Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
For the person who hurts you. Just smile and say Thanks for giving me this chance To find someone better than you
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mimi pia ninaye mmoja,na wife pia anajua. Muda wa mtoto kuanza shule umefika. NAOMBA USHAURI: Nimchukue nikae nae au niwe namtumia ada na matumizi mengine akiwa kwa mama yake?
0 Reactions
77 Replies
6K Views
Kutokana na sheria ya ndoa ya Mwaka 1971, ndoa inatafsiriwa kuwa ni muungano wa hiari baina ya mwanaume na mwanamke, muungano unaokusudiwa kudumu kwa muda wote wa maisha yao...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
ndugu wana MMU kwa maisha ya karne hii kuwa playboy au playgirl nini mtazamo wako?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana JF hasa wale wenye jinsia ya kike, naomba kuuliza.Hivi kuna haja gani ya mwanamke asiyefika kileleni kufanya mapenzi?. ktk utafiti wangu kwa wale mabinti wasiofika kileleni, wenyewe wanasema...
0 Reactions
103 Replies
23K Views
From me to you.... Mwanaume waukweli hanaga MANENO MENGI,ANAONGEA MANENO MACHACHE,NA ANATENDA MAKUBWA KULIKO ALIYOSEMA...HAPROMISE SANA,ILA ANADELIVER MORE THAN HIS PROMISES.. Mwanaume waukweli...
1 Reactions
71 Replies
6K Views
Mibaba bana inabore sana, mnakaa wiki mbili hamjala ngono siku likinywa vibia vyake uko linakuja linapanda dakika moja kwisha na lina anza kukoroma. Lakini linajifanya mtu wa...
2 Reactions
110 Replies
10K Views
Habari wana JF! Mungu anasisitiza watu kutokimbilia kufanya ngono kabla ya ndoa akiwa na maana kwamba watu watakapoingia kwenye ndoa wote wawe wapya na mambo yawe safi na ndio mpango wa Mungu...
3 Reactions
35 Replies
5K Views
Habari wana JF! Hii ni kauli ya mdada mmoja alipokuwa anachangia mada ya jinsi ya kumpa mke orgasm. Wadada wa JF naomba mtujuze kama kuna ukweli ndani yake maana kama ni kweli basi tutakuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Whats ur phobia?
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Hivi ukiwa club na ukabamba demu mzuri hata kama siyo club hata safari na ukabahatika kufanya naye mapenzi baadae unaenda kwa mshikaji wako unakuta ni demu wake utafanyeje utaendelea kutafuna au...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kujitolea mbegu za kiume (sperm) na mayai ya kike (Egg) [hasa kwa wale walioshindwa kupata watoto] ni biashara inayokua kwa kasi sana mjini Kampala. Ni sawa na ilivyo hatari na bado mpaka sasa...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Mume kachelewa kurudi nyumbani, mke kampigia mkurugenzi wa mumewe kumshitaki. Hii imekaaje?
0 Reactions
39 Replies
3K Views
Wajameni wahaya wa kiume popote mlipo hakikisheni kwenye masuala ya Ma lovee mnadeal na wadada wa kichagga. Wanataka kujisahahu kidogo...ikiwezekana wapreginantini (msisahau buhaya technology...
4 Reactions
94 Replies
11K Views
Habarini ndugu wana JF.... Naombeni ushauri wenu katika jambo hili linalonitatiza...kuna mwanaume nimekuwa nikiishi nae takribani miaka miwili sasa. Kisheria ni kama Mume ila moyoni mwangu...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Ni mwanadada tunafanya nae kazi, anatarajia mtoto wake wa pili kuzaliwa hivi karibuni (Mungu akijalia). Kinachomtatiza ni kuwa amepata housegirl mpya baada ya aliyekuwepo kuolewa hivi karibuni...
0 Reactions
45 Replies
5K Views
Habari wanajamvi Ni matumaini yangu kuwa mko wazima wa afya njema na mnaendelea vizuri na shughuili zenu, wengine mko katika shamrashamra za weekend na wengine katika hafla mbalimbali za...
0 Reactions
31 Replies
16K Views
We have to agree that majority of our ancestors had sex mainly for reproduction.Sex pleasure was very minor .Till now i think that those who are polygamists treat sex as a reproduction and not...
0 Reactions
0 Replies
903 Views
Nimepatwa na mshtuko baada ya kupata majibu ya DNA yakionyesha mtoto niliekuwa na wasiwasi nae kwamba nimebambikiwa ni wakwangu tena kwa asilimia 99.99%.....ilikuwa hivi, mimi ni mtanzania kabila...
0 Reactions
47 Replies
5K Views
Wanawake wanamachale sana kuliko wanaume...... mara nyingi akikutuhumu umefanya kosa/kitu unakuta ni kweli asilimia 90. Wengi tunaishiaga kuwagombeza kwa kuwabadilishia kibao lakini moyoni unajua...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom