Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Nilikuwa na mchumba wangu wa siku nyingi,tukajuana tabia,tukaridhiana akanitambulisha kwao nikamtambulisha kwetu wazazi wetu waliridhia na kutuombea mema ili tujipange tuje tufunge ndoa...
0 Reactions
58 Replies
4K Views
The Nairobians Our campus girls were left looking flushed at a lavish hotel in Westlands after they were slapped with a huge bill. The Strathmore University students had accompanied their...
1 Reactions
45 Replies
4K Views
Naomba kujua maana ya PM jaman mimi mgen uwanja huu
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mara ya mwisho kukuona, ulikua ukipanga vitu vyako vya kwenda navyo hospitali. Request yako ya mwisho kwangu, ni kuniomba nikakutengenezee matango. Uliyala matunda hayo kwa furaha na tabasamu...
12 Reactions
60 Replies
5K Views
Hi guy's natumai mko poa. Eebana mimi nina garly flend kwa bahati mbaya alipata matatizo yamacho nakwenda kutibiwa dar kwa vile ndani ya ule mji hana ndugu ilibid afikie kwa nyumba yarafiki...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Shemeji yangu kanifuata eti mume wake ameshindwa kufanya naye tendo la ndoa, hivyo anahisi kuwa mumewe anatembea nje ya ndoa. Je ni kweli kila inapotokea mwanamume anaposhindwa kufanya mapenzi na...
0 Reactions
30 Replies
7K Views
Hi Everyone! I am from Tanzania, I am Lovely, I am male, I am 33 and HIV+. I live in Dar es salaam Tanzania. Never married, no kids. Not on ARVs yet and very healthy. Fairly educated, life...
14 Reactions
43 Replies
4K Views
When a man steals your wife, there is no better revenge than to let him keep her. Lee Majors After marriage, husband and wife become two sides of a coin; they just can't face each other, but...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Hiviiii! JF Ndoa imekuwaje Ndoo ya kuchota UPENDO na kuupeleka nje. Hivi ndoa imekuwaje NDOANO ya kuteka maovu nje na kuleta ndani :mmph:
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Leo ni siku ya mapumziko ya mwisho wa wiki na nimejipumzisha kitandani kwenye hiki kibanda changu cha kupanga. Mkononi nimeshika kijarida cha Sani na nafuatilia visa na vioja vilivyochorwa kwa...
4 Reactions
27 Replies
2K Views
Hallo wanaJF, Kwa muda wangu wote wa kuwa katika OBSERVATIONS za masuala ya kimapenzi, nime-conclude kuwa hakuna mtaalam wa mapenzi ya mtu mwingine ama watu wengine, ila kila mtu ni mtaalam wa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wandugu naomba mnisaidie,nlpoingia chuo kikuu nlitokea kumpenda cna msichana mmoja ila ckuwah kumwambia,cku moja rafiki yake aliomba kuja room kwangu nkakubal,na alikuja na huyo msichana...
0 Reactions
47 Replies
4K Views
Nimeikuta hii habari mahali, nimeona niwashirikishe. Qualification of being a mother A Long Time ago, the Officer At The Driving License Counter had asked me : " What is Your Occupation ? "...
1 Reactions
2 Replies
815 Views
People are more likely to return a lost wallet if they find a baby picture inside of it. source: Baby Pictures Encourage the Return of Lost Wallets - Asylum.com
0 Reactions
6 Replies
960 Views
Tumekuwa tukisoma mada na malalamiko mengi hapa JF juu ya tabia mbaya ya mademu wa kibongo kuwaalika mashosti zao pale wanapokuwa wamepewa offer ya mtoko (date) tena bila ya notice kwa Mwalikaji...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wana Jf? Wapendwa, nina rafiki yangu anahitaji ushauri la kufanya na maamuzi ya kuchukua. Yeye ni binti na alikuwa na boyfriend wake ambae walidumu nae takriban miaka mitatu. Wakati wapo...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Ni kweli kwamba wanaume tuna tamaa,ni kweli kwamba tuta tumia kila ujanja ili tuwapate haraka iwezekanavyo. Lakini si kweli kwamba ukinikubali haraka basi nitachukulia kwamba ndo ume nipenda...
8 Reactions
112 Replies
9K Views
Jamani hivi bado wapo wanaoambukiza wenzie gonjwa hili sugu kwa makusudi?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Watu kumi tu mtapata dolla 100 kila mtu.lazima uwe bongo na uwe na mshahara less than 1000 dollar a month.Niitume wapi pesa hii wapi na mtaipokeaje.
7 Reactions
116 Replies
8K Views
Kama madege yanavyotua na kuondoka ndivyo mawazo kuhusu sex huja yenyewe kwa mwanaume! Binadamu hawezi kuwa amekamilika akiwa kimwili na kiroho peke yake bila hisia (emotions). Pia kuna tofauti...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Back
Top Bottom