do na mama yako mzazi kweli? Unaanzaje!,mnabadilishana mate nk. Hapa mi naona utakuwa na akili ya kuvalia nguo tu,huu ni utamaduni wa wapi?
0 Reactions
12 Replies
2K Views
nashindwa kuwa na msichana naempenda kisa jina la baba yake pia uwezo wake mkubwa wa kifedha (clara), nlkuwa nae kwa miez 6 lakini kila nikipita nanyooshewa kidole kuwa mm mwanaume km binti, kuona...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hello jf Nadhani muwazima wa afya,kabla ya yote natanguliza shukrani kwa waliomiza vichwa na leo jf imekuwepo! Mimi ni kijana mchapakazi! kama kawaida ya binadam kupenda nako ni sehemu...
2 Reactions
52 Replies
5K Views
Habarini wakuu!!? Mi ni binti ambaye natarajia kuitwa mke wa mtu mwisho wa mwaka, nko na mpenzi wangu kwa muda wa mwaka mmoja, Ila simuelewi kabisa wakat ananitaka nilikuwa mnene sana tu...
13 Reactions
119 Replies
11K Views
Habari zenu wanajamii, kiukweli hapa nimekwama ila sijilaumu kwani hata wewe msomaji japa ungeomba ushauri,katka pita pita zangu ujanani hivi karibuni nilifanikiwa kukutana na binti ni mzuri na...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Dunia kote watu wanaamini kwamba uelewa wa mtu binafsi na mambo yanayomzunguka hukuwa kulingana na umri. Uelewa huo humuwezesha mtu kutofautisha nzuri na baya, mtoto na mzee na mengine mengi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimekuwa na kumbana na malalamiko ya vijana wa kike wengi sehemu mbalimbali za nchi yetu wakiwalalmikia vijana wa kiume ooh kanipotezea muda, kanichezea sasa naomba kujua kama kuwa na mahusiano ya...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
1: BACHELOR HUSBAND: ... Does things on his own without consulting his wife. Hangs out a lot with friends more than his wife. Not serious about marriage life. 2: ACIDIC HUSBAND: Is always...
1 Reactions
5 Replies
983 Views
Women ask so many questions because they have an extra why chromosome nilikuwa ninajaribu kuchunguza kwa nini wanawake wanakuwa na maswali mengi sana nikakutana na hilo jibu hapo juu kuwa...
9 Reactions
44 Replies
4K Views
Habari wana jamii! Naombeni ushauri wenu nina dada yng umri 30 na ana maisha yake!ila shida ni hajawah dumu kwenye mapenzi zaidi ya miez 6 au 8 kila nwanaume anayetoka naye lazima amuache!Amefanya...
0 Reactions
82 Replies
7K Views
Habari zenu wanajamvi! Eti waungwana,raha ya mapenzi ni nini hasa? Nimeshakuwa na mademu wengi kila mmoja kwa wakati tofauti,huwa sichanganyi,ila sijawahi furahia mapenzi...raha ya mapenzi iko...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Hayo sio maneno yangu ila ya mmoja wa wanazuoni aliyekomaa. Je kuna ukweli wowote ndani mwake? Wataalam wa malavidavi babu@asprin, KakaKiiza, Mshirikina Mtambuzi, Mwita Maranya, watu8, na wana...
3 Reactions
88 Replies
11K Views
Jaman mm mwanamme waukel kabisa lakin mungu hajanijalia kua na maneno mazur ya kumwambia mwanamke,mfano km kumtongoza na mambo mengine,nna iman wapo watu wana kila njia ya kumpa maneno mazur...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom