ndugu wana MMU;
kwanza niwashukuru kwa maoni mitazamo na ushaur wenu juu ya uzi nilio utoa siku chache zilizopita.
Baada ya kupitia maoni mengi nikaamua kutumia kaujanja kidogo ili niupate...
Poleni wana JF na majukumu ya kila siku.
Nimerudi tena kwa muendelezo wa ile kesi,nisiwachoshe sana lakin hali iliyofikia ni kutishiwa aman kabisa kwa ujumbe mfupi wa maaandishi kupitia simu...
Sio kwamba nabagua ila ndio nimeona sahihi zaid. Ni kwamba mimi n me aged 23 na 2015 ntakuwa nshagraduate hivyo natafuta mrembo wa kuishi naye( mchumba) awe mwanachuo wa ualimu ngaz yeyote aged...
Habarini woteee!
Natambua hili swali linahusika sana JF doctor venue. Lakini naomba niulize hapa MMU kwakua nahitaji kumtoa mtu kwenye mawazo mabaya haraka mno na katika hali ya kawaida jf doctor...
leo ni siku ya tano baada ya ovulation yangu,nilifanya unprotected sex lakini kama siku 1 au mbili zilizo pita matiti yangu yanauma uma kama vile nataka kubleed,ila tarehe zangu za mp ni kuanzia...
Wanawake wenzangu, hii ndiyo dawa ya wanaume wanaojifanya "chovya chovya". Akiwagonganisha, badala ya kupigana na kutoana manundu, mnywesheni hii dawa na hatarudia tena. Angalia video ifuatayo:-
Jaman jaman wana JF mwenzenu nimenasa naomba msaada sijui nina nini mimi,ndo hivo umri unanitupa mkono nakaribia miaka 35 sasa sijampata hata aliyewahi kunitangazia ndoa,cha ajabu kila anayelala...
In marriage, both the man and the woman have the same rights. Even the law prescribes that a married woman shall have the same right as a man.
And this is widely taken to mean right to property...
Nimekuwa nawahi sana kupiga bao wakati kudo.nimejaribu wakati mwingine kuhamisha mawazo lakini wapi!wataalamu nipewe mbinu ili nichelewe hata 15 minutes
Every night? Once a month? Or somewhere in the middle? Science has its say
Some men are fine with the amount of sex they get and some think they should be getting a whole lot more. A few men even...
Hali hii nikeishuhudia leo majira ya saa 9 hivi mi nilikua naendesha daladala nilisimama katka kituo fulani nashusha abiria wakati natoa gari katika kituo nilimuona muendesha baskeli anakuja kwa...
I'm jeremiah from tanzania mimi nina swali jaman kama kuna mtu anaweza kunisaidia anisaidi lakin kwa wale wote wenye udhoefu na mapenz...hivi dem akiwa bikra kila ki2 kwake anakuwa hajui alafu...
Nikaanza uhusiano nae nilikuwa kicheche sana hapo kabla bt nilipokuwa nae nikaacha na toka hapo sikuwai kutoka nje ya mahusiano nikanunua viwanja vitatu hapa dar na mashamba kadhaa mkoani...
katika familia yetu tupo wawili tu watoto wa kiume. Kaka yangu ninaye mfuata ameoa tena kwa harusi kubwa ,ndoa yao ime dumu kwa muda wa miaka mi tatu sasa bila ya mikwaruzano yeyote. Hivi karibuni...
HAS YOUR CHILD COME BETWEEN YOU AND YOUR WIFE?
"Ideally, parents should not share beds with their children, but if they do, I advise parents to move their children to a separate bed as early...
Yaani zamani ilikuwa wanasingizia tumbo linauma... Ila siku hizi wanajifanya kujichelewesha sebuleni kwenye tamthiliya na watoto ili wakija wakute baba umesinzia... wanakuja kimyaaaaa, wakinyata...
Habari za leo wanajf! Waswahili wanasema penda unapopendwa, asiyekupenda achana naye! Nilipokuwa naanza chuo nilikuwa na msichana X ambaye tulikuwa na uhusiano kimapenzi yeye akiwa form five...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.