Ndugu wana JF,
Nakumbuka ilikuwa tarehe 6/2/2013 nilipoleta tatizo kwenye jukwaa hili kuhusiana na mpenzi wangu kutaka kuniacha kisa siwezi kumridhisha(zaidi ya goli moja).Nawashukuru sana tena...
Naombeni ushauri wenu juu ya haya mapenzi, nina mpenzi wangu tunaeishi nae mkoa mmoja ktk kanda ya kati, ananipenda sana na huwa msaada wangu mkubwa ktk haya maisha, ila tatzo lake tayar ana mtoto...
duuh yaan now days full kudanganyana mfano kwenye hizi social networks waume za watu kwa wanawake za watu ndipo wanapotumia kucheat face name n identity ndizo za tumika ilimradi tuu muendelezo wa...
Sijawahi ona au kusikia Mbunge wa Jamhuri ya Muungano Tanzania ni mjamzito na amejifungua!Jee na hao wabunge vijana mabinti hawaoni kuwa muda wao unaenda,kuna sheri ainayaowakata kupata ujauzito...
Kwa mujibu wa biblia,uumbwaji wa mwanamke haukuwa mpango wa Mungu at the first place
'
Aliekua mpango wa Mungu ni mwanaume ndo maana ndie aliekabidhiwa Eden(Mwa 2:15)
'
Mwanamke hakuumbwa...
jamani kwa nini mtu anakuadd on fb then unamkubalia uzuri mnakua marafiki hamufiki hata 2 weeks or mwenzi anasema anakupenda si mmmoja wala kumi na moja wote katika list yangu wengi nawajua ila...
inabidi tu leo niseme mwanamke mimi! eti mimi nimewabatiza wanawake wote wanotembea na waume wa wenzao na kuwaita vibaka wa ndoa! is it a very negative name au ni sawa? kwa nini hatwtulii nao...
NIliosomanao ISENGA S/M MWANZ nawatafu,philibat chando{chogo} mdogowake lei chando.lugalema lwiza{mcholaji} sami msindai{bonde la ufa} mtoto wa mgana msindai.chilistina joseph. magera machumu...
Habari wana JF,
Maandiko matakatifu biblia na kuran Zote ZInasisitiza kutofanya tendo la ndoa mpaka kuoa/kuolewa.Kama mdada/mkaka atakuwa na mahusiano mengi kabla ya ndoa basi ujue hata...
Padre aliye kuwa akisoma chuo cha Ardhi Dar Celestine John Nyaumba wa kanisa katoliki Homboro Dodoma, amemjeruhi mpenzi wake vile vile ni mzazi mwenzie wa maili mbili Dodoma alimwita Dar aje ale...
Ilikuwa mwaka 1995 nikiwa niko kidato cha nne. Unajua tena shule ambayo nilisoma ilikuwa ya wavulana tu na isitoshe haina A-Level. Mwaka huo mimi nilikuwa kinala hapo shuleni japo shida ya maji...
Oh no! At first I could not understand whysomeone would call a grown man honey sugar or sweetie because it seemedweird. I could only say that to the babies. As time passed, I realized that...
Oh no! At first I could not understand whysomeone would call a grown man honey sugar or sweetie because it seemedweird. I could only say that to our babies. As time passed, I realized that...
....nakumbukia ya Ngoswe; Penzi kitovu cha uzembe...
...hivi mapenzi ya makazini (flirts & flings) ngumu kuepukika ee? ati no strings attached,khaa?
Muwe na wikiendi njema aisee, nimepita...
Mnamo 2010 baada ya hustleling za shule na stress za kusubiri matokeo.niliamua kujiunga kampuni moja ya kuzalisha vinywaji vikali hapa dsm. kama kawaida ya kibarua dili zake kubwa ni kupenya na...
Wakuu kuna hiki kitu kimekuwa kikinitatiza saana kujua chanzo halisia cha wanandoa kutoelewana kila kukicha wakati wa uchumba wao walikuwa wanaelewa na walikuwa pamoja kwa kila kitu.
Hivi hiki...
Wasichana wengi siku hizi
wanaumia kwa sababu
they always looking for
handsome guys wa ku date
nao, kuzaa nao na hata
kuolewa nao. Mnadhani maisha yanaishia
kwenye picha za harusi jinsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.