Kama una mke, mpenz, demu, buzi au king'asti, hakikisha usiku wa tarehe 14 mwezi huu mnakuwa pamoja ili kuzima pamoja mapenzi ya Analojia na kuwasha mfumo mpya wa mapenz ya Digital yasiyo na...
Jinsi Ya Kuacha Ku-Cheat
Kwa sababu mbalimbali watu katika mahusiano wanaamua ku-Cheat wenzi wao. Wakati mwingine wanajisikia vibaya lakini hawaachi. Wanakuwa trapped, na hivyo kuifanya iwe...
Dear . . .
I miss you now and my heart is sore
As time goes I miss you more
Your loving smile, your gentle face
No one can fill your vacant place
Those we love dont go away...
Bikira ina maana moja tu nayo ni kuwa na utepe
amabo Mungu alimumbia mwanamke na kama
uume ukisha ingia basi kamwe huwezi tena kuitwa
bikira hata kama utashonwa uke na uzi wa sindano
ya...
Habari za asubuhi Mabibi na Mabwana, wakubwa na wadogo natumaini mnaendelea vizuri, mwanzoni wa mwezi kwanza mwaka 2013 nilikwenda pale Mlimani City kwenye duka ambalo linauza bidhaa za Samsung...
How Nairobi Women Make To Live Above Their Means
ByShirley Genga,
They are young, beautiful and live on the fast lane enjoying every cityluxury, yet their monthly pay is peanuts.
The...
Nimegundua wanawake sio viumbe wazuri hata kidogo,nina umri wa miaka 36 na mchumba wangu ana umri wa miaka 34,tumekutana miezi minne iliyopita na uhusiano wetu ulikuwa mzuri kwani nilimwamini na...
habari zenu wanajamii! Kuna hili swala la mwanamke alie katika mahusiano kutongozwa halafu anaenda kumshtakia kwa mpenzi wake! Hii inaweza ikawa ni sawa, ila ninavyojua mimi ni kwamba hapo...
Katika nchi chache nilizotembelea kama south africa, kenya, mozambique, zambia, rwanda etc.....wanawake wa tz kuvaa zero iwe nyumbani,ofisini au outing. Kwanza wanachanganya nguo za ofisi na za...
Asilimia 65 ya wababa walioenda kwa mkemia mkuu wa gvt kufanya DNA na watoto waliodhani wao imebainika kuwa wababa hao wamebambikwa.
Source: ITV
Hapa nashindwa kuelewa tatizo ni nini mpaka...
The Question; ( Kwanini unafanya haya ?)
Why am I fighting to live
If I'm just living to fight
Why am I trying to see
When there aint nothing in sight
Why am I trying to give
When no one gives...
home arusha, mama mchagga baba mngoni
jaman wakaka hamuumiagi na hamjifunzi?
think of wewe ni mdada mkali/mzuri na umejiremba, hamna hamna umetupia viwalo vyako hata kama vya mtumba ila...
Salam wana JAMVI.
Nina mdogo wangu wa kike alikuwa form two,wakati wa likizo alisafiri kutoka nyumban kwenda Sumbawanga kuwasalimia ndugu.
Alikabidhiwa kwa mbaba mmoja aliekuwa na gari binafsi...
Mambo vipi pande hizo? Nahic umzima kama umgonjwa ugua pole.
Nduguzangu ( ki utaifa ) leo nimeamini "Ukistajabu ya mussa, utayaona ya firauni" kwamuda mwingi sana nime kua niki...
Many men are never taught how to talk to women. Because of this many guys go through life without the ability to attract a woman. Here are 15 tips to help make sure you arent making mistakes...
Jamani mapenzi matamu kweli kweli.sasa sijui huyoo mama wa hicho kichanga alibakwa,alikuwa mapenzini na njemba likakataa mimba ama vipi?Adi inafikia hatua ya kuzaa na kuamka kukachimbia katoto na...
Ndugu zangu wapendwa wana jf naombeni msaada wenu wa dhati maana ninyi ndio marafiki zangu wa karibu sana.
Kuna kipindi nilikua na marafiki wengi sana nawalikuwa na upendo wa dhati kwangu...
Hakika kati ya mambo magumu yanayoweza kumkabili mwanaume ni kumwambia mkewe/gf/hawara kuwa 'its over'. Pamoja na kwamba kichwani mwako mwanaume unaweza kukata shauri kuwa huyu mwanamke hanifai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.