Habarini ndugu zangu. Bila shaka wote hamjambo na mnaendelea vizuri na kazi ya kulijenga taifa letu. Ndugu zangu ma bibi na mabwana, mwenzenu naoa hivi karibuni. Naomba nichukue nafasi hii...
Heshima kwenu wakuu..!
Niliwahi kuandika post hapa kuhusu mdada mmoja niliyekuwa simuelewi..ilisomeka Hivi kwa nini wadada mpo hivi..?..
Kama mtoto wa kiume nilichukua uamuzi mgumu nikafuta...
Salaam wana bodi,
Nasikitika kuwajulisheni kwamba Vin Diesel alifiwa na mtoto wa shangazi yake.
Kwa bahati mbaya zaidi ilipofika jana shangazi yake naye pia akafariki.
Tuungane na mwenzetu...
Kwa mwenye uzoefu na Wadada/Mabinti wa Kabila la Wakisii toka Nchini kenya...Pls nishueni dondoo zao Kitabia.Kuna mmoja nimekutanae huku na kajitambulisha kuwa yeye ni Mkisii toka Kenya.Dalili...
kwa nini mwanaume ukimkataaaa anakuchukia japo hujafanya nae kitu. anakusingizia maovu kwa wengine ili iwejeee.huyu ni mwanaume wa mwanzo kunifata but kujua ni muhuni nimemkataaa. na sijawahi...
Habar wana jf,
Huwa najiuliza kila mara jibu huwa cpati,kwamba demu wako kila akitongozwa anakwambia huonesha kwamba anakupenda sana? au huwa tayari amekubali anaweka mazingra kwako endapo...
Ulinihadaa kuwa wanipenda! Nikahadaika!
Ukanichukua mithili ya kinda, nikajifunza kukupenda! Nikapenda!
Sikujua! Kumbe yako nia ni kunipa inda, mwana wa mwenzio!
Na uliponijua kuwa nishapenda...
1. They are smart
2. They can give you a free medical consultation/advice
3. They give you a gift of 'missing' them because they are always at work
4. They are heavy party people on the weekends...
Kwa hali hii ya watu kutokuwa waaminifu katika mahusiano, siku ya Valentine ndo siku yakujua mpenzi wako kakuweka katika nafasi gani ya mapenzi!
Naona watu hii siku inasumbua akili za watu...
haya huwa ni mameno ya kijana mmoja hapa mtaani kwetu.
Kisa chake kiko hivi.
Kijana huyu alizaliwa baada ya mama yake kupewa ujauzito na mme wa dada yake (shemeji) aliyekuwa anamlea mama yake...
Je mwayafahamu haya jamani?????
1.mume na mke wakikaa pamoja kwa mda mrefu hutokea kufanana
Wataalamu wa mambo wamebaini kuwa kitendo cha wanandoa kuwa na 'common share' ie share of food...
Binti mmoja anafukuzwa na mama mkwe wake heti hana sifa za kuishi na mtoto wake wakati huyo binti ana mtoto mchanga, na amejifungua kwa opration(kwa kisu) mm nikiwa kama jirani yake roho inaniuma...
utakuta mtu baada ya kutendwa na kuteswa na mtu ambaye pengine yy hakumuamin na kushindwa kujitahidi kuyatumikia mapenzi kwa uadilifu na stahili yake au kukutana na mtu asiye na mapenz ya dhati na...
habari za jioni wadau nafatilia kipindi cha chereko na kutokana na experience nimegundua ndoa za siku hizi kama zinafungiwa sehemu za dini au kwa mkuu wa wilaya utakuta watu.ni wachache kuliko...
Ukimfatilia huyu mdada na facebook status zake,una m-judge moja kwa moja
yeye ni mtu wa aina gani,inaonekana ni vuvuzela ndo maana ana kimbiwa.
NOV 16, 2012- Wow! THIS IS IT kama alivyosema...
Kabla ya ndoa mambo
huwa hivi;-
MME;-Nilitamani sana
muda huo ufike.
MKE;-Vip wataka
niondoke?
MME;-Hapana hata kidogo.
MKE;-Unanipenda?
MME;-Ndiyo maana yake.
MKE;-Utaniletea demu...
Hiyo hapo juu ni sura ya mwanamke. Ni sura ambayo pengine umeshakutana nayo mahali au ambayo unaijua vizuri. Kama kuna mwanamke mwenye sura ya aina hiyo, ambaye unamjua vizuri au ambaye uko karibu...
Wajameni, nimechoka kulipia vocha, matumizi, vipodozi, chumba cha shughuli, yaani kila kitu. Kisa, eti kwa kuwa tunapendana. Mbona nabebeshwa mizigo yote na ni kwa mademu woote niliowaduu. Sipendi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.