Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
BBC: Kisa na Mkasa;- 01. Sasa tatizo la ulevi lawavamia watoto chini ya umri wa miaka 10 chini Uingereza huku wengine wakilazwa hospitalini. Wataalam wanasema karibu watoto wapatao 380...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi ni mtanzania mwenye jinsia ya kiume nina umri wa miaka 33, nina tatizo lina nipa shida katika maisha naomba ushauri wenu wana JF. nlipata msichana ambae alikua amezalishwa na mwanmme asiyekua...
0 Reactions
68 Replies
6K Views
Tumsifu Yesu Kristu! Hongera sana ndugu yangu. You are really beautiful Onyinye! Sometime ur like Ifunanya! Nimeona nipate wasaha huu kukuandikia ili kukutakia heri na fanaka katika harusi yako...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari za week end wana JF? Naomba kuuliza wana jamii hususan wa kike jee ya wapenzi wao wa mwanzo. Kuna rafiki yangu ana mke na wameoana kwa miaka 6 bila ya matatizo yeyote yale. Ila mwezi...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Hi MMU, Je kuna tatizo gani iwapo kaka wa bwana harusi mtarajiwa kuwa msimamizi (bestman) wa bwana harusi huyo? Note: kaka atasimamia harusi hiyo yeye na mkewe. Ahsanteni.
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Baada ya kukaa bila msichana kwa muda mrefu kdogo nimeamua kuwa na demu lakini tatizo linakuja pale ninapotaka kumtambulisha kwa washikaji nashindwa coz anafanyakaz kwenye lounge moja hapa mjini...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
This may be funny,lakini wote tunajua hizi mambo zipo.Nataka tu-share uzoefu na kumbukumbu.Je,ulishawahi ku-date na mume/mke wa mtu? Sio lazima ku-do! Lakini kile kitendo tu cha kutoka naye...
0 Reactions
45 Replies
7K Views
FIRST of its kind. See Tshepo and Thoba's groundbreaking wedding A pair of South African men have tied the knot in what is believed to be the country's first traditional gay wedding. Tshepo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wana JF naombeni ushauri. kuna mwanaume nilikuwa nawasilana nae kwa simu baadae tukaonana siku ya kwanza akaanza kunipa sera zake nikamwambia nipe muda wa kufahamiana. lakini nilipokutana nae mara...
6 Reactions
78 Replies
6K Views
Hi Guys My Name is Cynthia. Iam a young beautiful woman and alot of men keep chasing me. But i have noticed a very worrying thing, i cant keep a man for more than 4 months. Every man who hooks...
7 Reactions
119 Replies
11K Views
NYUMBA INAPANGISHWA (HOUSE FOR LEASE) AREA/ENEO: MBEZI BEACH WHITE SANDS, DAR ES SALAAM ROOMS: ONE MASTER, TWO BEDROOMS,FANS,GATE WITH KITCHEN & FULL A/C PACKING LOT FOR 15 CARS...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kama wewe ujawai tumia bomba la maji kunawa huko la pressure namna ya picha hapo chini. Unakosa kujiburudisha. Kwa utafiti uliopo, wadada wengi maofisini kutwa wanaenda toilet kujipiga pressure...
1 Reactions
55 Replies
6K Views
Man forgets $81K on train, 2 teens return fortuneBy Michael Krumboltz | The Upbeat – 12 hrs ago Email0 Share16 Print A train travels through the Scandinavian mountains (Thinkstock) Two...
0 Reactions
0 Replies
821 Views
Nyinyi wadada naomba kufahamu. Mimi nipo katika hili duka la kuuza bidhaa zenu kumfanyia shopping mwenzenu nidumishe penzi wazandaki wapate tabu kulitubua. Wamekuja wadada takriban kumi na moja...
0 Reactions
35 Replies
6K Views
Katika filamu maarufu ya Shaka Zulu kuna sehemu anamuambia mama yake: You have no capacity for such emotion. Kwa tafsiri ya moja kwa moja: Huna uwezo wa kuwa na hisia hiyo. Hapa alikuwa...
9 Reactions
40 Replies
6K Views
Amekuwa rafiki yako muda mrefu,mnaongea,mnacheka,sometimes mnatoka Outing pamoja,una feelings nae lakini humwambii unadhani ataota unampenda??Unajichekelesha tu muda wote,wenzio walio straight...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Wadada mjiheshimu mavazi mnayovaa siku hizi yanawadhalilisha, unafikri ukivaa vizuri hamtatongozwa mnakera sana.
1 Reactions
16 Replies
2K Views
A,alaykum Warahmatullah Wabarakatu. Ritz. MziziMkavu. AshaDii. Na members wote wa JF. M/MUNGU atujaalie kheri, neema na baraka tele. Atuondoshee maradhi na atujaalie afya njema. JUMAA MUBARAQ.
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Unapoamua kumwambia mtu its over hakikisha umejipanga,na unamaanisha kwamba Its Over na una Plan B ya kumove on..Kuna watu hawataniwi,unakurupuka kumwambia Its Over kumbe alikuwa anakulia timing...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Leo nimewaza na nikaona tujadili umuhimu wa kujitunza sisi kama vijana. Maswali mengi tu nimejiuliza kichwani, swali kubwa ni kwani sisi vijana hatuwezi kujitunza? Dini zote zinasisitiza watu...
20 Reactions
28 Replies
5K Views
Back
Top Bottom