Mara nyingi huwa sio mchangiaji sana kwenye jamii forum, ingawa huwa napenda sana kusoma mada zenu na kuona jinsi zinavyochangiwa kwa ustadi mkubwa. na wakati mwingine hata mabishano makali...
Jamani mimi sijui kama ni ushamba wangu ama ni ugeni wa mambo lakini kwa vyovyote vile naomba nitakapokosea nikosolewe na nitakapoteleza nisahihishwe bila jaziba na matusi. Leo naongelea wanawake...
msikieni SOPHY
My name is Sophy. Been going out this guy for 3 months now. He is a very caring and nice guy and we love each other so much. But there are some things he does that really...
1. Ignorance
2. Love
3. Being alone
4. Losing someone special
5. Being heartbroken
6. Waiting for someone
7. Getting infected with an incurable viral disease
Waungwana.
Mimi ni Mkristo. Nina ndoa. Miaka 10. Kila ndoa ina tatizo. Haikosi. Ninampenda sana mke wangu mpaka nahisi najipendekeza kwake. Namuombea sana kwa Mungu ili abadilike. Siwezi kukata...
Kwako mpenzi wangu wa zamani, ambaye ulinifikisha uliponifikisha kupitia utapeli wa kimapenzi ambao ulinifanyia. Kwako niliamini kabisa kwamba, nimepata mpenzi wa kweli na wa kuaminika, kumbe...
Heshima zenu wadau naombeni ushauri wenu kuna mpenzi wangu na mpenda sana lakini kila nikitaka kuonana naye anaanza maneno na mipango ambayo haina maana sana na mahusiano yangu na yeye papo hapo...
HESHIMA MBELE WAKUU, HII NIMEIKUTA MAHALI, NIKAONA NI VYEMA, NIKASHARE NA WANA JF HAPA, ILI NISIKIE NA NYINYI MNASEMAJE .."
Wapendwa dada zangu katika mapenzi na mnaopenda...
KAMPALA - A man is still recovering from shock after learning that his wife is married to another man.
On Sunday a story run in the Bukedde newspaper [a sister publication to New Vision] of a...
Hasa kwa wasio kwenye ndoa, ingawa wenye ndoa wanakaribishwa kutoa uzoefu wao.
Are you an ATTRACTOR (some one whom people get attracted easily)
A KEEPER (some one whom is not easily dumped)
Both...
WanaJF mnalichukuliaje hili suala la kuoa kwenye familia ambazo zinajulikana kuwa ni washirikina?
Ukizingatia kuwa sheria za ushirikina unamtoa sadaka rafiki/ndugu yako wa karibu!
Wengi wa...
Kama uko namba moja ujue kwamba Hali yako si shwari na hautaweza kumpenda mtu yeyote, ni Mungu tu anaweza kukunusuru na hayo maumivu na kidonda cha Milele.
Namba mbili unaweza kupona lakini ilo...
Je kuwa na mpenzi bila kufanya mapenzi au kuwa na mpenzi unayefanya naye mapenzi kabla ya ndoa... Yupi mwenye mapenzi ya dhati? Anaye subiri au anaye gegeda?
LULU MICHAEL ALIKUMBUKA PENZI LA STEVEN KANUMBA.....
Wakati zikiwa zimebaki wiki chache tu hadi kifo cha Stephen Kanumba kitimize mwaka mmoja, aliyekuwa mpenzi wake, Elizabeth Michael aka Lulu...
Happy Valentine all,
Poleni na mzunguko wa maisha wa miaka nenda miaka rudi.
Naomba kuwasilisha swala lifuatalo.......Huu sio utani ni swala muhimu sana.
Kuna kijana ni tapeli wa...
Assaallam alleikum kwa ujumla wana-jf, jamani naomba mnipe MTAZAMO WENU juu ya hili:
Kuolewa na mwanaume ambaye haujawahi kufanya nae MAPENZI kuna HASARA gani?
Nazo faida ni zipi?
Hayo ni mamaneno aliyoniambia mme wangu baada ya kuitrafiana na shemeji na wifi zangu.
Kwamba yeye na ndugu zake wameshare blood, lakini mimi na yeye ni pete na ubani siku ya harusi.
Nisiseme...
1 Wakorintho 7 1 Lakini kwa sababu ya zinaa kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke na awe na mume wake mwenyewe. 2 Mume na ampe mkewe haki yake, na vivyo hivyo mke na...
Habari wana JF,
Kati ya mke msomi sana (mwenye degree moja na kuendelea) na mke mwenye elimu ya kawaida (diploma na kushuka chini) yupi anajuwa kutimiza majukumu yake katika ndoa?
Uzoefu wangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.