Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habarini wana JF, Naomba niende moja kwa moja kwenye point mimi ndugu yenu ninatatizo tena kubwa mno nahisi siku hadi siku linakuwa kubwa yaani sioni ukamilifu wangu kama mwanaume najihisi...
5 Reactions
69 Replies
8K Views
Wakuu..mtoto miaka 6 anaenda 7 hivi ni haki kulala na wazazi mama yake anangangana kuwa ni kawaida. Ana chumba chake kizuri na cha gharama kwel ila toto linataka lala na mama. Mnaonaje wakuu...
10 Reactions
67 Replies
3K Views
Mahusiano imara ndio siri ya furaha ya kweli Kila mmoja wetu anapenda kujenga mahusiano imara na yenye furaha. Lakini je, ni nini kinachohitajika kuwa na mahusiano ya kudumu? Hapa kuna vidokezo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Shikamooni wakubwa, Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 22 nipo chuo mwaka wa pili. Kwenye darasa ninalosoma yupo msichana ambaye mmoja nampenda sana na ni rafiki yangu sana ila shida inapokuja...
13 Reactions
75 Replies
4K Views
Habari wakuu, miezi mitatu iliyopita nilikuwa ni mwalimu wa kujitolea shule moja ya serikali. Mama yule alikuwa kapata nafasi shule. Basi mama yule alifika ili aonane na makamu mkuu wa shule ili...
15 Reactions
54 Replies
9K Views
Wakuu habari, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 21 sasa, niko chuo X. Naomba niende straight kwenye point wakuu maana nahitaji msaada wa haraka sana. Nimetokea kumpenda binti flani ambaye niko...
12 Reactions
187 Replies
4K Views
Na hapo ndipo wanaume wengi wamekua watumwa, wafujaji wa Mali na Pesa, wamekua watu wa ovyo ovyo. Ukweli ni Kwamba kwenye Ngono, Kitaalam wanawake hupata Raha sana kuliko hata wanaume. Mwanamke...
12 Reactions
25 Replies
3K Views
Hali gani? Sijawahi na sidhani kama nitawahi kushuhudia tajiri akianguka mapepo... siyo kwamba haiwezekani la, inawezekana. Katika kupita pita kwangu kwote sijawahi kuona mwanamke kutoka...
5 Reactions
16 Replies
910 Views
Kutokana na muda kwenda na mambo kubadirika nimekuja kugundua asilimia kubwa ya wanawake hawaishi kwa muda uliopo wanaishi muda ambao wanaume wengi bado hawajaufika. Kwa kuanza naomba...
3 Reactions
18 Replies
1K Views
Si mnafahamu tena kuwa mtoto kwa mzazi hakui? Nimerejea nyumbani kuinjoy rikizo yangu ya kazi Kuna binti nimemkuta hapo home as housegirl. Mdogo mdogo hivi na kamwili kadogodogo hivi. Kwa macho...
2 Reactions
44 Replies
4K Views
Wakuu habari za usiku! Twende kwenye mada moja kwa moja, kitambo hicho nakumbuka nilikuwa na washikaji enzi hizo sipendi shule kabisa nilikuwa toto tundu aswaa. Nakumbuka iyo siku tulikuwa tupo...
4 Reactions
41 Replies
4K Views
Kila tunapopewa tumepwaya. Sisi kuongoza si mpango wa Mungu jamani. Kina mama tumekuwa mashetani kuanzia ngazi ya chumba, nyumba, mtaa, shina, kata, tarafa, wilaya, mkoa hadi taifa. Wanaume...
21 Reactions
59 Replies
3K Views
Yeremia 3:6-8 [6]Tena, BWANA akaniambia siku za mfalme Yosia, Je! Umeyaona aliyotenda Israeli mwenye kuasi? Amepanda juu ya kila mlima mrefu, akafanya huko mambo ya ukahaba, tena, chini ya kila...
2 Reactions
5 Replies
387 Views
Habari za muda huu wakuu, Nisiwapotezee muda moja kwa moja nijikite kwenye mada Ipo hivi mimi kitabia nimekuwa ni mtu ambae sio muongeaji sana na huwa sipendi sana kujichanganya na watu huwa...
7 Reactions
84 Replies
4K Views
Kama mada inavyojieleza, napenda kujua tabia zao na jinsi ya kuishi na mwanamke Muha kutoka Kigoma. Maana nimesikia sikia mengi ya ovyo kutoka kwao ila sina uhakika. Mnijuze. Sent from my...
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Kwa hapa nilipofikia naombeni msaada wenu wa mawazo yanaweza yakanifungua kichwa. Kiujumla mimi ni Ke, nina uhusiano na mwanaume mmoja hivi ananipenda,ananijali na kunithamin sanaaa na tulikuwa...
9 Reactions
108 Replies
12K Views
Habari Wana Jf niende moja kwa moja kwenye point, ni kwamba Mimi na mke wangu tulifunga ndoa miaka sita iliyopita na wakati huo tulikutana mkoani Ruvuma yeye akiwa mwajiriwa wa kampuni flani na...
38 Reactions
131 Replies
8K Views
NIMEULIZWA: NIOE AU NIOLEWE WAPI? Kwa Mkono wa Robert Heriel Watu kadhaa wameniuliza swali hili Baada ya kusoma Makala yangu inayomhusu Kaka Mkubwa PFunk Majani. Wameniuliza; NIOE wapi? Kwa...
7 Reactions
32 Replies
4K Views
Yaani mpaka sasa najiuliza, hivi hawa viumbe tutakuwa nao hata na mbinguni pia? Ntaumia sana aisee kama nitakutana nao kwa kweli Sio tu kwenye mapenzi, hata kwenye maisha ya kawaida hawafai...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Watu wengi wamekuwa wakisifia sana wanawake wenye makalio makubwa, hivyo kupelekea wanawake hao kujiamini sana mbele ya jamii kuliko wenzao wenye makalio madogo. Ukweli ni kwamba hamna faida...
62 Reactions
568 Replies
168K Views
Back
Top Bottom