Habari wapendwa wana JF,kwa kweli nimekaa nikafikiria na kujiuliza sana juu ya hili swala "kwa wanandoa wengi siku hizi wanasaliti ndoa zao?"....Katika watu nilioongea nao asilimia kubwa...
Nilimpenda dada wa facebook
nikamtongoza tukaelewana akawa
mpenzi wangu kweli tulikuwa tunamda
mwingi tunachati facebook. Tuna
enjoy na utani wa hapa na pale kwakuwa
tulipeana namba za simu...
Mdada: Mambo?
Mkaka: Poa, vipi hali?
Mdada: Safi, nina hali mbaya jamani
Mkaka: Kulikoni?
Mdada: Deki ya cd imeniharibikia, nimepeleka kwa fundi nimeambiwa mpaka nilipe 9,000!
Mkaka: Pole sana...
Never judge a woman by her outward appearance. She may look as beautiful as Miss world but be Satans sister. She may fool you by her looks, sexual energy and smooth words, but she cannot...
Panda daladala halafu kosaa kiti simama pembeni ya mdada tena wa heshima.... Wakati safari inaendelea mdada atajitahidi sana bega lake likuguse kwenye zip yako... Sjui wanatafuta kuguswa na nini...
Nikiona mtu anaibiwa nahisi kama naibiwa mimi..
1999, Himo - Kilimanjaro.
Nilikuwa nimemaliza Chuo Kikuu cha Mlimani wanavyokiita watoto wa siku hizi. Enzi zetu ilikuwa The...
Habari wana JF,poleni na majukumu ya kila siku ya kulijenga taifa letu.
Nashukuru kwa ushauri wenu na maombi yenu juu ya yaliyonikuta kwa huyo lecturer kama nilivyotuma katika huu mtandao wik...
Habarini za ucku wapendwa.jaman kuna siku niliweka post hapa kuwa nimemmis my ex nahtaji msaada wa kumsahau,nawashukuruni kwani mlinipa pole,kunifarij na mawazo pia thenk u sana kwan naendlelea na...
Jamani kwa wale walioolewa au kuoa, hivi umewahi kujiuliza ni kwanini mwenzako kawaacha woote duniani akakuchagua wewe uwe ndio wake?.
unadhani una nini cha ziada kuwazidi wengine?
Hebu zama...
Nyumbani kwa baba mdogo wangu kila mara wafanyakazi wa ndani wanabadilishwa; kuja kuchunguza nikagundua dingi anawachezeaga rafu, maza akishtuka wanamtimua. Sasa huyu wa sasa ansumbuliwa sana...
Nilimpenda dada wa facebook nikamtongoza tukaelewana akawa mpenzi wangu kweli tulikuwa tuna muda mwingi tunachati facebook. Tuna enjoy na utani wa hapa na pale kwakuwa tulipeana namba za simu...
unafumania text au piicha ambazo mpenzi wako amepiga na mwanamke mwingine katika kudodosa unagundua ni kweli anatembea naye ukimuangalia na wewe tofauti ukiongozana naye wewe ndo mkali...
Habari za majukumu watu wangu wa nguvu, natumaini mnaendelea vzr na ujenzi wa kujenga Taifa letu la Tanzania, leo nimekuja na huu mkasa ambao umemtokea rafiki yangu wa karibu hivyo nikaona nije...
Habari za asubuhi wana MMU,
Naomba tu leo tutafakari na kuwakumbusha hawa ma-secretary wa maofisini tabia za baadhi yao kudharau watu sio nzuri.
Kuna wakati niliwahi kupeleka CV yangu ofisi moja...
Ndoa hii imepata baraka za wazazi na imefungwa mbele ya umati mkubwa wa watu.
Mungu ainusuru Afrika, sijui kizazi cha miaka thelathini ijayo kitakuwaje ikiwa mambo yamekuwa hivi tangu sasa.
<a...
Umri wangu ni miaka 36 elimu yangu ni degree,kazi ni mhasibu serikalini.natafuta mke kabila lolote ambaye ni muislam mwenye elimu kuanzia form iv na ajira serikalini au kampuni.akiwa na mtoto...
We know you wanna make your guy happy as much as you can, so we got experts to dish advice on how you can please your man.
These tips are so simple, you'll be able to execute ASAP and soon your...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.