Wakuu salaam sana.
Hebu tutafakari pamoja juu ya kupenda /kujali wengine. (Mke/Mume,Mchumba,Marafiki,majirani etc)
Nianze na kusema, Ni vigumu sana kumpenda mtu mwingine kama hujipendi mwenyewe...
Kuna dhana kwamba wanawake walioajiriwa wanakabiliwa na mazingira ambayo yanawalazimisha kuingia kwenye vitendo vya kutoka nje ya ndoa zao, ukilinganisha na wanawake ambao hawajaajiriwa hususani...
:A S-heart-2::A S-heart-2:....................
Its all about love, he came, we shake hands, we smile, we go for juice and lunch togather............
We talk, we hug........., and ear...
Mwanamke mwenzangu ukiyaona haya, stuka mapema. Usije ukasema sikukwambia
1. Utaambiwa safari za kikazi za kila mara
2. Mikutano kazini inayofanyika hadi baada ya muda rasmi wa kazi kila...
IGWEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
The past few days i was soo negative, im tryin to change and look things from the positive side. Just tryin to add some positivity and optimism in ma life...
Mwanaume mmoja wa nchini India ili kumlinda mkewe asitoke nje ya ndoa aliutoboa uke wa mkewe na kuufunga kwa kufuli kila alipokuwa akimuacha peke yake huku funguo za kufuli hilo akitembea nazo...
Wakina dada,
Nasikia wanawake mnapenda sana na mnajisikia sana pale wapenzi wenu wanapowaonea wivu. Nimesikia kwamba wivu unakupa confidence kwamba jamaa anakupenda na amezimia mzigo hasa.
Hivi...
Kuna mambo mengi hutokea katika kipindi cha uchumba kwa hivyo ni bora tujulisahane. Si kwamba nayafahamu yote ila ninaanzisha mada naomba wanajamii tujadili ili kusaidiana pale mambo yanapokwenda...
Habari za jioni ndugu zangu.....Hivi jamani kiukweli kabisa kunaweza kuwa na urafiki kati ya mtoto wa kiume na mtoto wa kike bila kupelekea kwenye hisia za mapenzi maana hali ya sasa nayaiona...
Habari wana JF,
Mimi wa kwangu ilitokea tukiwa University wote tulikuwa tunasoma uhasibu, somo la hesabu likawa tatizo kwake basi nikawa natoa msaada bure basi kadri siku zilivyozidi kuendelea...
Wamekacha vipindi darasani na kwenda kucheza kibaba na kimama jamani huu mchezo waachiwe baba na mama tu. Hawa wakitaga lawama kwa walimu. Ni jikumu la kila mwenye machungu na makuzi na malezi...
1. A girl knows how to demand. A
woman
knows how to contribute.
2. Girls complain too often. A woman
will
observe for a while, and then call her
man's
attention to the matter arising.
3...
Jamani msinitoe macho buree, mie mgeni hapa mjini nauliza tu kutaka kujua!!
Hivi kweli mama mkwe (mzaa chema) kila siku anakupigia simu umpitie maskani au saa nyingine kazini na kuuliza...
1-Ni taarifa ya kusikitisha.
Imetokea 'TANZANIA'huko Serengeti.
Kuna bwana mmoja ambaye tayari kishatangulia mbele ya khaki alioa binti mmoja wa 'KIJITA'kutoka sehemu za'SUGUTI-MUSOMA...
Wakuu wote Salaaam!
Kuna bwana nnafanya nae kazi ofisi moja ni msomi wa degree moja, aliyetoka kwenye familia ya maisha duni, baba yake kafariki kama miaka 10 iliyopita, familia yao upande wa...
Jameni hodi humu MMU, nadhani ni Post yangu ya kwanza Kwenye Jamvi hili, Zamani watu waliliita FB na sentensi tele lakini Bado hili ni Jamvi Nguli, Hakuna asiyependa Wala kupendwa asikwambie Mtu...
Jamaa baada ya kusota miaka mingi bila mtoto, na vipimo vya kitaalamu kuashiria kwamba hana mbegu za kuweza kumpa ujauzito mkewe, alimshawishi rafiki yake kipenzi (aliyejaaliwa watoto wawili)...
In Spain, a school is offering a professional course in prostitution
and it guarantees a job offer on graduation.
Spanish company offers professional prostitution courses | Mail Online
Could be just my imagination.....but...
The other day, a group of us (including her) went out. As I was dancing (with her), I started noticing some moves (from her) that made me so...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.