Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
napenda kuanza kwa salam kwanza; "heshima zenu wana jamvi"
0 Reactions
13 Replies
1K Views
........
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Her ya pasaka ! Wakati nikiwa nimebakiza miez kadhaa kumaliza masomo ya degree huku nikiwa na umri wa miaka 28 kwa ujumla ndugu na jamaa zangu nimewapa jukumu la kunitaftia mwanamke wa kuoa na...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Tafadhali husika na kichwa cha habari hapo juu, mimi ni ndugu yako wa karibu na ni Mtanzania halisi. NINAOMBA KUKARIBISHWA KWENYE SIKUKUU HII YA PASAKA. Nina uzoefu wa kula vizuri pasipo...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Nashangaa demu anatoka na kijana mwenziye then anamgeuza babaake kwa mizinga kibaaao. Yaani unatafuta kumboa tu kijana mwenzio. Yaani maswaga yangu yooote haya unanifanya mimi buzi lako? Nimekosa...
2 Reactions
58 Replies
7K Views
et mpenz wangu alizoe kunitumia sms na ilikuwa lazima aweke alama % mfano anaandika poa% sasa sku hiz hawek hali inayonikondesha
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Kuna mshikaji wangu mtaani anashndwa kutongoza akiwa mzma, mpaka alewe ndio anatokoza. Nimejaribu kumpa somo lakni wapi anashindwa kabisa, msaada wenu naona utasaidia!
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kuna mwalimu nafundisha nae wa kiume anaitwa ( ) tunafundisha shule ya msingi ( ) ipo Tarime , Mara. Alinitongoza nkamkataa, juzi boyfriend angu alipiga simu yeye akapokea , simu ilikua kwa...
0 Reactions
6 Replies
931 Views
Inakuwaje mke wako anapigiwa simu mkiwa wote yeye anatoka nje kwenda kuzungumza na aliyempigia simu. Je ni siri? Hutakiwi kujua mumewe? Au nini?
0 Reactions
67 Replies
6K Views
----|---- _.-=''"'=.,,,,,___/''/ (_,_,_,_,_,_,/''"""""''' /_.--._\ Mimi, Mbowe, Slaa, Zitto Ben saanane Lisu Lema, Mnyika, Mdee, Sugu, Silinde, Vicent, Machemli...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani huyu ni ndugu yangu tunashare mmoja wa wazazi, ni mtu wa matatizo sana. Mpaka leo hii yuko 40+ lakini ni mtu wa drama, from case to case za aina ya utapeli. Huwa pia anatabia ya uzushi na...
1 Reactions
45 Replies
4K Views
Wakuu msaada plz kuna demu niligonga siku nne kabla ya bleeding nikasepa,lakini sasa anadai ana mzigo wangu je najiuliza hili linaweza kutokea au nimebambikwa,mzunguko wake ni siku 28
0 Reactions
14 Replies
15K Views
wana MMU naombeni ushauri hivi unapokuwa na mpenzi wa kike ambae wewe unamkubali lkn yeye hajikubali mpaka anaboa yaani kila mda yeye ni kujisema ni mbaya ooh eti kucha zake ni mbaya ooh nywele...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Daaaah n kitambo kirefu jaman up to now m naishia kuangalia tu da way watu wakiwa na manzi zao wakienjoy maisha but m nipo alone jaman nifanyeje even 2 me i want jaman
0 Reactions
9 Replies
1K Views
WanaJF, leo nimeonana na dada mmoja tuliyesoma nae chuo kimoja. Wakati wa chuo dada alikuwa na rafiki yake wa kiume lakini kama yalivyo mapenzi mengi ya vyuoni na la kwake liliisha baada ya...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Helo Marafiki wa MMU! Natumaini wote ni wazima. Nilipata ajali Jumamosi 23/3/2013 nikiwa na familia yangu, namshukuuru Mungu hakuna aliyeumia. Nakiri ya kuwa Bwana ndiye mchungaji wangu na...
19 Reactions
85 Replies
5K Views
umri kuanzia miaka 30-35 na awe na kazi yake kwa maana mie mwenyewe cna ajira ila furaha ya kitandani ndo mahala pake. kwa ambae anavigezo na yupo tayari anifate pm.
1 Reactions
59 Replies
4K Views
Kwanza nianze kwa kukukaribisha katika mwanzo wa sikukuu za Easter. Karibu sana Leo kuanzia saa 12:00 jioni nitakuwa Golden Rock Pub - Buzuruga; baada ya hapo hali ndo itanambia pa kuhamia...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
“Haa! Mimi nitakuaminije bwana, wanaume wote ndio mlivyo” utasikia baadhi ya wanawake wakisema hasa pale anapoanzisha uhusiano na mwanamume. Mara nyingi hii hutokana na mambo yaliyomkuta yeye ama...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Dada moja ananiabarisha hapa ofisini. Akimaanisha atoi sikio lake kusikiliza nyimbo za hawa wanaume wa makabila tajwa hapo juu. Sikia ananitaja jina. Hawa watu kuwaruka viunzi vyao yaitaji akili...
1 Reactions
54 Replies
9K Views
Back
Top Bottom