Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Heshima wanajamvi, Jana nilikwenda kituo cha afya kupima damu baada ya kuhisi naumwa wakati nasubiri kupimwa kaingia Ustadhi na vijana wawili mmoja mwanaume na wapili mwanamke kajifunika mwili...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari zenu wana jf, mimi ni kijana wa miaka 23 niko mwaka wa kwanza muhimbili nachukua shahada ya udaktari, kuna mdada nimemzoea sana na nimetokea kumpenda sana na natamani awe mpenzi wangu...
2 Reactions
39 Replies
4K Views
Mwanaume ninae ishi nae nilikutana nae chuoni na alinisaidia sana kuanzia kimasomo mpaka matumizi yote.Hatujafunga ndoa. Baada ya chuo tuliajiriwa kwenye mashirika tofauti kazi ambayo naifanya...
0 Reactions
74 Replies
5K Views
Mimi nina mke na tuna mtoto mmoja. Lakini tangu nimemuoa huyu mwanamke maka mitatu iliyopita hajawahi hata siku moja kunikaribisha kwenda kuoga maji bafuni kwa adabu ambazo mimi nimekuwa nikiziona...
1 Reactions
189 Replies
16K Views
Unaweza ukafia palepale!! Inaogopesha zaidi baada ya kuona zile movement za waathirika wanaochukua ARV's Kwa wale waliopima naomba kushea nao experience hapa,mwenzenu nimepata hard time ambayo...
7 Reactions
37 Replies
5K Views
Samahani kama nitakuwa nimerudia mada. Najaribu kuangalia, je kuna umuhimu wa kuoana watu wa kabila moja ama tamaduni zinazoshabihiana? Kuna migogoro mingine katika ndoa huchangiwa tu na...
6 Reactions
40 Replies
6K Views
Niliamua kuoa sababu nina miaka 28 na nina kipato cha kutosha tu. Nikapata mchumba, yeye anafanya kazi bank (yeye ni banker). Nikaonyesha niya yangu ya dhati kuwa mimi si mpitaji. Nipo mbali na...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kutokana na hali ya maisha ya sasa kwa kweli tunakoseana sana. hasa kwa walioko kwenye ndoa na wale wanaojiandaa kuingia kwenye ndoa. Post nyingi humu ukiangalia utaona watu wanalalamika...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Leo nimekereka sana. Nina familia ya mke na watoto wawili. Kwa sasa, kikazi niko Mbeya, ila familia iko mkoa wa Kilimanjaro. Huyu mke wangu nilimfahamu kwa mara ya kwanza akiwa kwa shemeji yake...
0 Reactions
26 Replies
9K Views
Msaada wana JF Nimemtorosha binti wa miaka 20 na kabila lake ni mjita. Nimeamua awe mke wangu na leo ni siku ya 7 tangu nimtoroshe. 1. Natakiwa ndani ya siku ngapi ndio niende kujitambulisha...
0 Reactions
36 Replies
5K Views
Kutokana na mada moja iliyotangulia hapoawali kutumia neno taulo la hoteli limeleta mjadala mrefu,sasa je taulo la hotel lina sifa zipi,au lina ubaya gani?
0 Reactions
39 Replies
3K Views
Wanajamvi naomba mnisaidie kuoa mwanamke ambaye ameachika kuna madhara gani kwa mwanaume au uhusiano
1 Reactions
40 Replies
13K Views
Siku za nyuma, wanaume walijali zaidi uzuri wa sura na mwili wakati walipokuwa wanatafuta mke. Lakini utafiti uliofanywa duniani kote unaonesha kwamba, wanaume hivi sasa wamebadili mitazamo na...
19 Reactions
122 Replies
11K Views
#...Before sex, you help each other get naked. After sex, you dress only yourself.. Moral: In life no one helps you, once you're fuc*ked !!
3 Reactions
30 Replies
3K Views
Habari wana JF! Mimi ni mwanaume, nimekuwa na mahusiano ya kimapenzi (mchumba na mali nimetoa kwao) na mdada mmoja hivi kwa muda wa miaka mitatu sasa, yeye ni mwanachuo hapo UDSM na kwa sasa ndo...
3 Reactions
58 Replies
6K Views
habar jf: ni mara yangu ya kwanza kujiunga jf naamini mtanisaidia kwa haya niliyonayo moyoni kwan cjui nifanyeje kwa hili. nilikuwa na boyfriend wangu ambaye tulipendana na nikaamin ndo...
3 Reactions
40 Replies
7K Views
IGWEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Naona jukwaa halina upako kabisaa jumapili mada nyingi zimekaa kisodoma na gomora wakati leo siku ya Bwana!!!!!! Waanzisha mada na wajadili mada mshindwe na...
5 Reactions
135 Replies
10K Views
Jaman habarini wapendwa.naombeni mnijuze juu ya hili kwamba mnawezaje kuzungumzia suala la umri ktk mapenzi.yan je kuna madhara yoyote ikiwa mwanaume na mwanamke wataoana wakiwa wana umri sawa? Au...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu wana mmu, poleni na majukumu ya maisha yanayowakabili, baada ya kimya kifupi cha kukabiliana na shuhuli za kuingiza shekeli kule bandarini weekend hii nilikutana na kioja hiki nikaona...
1 Reactions
34 Replies
11K Views
:: Tuwapendao sana Ndio watuumizao sana. :: Tuwapao siri zetu kwa kudhani ndio msaada wetu Ndio watumiao siri zetu kuja dhidh ya upendo wetu. :: Tuwaaminio sana ndio watuangushao sana...
6 Reactions
27 Replies
2K Views
Back
Top Bottom