Wake up!! Decide to have a good day. today is the day the Lord hath made; lets rejoice and be glad in it Psalms 118:24
Dress up!! The best way to dress up is to put a smile. A simile is an...
ILIKUWA NUSURA IWE KESI KUBWA KWA WAPANGAJI,,BAADA YA MPANGAJI (MWANAUME) KUJIFUNGIA NDANI PASIPO KULA KWA SIKU TATU MFULULIZO ,HATA HIVYO HALI HII ILIPOBAINIKA ALITOLEWA NJE NA KUPEWA HUDUMA...
Ni kweli. Kuwa uzuri wa ndani ni muhimu sana. Lakini tusidanganywe. Wala tusijidanganye. Eti kuwa uzuri wa nje si muhimu. Tena tusidanganyike eti kuwa uzuri wa nje unachuja na kuchakaa. Ukiupenda...
Kabla ya Ndoa mambo huwa hivi:-
MME: Nilitamani sana muda huo ufike.
MKE: Vipi wataka niondoke?
MME: Hapana hata kidogo.
MKE: Unanipenda?
MME: Ndo maana ake...
MKE: Utaniletea demu mwingine...
nikiwa job nahisi kumpenda na kumis sana na kuwasiliana vizuri. kama tulivyo ishi 3yrs mke wangu wa ndoa ila siku hizi nikimuona nahisi kumchukia sana bila sababu.nimejaribu kuuli nimeambiwa et...
habari ya jioni wadau.
Niko na rafiki yangu hapa ananiomba nimshauri afanyaje maana anatamani kuolewa na mtu watakaependana kwa dhati. Tatizo anaowapenda wanamtenda, asiowapenda wanamjali sana...
Habari zenyu bhana!
Siku nyingi sana ila kiukweli nimewamiss sana!
Sasa nakuja na hii! Ni kwa nini wanandoa hutoka nje ya ndoa zao!
Nimemkuta jamaa mmoja kijana hivi ndoa yake ka miaka 5 hivi...
Pengine hii inawahusu walio katika ndoa na ambao bado!Ni zipi hasa lugha za mwili katika mapenzi?! Hapa nnazungumizia ishara, milio au sauti fulani ambazo ukisikia au kuona kutoka kwa mwenza...
kuhusu namna ya kudumisha penzi iwapo wewe umeolewa hasa kwa kina mama ambao penzi lao ninaelekea kuyeyuka. Na bila jitihada za hapa na pale penzi lako na mumeo linaweza kunyauka kabisa!!! Na...
Poleni na majukumu kwa wenye kaz na msio na kaz endeleeni kutafuta na laana kwa wote msiopenda kaz ila mnataka kula na kuvaa vizur.
Mimi ni mwanafunz katika chuo kikuu kimoja maarufu hapa nchini...
Mara nyingine matatizo yanayo hitaji ushauri hapa yanaweza
pata majibu toka kwa wana saikolojia.
Haya sasa,mmefuatwa saivi,acheni ubahili,Chris Mauki ana wakaribisha.
MWANAMKE: 1.Unakutana na jamaa anakutongoza na wewe unamkubalia (Vigezo na masharti kuzingatiwa). Baada ya muda kidogo kupita jamaa anaomba mkutane faragha kwa ajili ya mambo fulani(......)...
Hapa namanga kuna mzungu aliyelowea Tanzania toka 1980's aliyekua anaitwa Shaban hapa namanga amepanga upande ana mke na watoto ila mke wake na watoto wake wanaishi Zanzibar.
Huyu shaban kibarua...
. Wanaume wenyeheshima ni walinzi na pia watauhifadhi moyo wako, kulinda hisia zako, kulinda heshima yako na watakupatia msaada wa kiroho, kiakili na ustawi wa kimwili.
2. Wanaume wasiokuwa na...
Tuweni makini ndugu zangu kwani wale dada zetu ambao wamekuwa wakifanya ukahaba mavyuoni ndo wanarejea nyumbani kwa ajili ya likizo hivyo tuwe macho kwani wanaweza kutuletea biashara zao magetoni...
Hay mamods wenzengu
Sasa naona zile gia zote gari zimekwisha, niliingia kwa kusimama, nikaja kwa kutembea na kisha kunyata nyata na kutambaa kabisa sasa kuna gia ipi ingine ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.