Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Kutokana na magonjwa ya zinaa (wadada sana ni UTI), Hoteli za kitalii zimegundua kuwa vyoo vyao vinatumiwa zaidi na outsiders ambao hawajanunua hata crisps ktk Hoteli hizo. Wengi wanakwepa vyoo...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kuna mtu nilikuwa naongea naye mda mfupi uliopita, akaniambia kwao kila kitu cha thamani lazima kiwekewe bima ili kikipata madhara uweze kulipwa fidia... Mimejaribu kuwaza kwa haraka nikagundua...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Wanajamii hebu nisaidieni kuna tamthilia inaonyeshwa na ITV na EATV inaitwa SIRI YA MTUNGI kiukweli mbona haizingatii vigezo na masharti ya tume ya mawasiliano nchini? Nasema hivyo kwasababu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana JF, Hivi hii tabia ya mpenzi wako kuwa busy na tamthilia za kwenye Tv stations, hata kuacha ku pay attention ktk mambo muhimu ndani ya nyumba, inawakuta na nyie? Kwangu imekuwa too much...
1 Reactions
24 Replies
2K Views
samahani kwa kuwachosha wakuu,hi kitu kwangu ni tatizo sana na ina nikera.na amini watanzania tumeumbwa na maadili ukutanapo na mtu mkubwa wako au mdogo wako kumsalimia ni jambo la...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Huwa napata shida sana nikikutana na Wanawake wenye hii tabia...Unampenda Mwanamke kabisa from ur heart,unajipanga unampiga saundi..anakujibu,''How old are you kaka'' unamwambia am 26...
6 Reactions
68 Replies
5K Views
Mnakwenda movie ,fishing ,hunting ,cruising,make love ,skiing ,shooting range,
1 Reactions
34 Replies
3K Views
Huyu binadamu lol..!nikiwa nae the whole day basi atajifaragua na simu mara ooh sitaki watu wanisumbue...unajua kinafulani wanataka twende.....watanitafuta..!!mara ngoja tu nizime hii...
6 Reactions
76 Replies
5K Views
Nina rafiki yangu hajakaa hata mwezi Kwenye ndoa mama mkwe kahamia na wajukuu wa Tatu .rafiki Yangu kanipigia simu analia kwa uchungu baada ya kumuuliza mume wake kwa nini wanahamia akasema yeye...
1 Reactions
245 Replies
15K Views
WANAUME,tuweni makini na Bikra feki...Wanawake wana mbinu nyingi sana za kukuingiza kingi,ndoa imekuwa mtihani kwao,wanafanya kila balaa ili wakuchote akili uingie kingi.Ukiacha hawa wengne ambao...
9 Reactions
66 Replies
6K Views
Heshima kwenu sisters and young ladies.. Nimeguswa sana na thread ya sister hapo juu aliyetoswa na jamaa yake kisa mama yake hataki kabila lake.. Na kuna mwingine leo leo nae analalamika...
3 Reactions
17 Replies
3K Views
nina miaka 29 nina mpenz kwa miaka 7 sasa tunakaribia kufunga ndoa hivi karibuni.tatizo mpenz wangu n mvivu ktika suala la mapenz sana na amekuwa akihesabu mara tulizofanya mapenz kwa mwezi na...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Jamani naombeni ushauri. miii mtu wa mazoezi sana siwezi miss a weak sijaingia jim. napenda tooo sii kama mnene mwembamba sana ila napenda cuz body yangu inakuwa kwenye shape nzuri. Ila rafki...
1 Reactions
42 Replies
11K Views
Mume: Nilitamani sana muda huu ufike. Mke: Vipi wataka niondoke? Mume: Hapana hata kidogo. Mke: Unanipenda? Mume: Ndio maana yake. Mke: Utaniletea demu mwingine ndani? Mume: Siwezi kufanya...
2 Reactions
9 Replies
3K Views
Bucket List ni orodha ya mambo ambayo ungependa kufanya kabla ya ku expire. Sote tunafahamu kwamba hatujui expiry date ila sote kuna mambo huwa tunatamani hasa tutekeleze. 1. Ningependa kwenda...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Ndugu zangu wababa kwa wavulana tuige mfano wa mwanaume huyu. Lengo kubwa kuondokana na mfumo dume uliopo wa kumgeuza mwanamke kama punda kazi siku hizi nikusaidiana mwenzio anapika wewe unaosha...
8 Reactions
71 Replies
12K Views
Ni jambo la kiungwana kuomba ushauri kwa wana JF wenzangu kabla sijafanya maamuzi fulani. Kuna jamaa yangu hapa Mwanza (fundi kompyuta) ambaye nilifahamiana naye kwa mara ya kwanza kupitia nyumba...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hivi ni kweli wanaopendana sana kiasi cha kuwashangaza wengi,hawadumu ktk uhusiano na hata ktk ndoa? Wenye uzoefu mmewahi kuliona hili? Pia,uchumba unaodumu miaka zaidi ya 3 mara nyingi haudumu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hivi siku hizi katika mahusiano wapi wanasumbua hasa???wanawake au wanaume??maana kuna kauli mbalimbali sana utasikia wanawake wa siku hizi bwanaa wasumbufu ile mbaya hivi ni jinsia zote mbili...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Labda mie ni mshamba wa mapenzi basi mnisaidie wapenzi, lakin ki ukweli mapenzi ya facebook yananishangaza jaman......mtu ana mtu wake ila daily ni kutoa vitisho na kumtangaza huyo mtu(mchuchu)...
1 Reactions
34 Replies
4K Views
Back
Top Bottom