Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Wana MMU samahanini...Nimejikuta nimewamiss hawa watu Lizy na afrodenzi....Wapo kweli humu? Au mimi ndio napishana nao?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
je unapenda kuishi mkoa gani maana kila mkoa una sifa zake 1. DAR- UTAPELI 2. ARUSHA-USTAARABU 3. MWANZA-FUJO ... 4. MBEYA-MATUKIO 5. TANGA-MAJINI 6. MORO-STAREHE 7. DODOMA-BAHATI 8...
2 Reactions
36 Replies
3K Views
Habari zenu wanajamvi! Ndugu zangu naomba tusaidiane kama mimi sielewi au hawa watangazaji wa Vipindi vya taarabu katika redio zetu wanazingatia mahitaji ya jamii wanayoihabarisha. Juzi...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Muwazima wanamod wenzangu humu ndani? Mnaendeleaje Ni siku ingine ya Blue Monday iliyojaa uchovu kwa wote waliokuwa katika pilikapilika za weekend, na mihangaiko ya utafutaji wa shiilingi ktk...
10 Reactions
140 Replies
13K Views
Habari zenu wadau, Its not a new topic kivile..., ila inabidi nilete kwenu great thinkers...frnds with sex benefits na sio frnds with benefits cuz benefits zaweza kuwa nyingi,hapa specifically...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
nikimuona msichana kavaa wigi au kasuka rasta,kope za bandia,rangi mdomoni,mikucha ya bandia ,sitamani hata kuwmangalia.hasa wanafunzi wa vyuo vikuu mfano UDSM,UDOM,IFM,CBE,yani ukiwaona...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Jema shada la maua, laua kwa rangi yake. Limepambwa kwa murua, sioni kifani chake. Na asumini kutiwa, hakika mahala pake. Shada hili limea, na pepo na watu wake. ♥ Haya maua...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wana JF natumai muko salama kwa siku hii ya leo Limeibuka swali katika kichwa changu linaniumiza sana naomba munipe muongozo wenu Mapenzi yamekua ni ajira siku hizi kwani nijaribu kila...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Kabla ya ndoa, wanandoa huwa na ndoto tamutamu ambazo sio halisi kuhusu ndoa. Kwa kuwa tuna hizi ndoto tamu, tunapokuja kuingia kwenye ndoa na kugundua kwamba tulichofikiria hakipo, ndipo...
16 Reactions
41 Replies
4K Views
Mara nyingi nimekuwa nikisikia wasichana wakilalamika kuwa wao ni rahisi kurubuniwa na wavulana/wanaume wasipokuwa na pesa kwa sababu wao wana mahitaji maalum.wanafunzi wasichana wamekuwa...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
STEVE MBENA Alikua anaaishi Morogoro Tafadhali Anayemfahamu mtu huyu awasiliane nami ninashida naye sana ya kifamilia. 0657222439 Tafadhali.
0 Reactions
0 Replies
972 Views
Namkumbuka sana huyu mfanyakazi mwenzangu wakati huo.Ilikuwa ni mwaka 1998 wakati nilipokua nafanya kazi pamoja nae,na ni mwaka huohuo alipata matatizo kazini yaliyopelekea kuyavuruga maisha yake...
3 Reactions
33 Replies
2K Views
Habari wana JF natumai muko salama kwa siku hii ya leo Limeibuka swali katika kichwa changu linaniumiza sana naomba munipe muongozo wenu Mapenzi yamekua ni ajira siku hizi kwani nijaribu kila...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Haaaaabari wana JF nisaidieni huyu kimwana tulianza mahusiano kwa muda mrefu sana tukaja tukapoteana kwa sabaubu zisizojulikana ila tulikuia kuonana tena akiwa ameshaanzisha mahusiano na mtu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
JAMANI KUOA SI JAMBO DOGO, UNATAKIWA UWE UMEJIANDAA: Hivi jamani, mnazijua gharama anazoingia bwana harusi hadi anapooa? Katika hali ya kawaida kabisa, kama wewe ni mwanaume na unataka kuoa...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
Ndoa yetu bado ilikuwa ni changa....... Tukio hili lilinitokea siku nyingi kiasi, kama miaka kumi iliyopita, lakini nalikumbuka hadi leo kwa sababu liliniletea balaa kubwa na kuhatarisha ndoa...
32 Reactions
87 Replies
10K Views
Picha inaongea mengi, mimi sina cha kuongeza.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa wataalam wanaojua naomba kujuzwa hilo, nigundua siku nikifanya tendo hilo na my wife asubuhi, huchangamka na siku hiyo kisarani huwa hana kabisa
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Spencer Cox appears in the documentary "How to Survive a Plague," which has been nominated for an Academy Award. Protesters in front of the New York Stock Exchange in 1989 demonstrating...
5 Reactions
67 Replies
8K Views
Oscar pistorius kaka yake anahusika na mauaji na yeye .kama kaka muuaji mdogo mtu je ?Oscar amemuua model girlfriend wake.Kweli unaweza date family ya hivi au ? Unaweza olewa na Mwizi au jambazi...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom