Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Kibongobongo Ili ndoa idumu lazima mume ujifanye Zuzu aisee. Mdomo mdomo wa mke ndani ukimuendekeza mtabaki kuzozana day-in, day-out hakuna maendeleo. Yaani Ile mke akiamka tu full kuongea tu mtu...
18 Reactions
75 Replies
9K Views
Wakuu mimi ni mume ambaye tumezaa mtoto mmoja na mke wangu ndoa yetu ina miaka zaidi ya mi4 mpaka sasa. Ukweni kwangu yaani familia ya wife imekuwa ikinisaidia saana ila tatizo wife sasa huwa...
11 Reactions
77 Replies
3K Views
Unatumia muda na Hela kidogo ulizo Nazo kusaka wadada,mpaka unasafiri Mbali kufuata demu! Unachoma mafuta unazunguka Mkoa Mzima/ wilaya/ kitongoji kisa demu! Elewa kuwa umepoteza muelekeo na...
5 Reactions
8 Replies
479 Views
Haloo jukwaa la MMU.... Ngoja leo nitetee hawa malaika a.k.a maua a.k.a wanawake kuna swala fulani kwenye gender sijui niseme sisi wanaume hatufanyi sawa kwao. Hivi inawezekana vipi mwanamke...
8 Reactions
78 Replies
3K Views
Ukimfanya mwanaume kitega uchumi lazima utaona anakuboa, lakin ukimfanya ni mpenzi anaetafuta kwa shida ambae anahitaji Pole na kuhurumiwa katika kazi zake kamwe hutoona kama anakukera.
3 Reactions
12 Replies
752 Views
Nasubiri majibu yenu ili nijue najilipua rasmi Kurudiana nae au nisirudiane nae (tusifanye Mapenzi) ila tuwe tu Marafiki. Katika huu Uzi nitakuwa ni Msomaji zaidi wa Comments zenu na kupitia...
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Sio mzuri kwenye kuandika, ila kwa kifupi hawa wahudumu wa guest/lodge. Wamekuwa msaada mkubwa sana mbali na huduma ya usafi na pia wamekuwa na huruma pale demu anapokula nauli na hafiki lodge...
41 Reactions
171 Replies
29K Views
Nimeona video mtandaoni mwanamke mmoja kwenye party ya wanawake wenzake anajigamba kwamba ametoka nyumbani kwake hajaaga ila kampa mumewe taarifa tu kwa vile tu yupo financial stable. Imagine mke...
35 Reactions
470 Replies
33K Views
Wasalaam keyboard warriors.. Kuna ile hali unajikuta unampenda sana mtu pasipo yeye kujua au pengine anajua ila unajizuia kumwambia ili muingie kwenye mahusiano au kufanya nae mapenzi kutokana...
8 Reactions
62 Replies
5K Views
Hivi🤔 mapenz ya kuwa mbali na mtu yanadumu kweli🤷. Au ndo inahitajika ushirikiano hasa uaminifu kwa kutochepuka mapenzi nisaidie jamani
4 Reactions
26 Replies
1K Views
Wakuu habarini za wakati huu, Moja kwa moja kwenye mada. Nimegundua kwamba moja ya sababu kubwa inayotufanya tupoteze marafiki zetu ni hii tabia ya kukopeshana. Sasa hivi nimejiwekea msimamo...
66 Reactions
446 Replies
14K Views
Shalom Sina mengi sana hio elimu au utundu nimeikuta mbinga na kwa waluguru, inakuwa kama katerero ila yenyewe mwanamke anashika dudu na kujifanyisha kazi yeye kwa mkono wake ndani ya chungu...
2 Reactions
21 Replies
1K Views
Mtu ambae niko nae kwenye mahusiano kwa zaidi ya miaka 4, nikiwa na mipango ya kuoana nae. Leo nimejikuta nashindwa kumuelewa, Hapa chini ni baadhi ya text nilizochati nae kabla ya kumpigia simu...
11 Reactions
103 Replies
7K Views
Changudoa home Arusha, baba Mngoni, mama Mchagga Ilikuwa hivi; baba na mjomba waliwekwa Korokoroni kwa kesi ya ujambazi tukiishi na kusoma Arusha. Mimi na wadogo zangu wawili kuna siku ghafla...
19 Reactions
594 Replies
65K Views
Naileta kama nilivyoombwa[emoji116] JAMANI INAUMA SANA WANAWAKE TUPENDANE[emoji24][emoji24][emoji24] Judy Mimi nina uchungu sana kwenye moyo wangu naumia mno [emoji24] Mimi ni mdada tu nina...
12 Reactions
66 Replies
8K Views
Wakati unajifunza kutongoza unaweza danganya. Utadanganya kwa vile vitu vinavyokufanya uonekane una thamani. Nyumba, pesa, gari au unajuana na watu wakubwa. Lakini haina maana ndo ukalie njia...
9 Reactions
140 Replies
7K Views
Habari zenu wakuu. Naomba kwa wajuzi wa Kabila tajwa hapo juu wanijuze utaratibu wa kuoa Kibosho. Vitu kama mahari vinakuwaje ili angalau nipate mwanga kidogo. Asanteni sana Mrejesho...
8 Reactions
208 Replies
25K Views
@arusha, baba mgoni, mama mchagga By that time my dady and uncle were serving jail sentense, uchumi home ukayumba sana ikalazimika mabanda ya uani tuwape WAPANGAJI. nilikuwa form two to three...
1 Reactions
93 Replies
6K Views
Mama Mchaga, baba Mngoni Arusha. Nimewahi kuwa Changudoa, nilifanyia Nairobi Kenya. Rejea kisa katika NILIWAHI KUWA CHANGUDOA- JE, NIMJULISHE LEO NAZUNGUMZIA KUFIKA KWA MWANAMKE kupitia...
8 Reactions
348 Replies
57K Views
Bonjour Hivi unaweza kuwashahuri wazazi wako , au mmoja kati ya mzazi wako, azae / aongeze mtoto/ watoto. Ni swali tu
5 Reactions
25 Replies
1K Views
Back
Top Bottom