Ni misemo ya kiswahili hutumika kusanifu na kufasili mambo ya kimapenzi.
Kwa wale penda penda wa wake za watu hunena kwa kusema mkeo huenda akawa wangu kwani hakuna tofauti ya radha ya mapenzi...
Kuna namna nyingi tu kutufanya tufurahi na kusonga mbele na maisha yetu ya kila siku..Hebu kwa leo tushee hii inayoitwa 'FACTS'....hivi ni vifupisho vya maneno ya kiingereza yanayoonyesha hatua za...
Na bonge la kidate le mida mida naomba nipate shori mmoja humu nitongozane nae one on one aisee mpaka aelekee kukubali cus in the mid of night i'll be on kitanzini na shori moja kali sana aisee...
Pengine watu wengi wamekuwa wakitafuta ni jinsi gani wanaweza kupendwa na wasichana au wanawake. Niwazi kabisa kila mwanamke anachaguo lake kwa mwanaume ampendae.Huenda ukawa unavigezo kibao...
Sura hiyo hapo ni ya mwanaume. Bila shaka umeshawahi kukutana na sura kama hii katika maisha yako. Kama hujawahi kukutana nayo huenda kuna siku utakutana nayo.
Mwanaume mwenye sura kama hii ana...
Hii imekaaje? Hizi habari za kutiana hofu, ooohooo!!!
Wanaotumia runinga kwa muda mrefu hupoteza nguvu za kiume
WANAUME wanaotumia muda wa saa tatu na zaidi kwa siku kutazama runinga...
Habari zenu wana MMU!!!
Mimi kama mimi kwa mtazamo wangu naona mapenzi ya siri yana ukomo wake.
Unapokuwa unapenda mapenzi ya siri sana, unampa wakati mgumu mwenzako.
Ni rahisi kufikiria...
27-10-1980 katika kijiji changu, majira ya saa 4 usiku mama ukiwa umelala baada ya uchovu wa shughuli za pale nyumbani, ukiwa na ujauzito wa miezi tisa , ndipo baba alipo kuja na mwana mke...
TANZANIA MENS RIGHTS ASSOCIATION
CHAMA CHA KUTETEA HAKI ZA WANAUME TANZANIA
TAMRA
Equal treatments for all
UTANGULIZI
TAMRA ni Asasi ya kiraia iliyoanzishwa na wanaume wa...
nilizaa na mwanaume mmoja miaka mitano iliyopita tulizaa mtoto wa kiume ambaye alifanana na baayake sana, story yangu ni ndefu ila yule mwanaume aliniacha kwa matusi , na vituko kibao, ila...
Mimi ni mkazi wa Kigamboni,km wiki 3 zilizopita kulitokea la uvunjaji nyumbani kwangu,na kuibiwa baadhi ya vitu,nilitoa taarifa kituo cha polisi Kigamboni.Kwa gharama zangu nilikodi gari kwa ajili...
Wakati wote wa maisha yangu kabla ya sasa nilikula kihapo changu cha kutomsamehe mke wangu iwapo atafanya mambo yafuatayo: 1. kunilisha limbwata
2.nikimfumania
lakini...
Kifungu cha 13 (1) cha Sheria ya Ndoa sura ya 29, kinasema kuwa mwanamume mwenye umri wa chini ya miaka 18 na mwanamke mwenye umri wa chini ya miaka 15 hawaruhusiwi kufunga ndoa na mtu yeyote...
Mambo vipi wadau? Naimani mko poa. Hivisasa mmerudi kwenye miangaiko ya kulijenga Taifa letu pendwa. Leo mwenzenu limenikuta jambo ambalo ckutegema linikute maishani mwangu, nikaona sivibaya...
There is a girl that ,I love so crazily that ,I realy want to marry.But the problem is that she is older than me by 1.5 yrs.Though we shared our childhood and primary school education.Personally...
Ndivyo alivyoniambia majuzi mtu ambaye alikuwa ametoka kuonana na mpenzi wake wa a pembeni wa Kiafrika. Kwa uwazi na umakini mkubwa alisisitiza kuwa hili ni suala la kibailojia na kiutamaduni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.