Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Nimezoea kusikia watu wakisema mwanamke ni Tabia nasiyo sura au uzuri wa mwanamke ni tabia na siyo Sura; mbona nikimtambulisha mchumba wangu kwa marafiki zangu waliyo wengi wanamponda eti siyo...
1 Reactions
56 Replies
8K Views
Mtoto wa kike mwenye umri wa miaka tisa (jina linahifadhiwa), amefanyiwa unyama wa kutisha na baba yake wa kambo kwa kunajisiwa, kulawitiwa na kulazimishwa kulamba mbegu zake za kiume. Mtoto huyo...
0 Reactions
29 Replies
8K Views
It is also in the bible that the women are smarter than men Everything about women start ‘W’ When they are married they are WIVES When they lose their husband dies they are WIDOW....WISE...and...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Hii tabia sana sana ipo kwa mabinti, huwaga inanikera sana, yaani jitu zima unajua jinsi hali ya uchumi ilivyongumu, halafu bado unaacha chakula kwenya sahani, jinga kubwa...inakera sana..tuwe...
3 Reactions
48 Replies
4K Views
Nimebahatika kuwa na mke pamoja na watoto wawili, na sisi wote mimi na mke wangu wazazi wetu wapo hapa Dar es salaam nasi twaishi hapa. Chakushangaza kila siku za sikuku mke wangu hupenda kwenda...
0 Reactions
0 Replies
872 Views
Ndugu wana JF, Ni muda mfupi uliopita, nimepokea ujumbe wa SMS kutoka kwa KOKUTONA ulionipa hii taarifa, BABU, MWANANGU AMEFARIKI Nimekosa cha kumweleza mpendwa wangu KOKUTONA kwani huyu...
28 Reactions
505 Replies
22K Views
Nina umri wa miaka 25 nimemaliza masomo yangu ya elimu ya juu mwaka jana ktk chuo cha jomo kinya nchini kenya.nimewahi kuwa na mahusiano na wasichana wa lika langu wasio pungua watatu lakini...
1 Reactions
37 Replies
4K Views
Women speak about 7000 words a day. The average man is 2000 words a day - an article published in Science (one of the most prestigious peer-reviewed scientific journals in the world) in 2007...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
WAKUU NATUMAINI MKO SALAMA NA MMEJIANDAA VYEMA NA PASAKA ,WAKUU NAOMBENI KUULIZA HIVI KWANINI WANAUME WANAPENDA KUTEMBEA NA HOUSE GIRL WAKE( beki tatu) NDOA NYINGI ZINAVUNJIKA KWA SABABU YAO...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Naomba kujua tatizo nini maana katika takwimu za hivi karibuni wanawake ni wengi kuliko wanaume.
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Siku moja tulikuwa tukijadiliana na mama mmoja (mke wa mtu), mfanyakazi mwenzangu, masuala ya jamii na alishangazwa kusikia jamaa yetu mmoja akisema yeye huwa akitandika kitanda takriban siku zote...
0 Reactions
28 Replies
6K Views
Kwa kawaida kama wewe si mgonjwa wa aina yoyote ile, kwa maana ya ugonjwa ku-offset system ya mwili, madhara ya kutofanya tendo la ndoa kwa muda mrefu ni makubwa kuliko unavyofikiria as long as...
0 Reactions
3 Replies
11K Views
bila mu wazima wa afya,yangu jion ya leo nahitaji kueleweshwa hiv ni kwanini mapenz yamekuwa ni kitu kinachoumiza vichwa vya watu na kufanya mtu akae anawaza.Maana watu wengi ninaobahatika...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Kwakweli nimejikuta navutiwa sana na wewe,nakupenda sana na nakuhitaji naomba nafasi moyoni mwako na naamini Inawezekana Tukawa mke na mume.. Nimejiajili, Na pesa ya kawaida tu(kitamzania)...
4 Reactions
119 Replies
11K Views
Jamani bado siku chache tutasherekea sikukuu ya pasaka. Napenda kuchukua wasaa huu kuwatakia wote pasaka njema hasa wale watakaobatizwa siku ya pasaka. Tukumbuke kujiandaa vema na kuwa waangalifu...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Naam,hili swali nimejiuliza tu kutokana na utafiti wangu wa kimaono,na kuona kwamba ipo kasumba katika wanawake wanaojiweza kifedha na wale wamama wa nyumabani Ukiwa mchambuzi wa kina sna utaona...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mazee npeni ushaur kwa huyu wangu manzi mana nimemuomba MZIGO zaidi ya mara tatu lakini anazingua,2mepanga zaidi ya mipango ya kukutana lakini yeye anavunja ahadi mpaka nashndwa kumuelewa kama...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Unajua utakapochukua simu au kutuma email kumsema au kulalamika kuhusu mume wako ambae anakulisha kukuvalisha kukulinda usiku na kukupenda mpaka akakuoa siyo kitu kuzuri kabisa jamani .mume wako...
13 Reactions
51 Replies
5K Views
Kila inapofika sikukuu ni watu wachache sana wenye kazi maalumu ndiyo huwa hawako kwenye mapumziko ya kikazi. Lakini watu wengi sana hutumia siku za siku kuu kutembelea ndugu zao au kufanya kazi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
" Wanawake kuweni na furahaaaa! na rahaaaaa! wakati wote popote na jessy. Jessy, pedi mpya, za kike za njano, ni nyororo, raha kuvaa, wakati wote , popote vyovyote! " HAPA...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom