Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Ni ngumu na kavu inapoingia ni tamu ikiwa ndani hasa inapozungushwa na kuperekwa kira kona inapotoka huwa imerowa na imeregea je unajua nini hiyo????????
0 Reactions
10 Replies
6K Views
ni usiku wa kama saa tano ivi namsikia mama akilia kwa uchungu wa kupigwa na kiatu cha baba.....mama anakimbilia kwa watoto baada ya kuona kipigo kimezidi,kwa wakati huo nilikua mdogo wa kama...
14 Reactions
42 Replies
5K Views
Bandugu, Nimekuwa nikijiuliza swali hili sipati jibu.Hivi kuna uhisiano wa mkosi na kumuacha au kuachwa na yule ambaye mlishakubaliana kuwa atakuwa au angekuwa ubavu wako?Wengi wetu tumekuwa...
1 Reactions
31 Replies
4K Views
<font color="#000080"><font size="3">http://googleads.g.doubleclick.net/aclk?sa=L&amp;ai=Crx0MsegQUcLuPOTC igaL2IC4BuzcoqADtPflqEXAjbcBEA EgkNXqBlCs_-_1AmDDBsgBAqgDAcgD3QSqBMEBT9B9...
5 Reactions
19 Replies
2K Views
Hivi utajisikiaje unapoona msichana ambaye ulikuwa unampenda na hujamtongoza yupo na jamaa mwingine?
0 Reactions
4 Replies
827 Views
....unless hutaki ku fit in kwenye ndoa yako,....otherwise, unapoingia kwenye relationship jiandae pia kukabiliana na ; Anxiety disorders, Panic attacks, Erectile dysinfunctional, Tension...
7 Reactions
27 Replies
4K Views
Habari zanu wana MMU wote, mm ni member mpya hapa katika jukwaa hili napenda kuwasalimu woote.
0 Reactions
1 Replies
892 Views
kama ntafanya hvo basi naamin itanchukua muda niliyempenda et kaamua kunisalit kwa RAFIKI YANGU wakaribu kabisa kisa VIJISENT naomben ushauri nihame mji au nijiue 2 ila sipend hata kidogo...
1 Reactions
75 Replies
7K Views
Wakubwa shikamoon,wamakamo zangu mambo vp na wadogo zangu hamjambo? Nimefanya research moja hivi nimeona ktk jamii yetu inayotuzunguka m/ume akishaoa tu basi mwaka hauishi m/mke japo sio wote...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Bad situations don't have to make us bitter-they can make us better! God can use the good, the bad, the happy, the sad to mould us into the people He wants us to be. Our goal should be to focus...
1 Reactions
4 Replies
900 Views
natafuta marafiki wa kubadilishana nao mawazo
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimesoma gazeti la Mwananchi la tarehe 16 Januari 2013 kuhusiana na habari ya ubakaji, uporaji, ulawiti na ukabaji wa wanafunzi wa IFM kwenye makazi yao Kigamboni chanzo chake ni Mradi wa Ujenzi...
2 Reactions
29 Replies
5K Views
Nifanye nini mimi sikwenda chuo niliishia sec lakini nafanya shughuli zangu na maisha yangu ni mazuri,ila sasa huyu mwanamke niliye naye ni msomi sana kuna wakati naona kama tukioana hatutafika...
2 Reactions
66 Replies
6K Views
Wanajf habarini za jioni, naombeni ushauri wenu katika hili please maana sijielewi, Mimi ni mdada mwenye mchumba na soon this year tunatarajia kufunga ndoa, kabla sijampata huyu mchumba nilikuwa...
0 Reactions
39 Replies
3K Views
Wahini kutoa oda mzigo ndio umeingia jana, na si mkubwa sana, bei maelewano
0 Reactions
28 Replies
3K Views
heee makubwa jamani. Mwanamke wa huku hapendi kufadhiliwa na mwanaume. yeye anapenda kumpiga mwanaume masuprise kem kem na akipigwa yeye anafurahi ila atafanya kila njia arudishe fadhila kwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
ni kisa cha kusikitisha ,(kisa cha kweli) Jamaa mmoja mfanya biashara alikuwa mgonjwa taabani baada ya figo zake kufeli kufanya kazi, ilibidi aende india kwa matibabu zaidi ambapo aliambiwa figo...
1 Reactions
30 Replies
3K Views
Hili ni jambo ambalo nimelishuhudia zaidi ya maeneo matano lakini nimeambiwa pia kuhusu maeneo mengine ya Uswazi nako ni hivyo hivyo. ' Ni kwamba asilimia 80 ya maeneo mengi ya Uswazi wanawake...
2 Reactions
87 Replies
6K Views
miaka mingi nimekuwa nasikia kwamba mtu akioa mchaga lazima atajenga kwanza uchagani, je kuna ukweli kuhusu hii hoja.kama kweli basi dada zetu wanajua mapenzi.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom